< Josua 15 >

1 Juda barns stam fick, efter sina släkter, sin lott söderut intill Edoms gräns, intill öknen Sin, längst ned i söder.
Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
2 Och deras södra gräns begynte vid ändan av Salthavet, vid dess sydligaste vik,
Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
3 gick vidare söder om Skorpionhöjden och fram till Sin, drog sig så upp söder om Kades-Barnea, gick därefter framom Hesron och drog sig upp till Addar samt böjde sig sedan mot Karka.
Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
4 Vidare gick den fram till Asmon och därifrån ut till Egyptens bäck; sedan gick gränsen ut vid havet. »Detta», sade han, »skall vara eder gräns i söder.»
Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
5 Gränsen i öster var Salthavet ända till Jordans utlopp. Och gränsen på norra sidan begynte vid den vik av detta hav, där Jordan har sitt utlopp.
Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
6 Därifrån drog sig gränsen upp mot Bet-Hogla och gick fram norr om Bet-Haaraba; vidare drog sig gränsen upp till Bohans, Rubens sons, sten.
Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
7 Därefter drog sig gränsen upp till Debir från Akors dal i nordlig riktning mot det Gilgal som ligger mitt emot Adummimshöjden, söder om bäcken; sedan gick gränsen fram till Semeskällans vatten och så ut till Rogelskällan.
Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
8 Vidare drog sig gränsen uppåt Hinnoms sons dal, söder om Jebus' höjd, det är Jerusalem; därefter drog sig gränsen upp till toppen av det berg som ligger gent emot Hinnomsdalen, västerut, i norra ändan av Refaimsdalen.
kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
9 Och från toppen av detta berg drog sig gränsen fram till Neftoavattnets källa och vidare till städerna i Efrons bergsbygd; sedan drog sig gränsen till Baala, det är Kirjat-Jearim.
Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
10 Och från Baala böjde sig gränsen åt väster mot Seirs bergsbygd och gick fram till Jearims bergshöjd, det är Kesalon, norr om denna, och gick så ned till Bet-Semes och framom Timna.
Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
11 Vidare gick gränsen till Ekrons höjd, norrut; därefter drog sig gränsen till Sickeron, gick så framom berget Baala och därifrån ut till Jabneel; sedan gick gränsen ut vid havet.
Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
12 Och gränsen i väster följde Stora havet; det utgjorde gränsen. Dessa voro Juda barns gränser runt omkring, efter deras släkter.
Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
13 Men åt Kaleb, Jefunnes son, gavs, efter HERRENS befallning till Josua, en särskild del bland Juda barn, nämligen Arbas, Anaks faders, stad, det är Hebron.
Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
14 Och Kaleb fördrev därifrån Anaks tre söner, Sesai, Ahiman och Talmai, Anaks avkomlingar.
Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
15 Därifrån drog han upp mot Debirs invånare. Men Debir hette fordom Kirjat-Sefer.
Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
16 Och Kaleb sade: »Åt den som angriper Kirjat-Sefer och intager det vill jag giva min dotter Aksa till hustru.»
Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
17 När då Otniel, son till Kenas, Kalebs broder, intog det, gav han honom sin dotter Aksa till hustru.
Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18 Och när hon kom till honom, intalade hon honom att begära ett stycke åkermark av hennes fader; och hon steg hastigt ned från åsnan. Då sade Kaleb till henne: »Vad önskar du?»
Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19 Hon sade: »Giv mig en avskedsskänk; eftersom du har gift bort mig till det torra Sydlandet, må du giva mig vattenkällor.» Då gav han henne Illiotkällorna och Tatiotkällorna.
Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20 Detta var nu Juda barns stams arvedel, efter deras släkter.
Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21 Och de städer som lågo ytterst i Juda barns stam, mot Edoms gräns, i Sydlandet, voro: Kabseel, Eder, Jagur,
Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22 Kina, Dimona, Adada,
Kina, Dimona, Adada,
23 Kedes, Hasor och Jitnan,
Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24 Sif, Telem, Bealot,
Zifu, Telemu, Bealothi.
25 Hasor-Hadatta, Keriot, Hesron, det är Hasor,
Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26 Amam, Sema, Molada,
Amamu, shema, Molada,
27 Hasar-Gadda, Hesmon, Bet-Pelet,
Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 Hasar-Sual, Beer-Seba och Bisjotja,
Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29 Baala, Ijim, Esem,
Baala, Limu, Ezemu,
30 Eltolad, Kesil, Horma,
Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Siklag, Madmanna, Sansanna,
Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Lebaot, Silhim, Ain och Rimmon -- tillsammans tjugunio städer med sina byar.
Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 I Låglandet: Estaol, Sorga, Asna,
Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 Sanoa och En-Gannim, Tappua och Enam,
Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Jarmut och Adullam, Soko och Aseka,
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Saaraim, Aditaim, Gedera och Gederotaim -- fjorton städer med sina byar;
Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Senan, Hadasa, Migdal-Gad,
Zena, Hadasha, Migidagadi,
38 Dilean, Mispe, Jokteel,
Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39 Lakis, Boskat, Eglon,
Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40 Kabbon, Lamas, Kitlis,
Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41 Gederot, Bet-Dagon, Naama och Mackeda -- sexton städer med sina byar;
Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Libna, Eter, Asan,
Libna, Etheri, Ashani,
43 Jifta, Asna, Nesib,
Ifuta, Ashina, Nezibu,
44 Kegila, Aksib och Maresa -- nio städer med sina byar;
Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Ekron med underlydande städer och byar;
Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 från Ekron till havet allt vad som ligger på sidan om Asdod samt dithörande byar;
kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 vidare Asdod med underlydande städer och byar, Gasa med underlydande städer och byar ända till Egyptens bäck och fram till Stora havet, som utgjorde gränsen.
Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Och i Bergsbygden: Samir, Jattir, Soko,
Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Danna, Kirjat-Sanna, det är Debir,
Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50 Anab, Estemo, Anim,
Anabu, Eshitemo, Animu,
51 Gosen, Holon och Gilo -- elva städer med sina byar;
Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Arab, Ruma, Esean,
Arabu, Duma, Ehani,
53 Janum, Bet-Tappua, Afeka,
Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54 Humta, Kirjat-Arba, det är Hebron, och Sior -- nio städer med sina byar;
Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Maon, Karmel, Sif, Juta,
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 Jisreel, Jokdeam och Sanoa,
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kain, Gibea och Timna -- tio städer med sina byar;
Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Halhul, Bet-Sur, Gedor,
Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59 Maarat, Bet-Anot och Eltekon -- sex städer med sina byar;
Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Kirjat-Baal, det är Kirjat-Jearim, och Rabba -- två städer med sina byar;
Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 I Öknen: Bet-Haaraba, Middin, Sekaka,
Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
62 Nibsan, Ir-Hammela och En-Gedi -- sex städer med sina byar.
Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63 Men jebuséerna, som bodde i Jerusalem, kunde Juda barn icke fördriva; därför bodde ock jebuséerna kvar bland Juda barn i Jerusalem, såsom de göra ännu i dag.
Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.

< Josua 15 >