< Matteus 1 >
1 Detta är Jesu Kristi, Davids sons, Abrahams sons, släkttavla.
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
2 Abraham födde Isak, Isak födde Jakob, Jakob födde Judas och hans bröder;
Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka, na Isaka baba wa Yakobo, na Yakobo baba wa Yuda na ndugu zake.
3 Judas födde Fares och Sara med Tamar, Fares födde Esrom, Esrom födde Aram;
Yuda alikuwa baba wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi baba wa Hezeroni, na Hezeroni baba wa Ramu.
4 Aram födde Aminadab, Aminadab födde Naasson, Naasson födde Salmon;
Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
5 Salmon födde Boes med Rakab, Boes födde Jobed med Rut, Jobed födde Jessai;
Salimoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi baba wa Obedi kwa Ruth, Obedi baba wa Yese,
6 Jessai födde David, konungen, David födde Salomo med Urias' hustru;
Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
7 Salomo födde Roboam, Roboam födde Abia. Abia födde Asaf;
Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
8 Asaf födde Josafat, Josafat födde Joram, Joram födde Osias;
Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
9 Osias födde Joatam, Joatam födde Akas, Akas födde Esekias;
Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
10 Esekias födde Manasses, Manasses födde Amos, Amos födde Josias;
Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
11 Josias födde Jekonias och hans bröder, vid den tid då folket blev bortfört i fångenskap till Babylonien.
Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.
12 Sedan folket hade blivit bortfört i fångenskap till Babylonien, födde Jekonias Salatiel, Salatiel födde Sorobabel;
Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
13 Sorobabel födde Abiud, Abiud födde Eljakim, Eljakim födde Asor;
Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
14 Asor födde Sadok, Sadok födde Akim, Akim födde Eliud;
Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
15 Eliud födde Eleasar, Eleasar födde Mattan, Mattan födde Jakob;
Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
16 Jakob födde Josef, Marias man, och av henne föddes Jesus, som kallas Kristus.
Yakobo alikuwa baba wa Yusufu mume wa Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa, aitwaye Kristo.
17 Så utgöra släktlederna från Abraham intill David tillsammans fjorton leder, och från David intill dess att folket blev bortfört i fångenskap till Babylonien fjorton leder, och från det att folket blev bortfört i fångenskap till Babylonien intill Kristus fjorton leder.
Vizazi vyote tangu Ibrahimu hadi Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, kutoka Daudi hadi kuchukuliwa kwenda Babeli vizazi kumi na vinne, na kutoka kuchukuliwa kwenda Babeli hadi Kristo vizazi kumi na vinne.
18 Med Jesu Kristi födelse gick det så till. Sedan Maria, hans moder, hade blivit trolovad med Josef, befanns hon, förrän de kommo tillsammans, vara havande av helig ande.
Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa kwa namna hii. Mama yake, Mariamu, alichumbiwa na Yusufu, lakini kabla hawajakutana, alionekana kuwa na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
19 Nu var Josef, hennes man, en rättsinnig man och ville icke utsätta henne for vanära; därför beslöt han att hemligen skilja sig från henne.
Mume wake Yusufu, alikuwa mtu mwenye haki hakutaka kumwaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba wake naye kwa siri.
20 Men när han hade fått detta i sinnet, se, då visade sig i drömmen en Herrens ängel för honom och sade: »Josef, Davids son, frukta icke att taga till dig Maria, din hustru; ty det som är avlat i henne är av helig ande.
Alipokuwa akifikiri juu ya mambo haya, Malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema,'' Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu kama mkeo, kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 Och hon skall föda en son, och honom skall du giva namnet Jesus, ty han skall frälsa sitt folk ifrån deras synder.»
Atajifungua mtoto wa kiume na utamwita jina lake Yesu, kwa maana atawaokoa watu wake na dhambi zao.''
22 Allt detta har skett, för att det skulle fullbordas, som var sagt av Herren genom profeten som sade:
Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema,
23 »Se, jungfrun skall bliva havande och föda en son, och man skall giva honom namnet Emmanuel» (det betyder Gud med oss).
“Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli”— maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
24 När Josef hade vaknat upp ur sömnen, gjorde han som Herrens ängel hade befallt honom och tog sin hustru till sig.
Yusufu aliamka kutoka usingizini na kufanya kama malaika wa Bwana alivyomwamuru na alimchukua kama mkewe.
25 Och han kände henne icke, förrän hon hade fött en son; och honom gav han namnet Jesus. Jämför hebr. jeschuá, som betyder frälsning.
Hata hivyo, hakulala naye mpaka alipojifungua mtoto wa kiume na alimwita jina lake Yesu.