< 1 Krönikeboken 7 >

1 Och Isaskars söner voro Tola och Pua, Jasib och Simron, tillsammans fyra.
Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
2 Tolas söner voro Ussi, Refaja, Jeriel, Jamai, Jibsam och Samuel, huvudmän för sina familjer, ättlingar av Tola, tappra stridsmän, upptecknade efter sin ättföljd. I Davids tid var deras antal tjugutvå tusen sex hundra.
Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
3 Ussis söner voro Jisraja, och Jisrajas söner voro Mikael, Obadja och Joel samt Jissia, tillhopa fem, allasammans huvudmän.
Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
4 Och med dem följde stridbara härskaror, trettiosex tusen man, efter sin ättföljd och sina familjer; ty de hade många hustrur och barn.
Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
5 Och deras bröder i alla Isaskars släkter voro tappra stridsmän; åttiosju tusen utgjorde tillsammans de som voro upptecknade i deras släktregister.
Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
6 Benjamins söner voro Bela, Beker och Jediael, tillsammans tre.
Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
7 Belas söner voro Esbon, Ussi, Ussiel, Jerimot och Iri, tillsammans fem, huvudmän för sina familjer, tappra stridsmän; de som voro upptecknade i deras släktregister utgjorde tjugutvå tusen trettiofyra.
Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
8 Bekers söner voro Semira, Joas, Elieser, Eljoenai, Omri, Jeremot, Abia, Anatot och Alemet. Alla dessa voro Bekers söner.
Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
9 De som voro upptecknade i deras släktregister, efter sin ättföljd, efter huvudmannen för sina familjer, tappra stridsmän, utgjorde tjugu tusen två hundra.
Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
10 Jediaels söner voro Bilhan; Bilhans söner voro Jeus, Benjamin, Ehud, Kenaana, Setan, Tarsis och Ahisahar.
Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
11 Alla dessa voro Jediaels söner, upptecknade efter huvudmännen för sina familjer, tappra stridsmän, sjutton tusen två hundra stridbara krigsmän.
Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
12 Och Suppim och Huppim voro Irs söner. -- Men Husim voro Ahers söner.
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
13 Naftalis söner voro Jahasiel, Guni, Jeser och Sallum, Bilhas söner.
Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
14 Manasses söner voro Asriel, som kvinnan födde; hans arameiska bihustru födde Makir, Gileads fader.
Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
15 Och Makir tog hustru åt Huppim och Suppim. Hans syster hette Maaka. Och den andre hette Selofhad. Och Selofhad hade döttrar.
Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
16 Och Maaka, Makirs hustru, födde en son och gav honom namnet Peres, men hans broder hette Seres. Hans söner voro Ulam och Rekem.
Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 Ulams söner voro Bedan. Dessa voro söner till Gilead, son till Makir, son till Manasse.
Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
18 Och hans syster var Hammoleket; hon födde Is-Hod, Abieser och Mahela.
Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
19 Och Semidas söner voro Ajan, Sekem, Likhi och Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
20 Och Efraims söner voro Sutela, dennes son Bered, dennes son Tahat, dennes son Eleada, dennes son Tahat,
Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
21 dennes son Sabad och dennes son Sutela, så ock Eser och Elead. Och män från Gat, som voro födda där i landet, dräpte dem, därför att de hade dragit ned för att taga deras boskapshjordar.
Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
22 Då sörjde Efraim, deras fader, i lång tid, och hans bröder kommo för att trösta honom.
Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
23 Och han gick in till sin hustru, och hon blev havande och födde en son; och han gav honom namnet Beria, därför att det hade skett under en olyckstid för hans hus.
Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
24 Hans dotter var Seera; hon byggde Nedre och Övre Bet-Horon, så ock Ussen-Seera.
Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
25 Och hans son var Refa; hans son var Resef, ävensom Tela; hans son var Tahan.
Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
26 Hans son var Laedan; hans son var Ammihud; hans son var Elisama.
Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
27 Hans son var Non; hans son var Josua.
Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
28 Och deras besittning och deras boningsorter voro Betel med underlydande orter, österut Naaran och västerut Geser med underlydande orter, vidare Sikem med underlydande orter, ända till Aja med underlydande orter.
Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
29 Men i Manasse barns ägo voro Bet-Sean med underlydande orter, Taanak med underlydande orter, Megiddo med underlydande orter, Dor med underlydande orter. Här bodde nu Josefs, Israels sons, barn.
Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
30 Asers söner voro Jimna, Jisva, Jisvi och Beria; och deras syster var Sera.
Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
31 Berias söner voro Heber och Malkiel; han var Birsaits fader.
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32 Och Heber födde Jaflet, Somer och Hotam, så ock Sua, deras syster.
Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
33 Och Jaflets söner voro Pasak, Bimhal och Asvat. Dessa voro Jaflets söner.
Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
34 Semers söner voro Ahi och Rohaga, Jaba och Aram.
Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
35 Hans broder Helems söner voro Sofa, Jimna, Seles och Amal.
Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 Sofas söner voro Sua, Harnefer, Sual, Beri och Jimra,
Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
37 Beser, Hod, Samma, Silsa, Jitran och Beera.
Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
38 Jeters söner voro Jefunne, Pispa och Ara.
Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
39 Och Ullas söner voro Ara, Hanniel och Risja.
Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
40 Alla dessa voro Asers söner, huvudmän för sina familjer, utvalda tappra stridsmän, huvudmän bland hövdingarna; och de som voro upptecknade i deras släktregister såsom dugliga till krigstjänst utgjorde ett antal av tjugusex tusen man. Hebr beraá.
Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

< 1 Krönikeboken 7 >