< 1 Mosebok 36 >
1 Detta är berättelsen om Esaus, det är Edoms, släkt.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
2 Esau hade tagit sina hustrur bland Kanaans döttrar: Ada, hetiten Elons dotter, och Oholibama, dotter till Ana och sondotter till hivéen Sibeon,
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
3 så ock Basemat, Ismaels dotter, Nebajots syster.
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
4 Och Ada födde Elifas åt Esau, men Basemat födde Reguel.
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
5 Och Oholibama födde Jeus, Jaelam och Kora. Dessa voro Esaus söner, vilka föddes åt honom i Kanaans land.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
6 Och Esau tog sina hustrur, sina söner och döttrar och allt sitt husfolk, sin boskap och alla sina dragare och all annan egendom som han hade förvärvat i Kanaans land och drog till ett annat land och skilde sig så från sin broder Jakob.
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
7 Ty deras ägodelar voro så stora att de icke kunde bo tillsammans; landet där de uppehöllo sig räckte icke till åt dem, för deras boskapshjordars skull.
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
8 Och Esau bosatte sig i Seirs bergsbygd. Esau, det är densamme som Edom.
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
9 Och detta är berättelsen om Esaus släkt, hans som var stamfader för edoméerna, i Seirs bergsbygd.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
10 Dessa äro namnen på Esaus söner: Elifas, son till Ada, Esaus hustru, och Reguel, son till Basemat, Esaus hustru.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
11 Men Elifas' söner voro Teman, Omar, Sefo, Gaetam och Kenas.
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
12 Och Timna, som var Elifas', Esaus sons, bihustru, födde Amalek åt Elifas. Dessa voro söner till Ada, Esaus hustru.
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
13 Men Reguels söner voro dessa: Nahat och Sera, Samma och Missa. Dessa voro söner till Basemat, Esaus hustru.
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
14 Men söner till Oholibama, Esaus hustru, dotter till Ana och sondotter till Sibeon, voro dessa, som hon födde åt Esau: Jeus, Jaelam och Kora.
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
15 Dessa voro stamfurstarna bland Esaus söner: Elifas', Esaus förstföddes, söner voro dessa: fursten Teman, fursten Omar, fursten Sefo, fursten Kenas,
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
16 fursten Kora, fursten Gaetam, fursten Amalek. Dessa voro de furstar som härstammade från Elifas, i Edoms land; dessa voro Adas söner.
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
17 Och dessa voro Reguels, Esaus sons, söner: fursten Nahat, fursten Sera, fursten Samma, fursten Missa. Dessa voro de furstar som härstammade från Reguel, i Edoms land; dessa voro söner till Basemat, Esaus hustru.
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
18 Och dessa voro Oholibamas, Esaus hustrus, söner: fursten Jeus, fursten Jaelam, fursten Kora. Dessa voro de furstar som härstammade från Oholibama, Anas dotter och Esaus hustru.
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
19 Dessa voro Esaus söner, och dessa deras stamfurstar. Han är densamme som Edom.
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
20 Dessa voro horéen Seirs söner, landets förra inbyggare: Lotan, Sobal, Sibeon, Ana,
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
21 Dison, Eser och Disan. Dessa voro horéernas, Seirs söners, stamfurstar i Edoms land.
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
22 Men Lotans söner voro Hori och Hemam; och Lotans syster var Timna.
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
23 Och dessa voro Sobals söner: Alvan, Manahat och Ebal, Sefo och Onam.
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
24 Och dessa voro Sibeons söner: Aja och Ana; det var denne Ana som fann de varma källorna i öknen, när han vaktade sin fader Sibeons åsnor.
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
25 Men dessa voro Anas barn: Dison och Oholibama, Anas dotter.
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
26 Och dessa voro Disans söner: Hemdan, Esban, Jitran och Keran.
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
27 Och dessa voro Esers söner: Bilhan, Saavan och Akan.
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
28 Dessa voro Disans söner: Us och Aran.
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
29 Dessa voro horéernas stamfurstar: fursten Lotan, fursten Sobal, fursten Sibeon, fursten Ana,
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
30 fursten Dison, fursten Eser, fursten Disan. Dessa voro horéernas stamfurstar i Seirs land, var furste för sig.
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
31 Och dessa voro de konungar som regerade i Edoms land, innan ännu någon israelitisk konung var konung där:
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
32 Bela, Beors son, var konung i Edom, och hans stad hette Dinhaba.
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
33 När Bela dog, blev Jobab, Seras son, från Bosra, konung efter honom.
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
34 När Jobab dog, blev Husam från temanéernas land konung efter honom.
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
35 När Husam dog, blev Hadad, Bedads son, konung efter honom, han som slog midjaniterna på Moabs mark; och hans stad hette Avit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
36 När Hadad dog, blev Samla från Masreka konung efter honom.
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
37 När Samla dog, blev Saul från Rehobot vid floden konung efter honom.
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
38 När Saul dog, blev Baal-Hanan, Akbors son, konung efter honom.
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
39 När Baal-Hanan, Akbors son, dog, blev Hadar konung efter honom; och hans stad hette Pagu, och hans hustru hette Mehetabel, dotter till Matred, som var dotter till Me-Sahab.
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
40 Och dessa äro namnen på Esaus stamfurstar, efter deras släkter och orter, med deras namn: fursten Timna, fursten Alva, fursten Jetet,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
41 fursten Oholibama, fursten Ela, fursten Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 fursten Kenas, fursten Teman, fursten Mibsar,
Kenazi, Temani, Mbza,
43 fursten Magdiel, fursten Iram. Dessa voro Edoms stamfurstar, efter deras boningsorter i det land de hade tagit i besittning -- hans som ock kallas Esau, edoméernas stamfader.
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.