< 1 Krönikeboken 2 >

1 Dessa voro Israels söner: Ruben, Simeon, Levi och Juda, Isaskar och Sebulon,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Josef och Benjamin, Naftali, Gad och Aser.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Judas söner voro Er, Onan och Sela; dessa tre föddes åt honom av Suas dotter, kananeiskan. Men Er, Judas förstfödde, misshagade HERREN; därför dödade han honom.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Och Tamar, hans sonhustru, födde åt honom Peres och Sera, så att Judas söner voro tillsammans fem.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Peres' söner voro Hesron och Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Seras söner voro Simri, Etan, Heman, Kalkol och Dara, tillsammans fem.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Men Karmis söner voro Akar, som drog olycka över Israel, när han trolöst förgrep sig på det tillspillogivna.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Och Etans söner voro Asarja.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Och de söner som föddes åt Hesron voro Jerameel, Ram och Kelubai.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Och Ram födde Amminadab, och Amminadab födde Naheson, hövding för Juda barn.
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Naheson födde Salma, och Salma födde Boas.
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Boas födde Obed, och Obed födde Isai.
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 Isai födde Eliab, som var hans förstfödde, Abinadab, den andre, och Simea, den tredje,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 Netanel, den fjärde, Raddai, den femte,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 Osem, den sjätte, David, den sjunde.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Och deras systrar voro Seruja och Abigail. Och Serujas söner voro Absai, Joab och Asael, tillsammans tre.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Och Abigail födde Amasa, och Amasas fader var ismaeliten Jeter.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Och Kaleb, Hesrons son, födde ett barn av kvinnkön, Asuba, därtill ock Jeriot; och dessa voro henne söner: Jeser, Sobab och Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Och när Asuba dog, tog Kaleb Efrat till hustru åt sig, och hon födde åt honom Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Och Hur födde Uri, och Uri födde Besalel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Därefter gick Hesron in till Makirs, Gileads faders, dotter; henne tog han till hustru, när han var sextio år gammal. Och hon födde åt honom Segub.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Och Segub födde Jair; denne hade tjugutre städer i Gileads land.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 Men gesuréerna och araméerna togo ifrån dem Jairs byar jämte Kenat med underlydande orter, sextio städer. Alla dessa voro söner till Makir, Gileads fader.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Och sedan Hesron hade dött i Kaleb-Efrata, födde Hesrons hustru Abia åt honom Ashur, Tekoas fader.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Och Jerameels, Hesrons förstföddes, söner voro Ram, den förstfödde, vidare Buna, Oren och Osem samt Ahia.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Men Jerameel hade en annan hustru som hette Atara; hon var moder till Onam.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 Och Rams, Jerameels förstföddes, söner voro Maas, Jamin och Eker.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Onams söner voro Sammai och Jada; och Sammais söner voro Nadab och Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Och Abisurs hustru hette Abihail; hon födde åt honom Aban och Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Nadabs söner voro Seled och Appaim. Seled dog barnlös.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Men Appaims söner voro Jisei; Jiseis söner voro Sesan; Sesans söner voro Alai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Jadas, Sammais broders, söner voro Jeter och Jonatan. Jeter dog barnlös.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Men Jonatans söner voro Pelet och Sasa. Dessa voro Jerameels söner.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Men Sesan hade inga söner, utan allenast döttrar. Nu hade Sesan en egyptisk tjänare som hette Jarha.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Och Sesan gav sin dotter till hustru åt sin tjänare Jarha, och hon födde åt honom Attai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Attai födde Natan, och Natan födde Sabad.
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Sabad födde Eflal, och Eflal födde Obed.
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Obed födde Jehu, och Jehu födde Asarja.
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Asarja födde Heles, och Heles födde Eleasa.
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Eleasa födde Sisamai, och Sisamai födde Sallum.
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Sallum födde Jekamja, och Jekamja födde Elisama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Och Kalebs, Jerameels broders, söner voro Mesa, hans förstfödde, som var Sifs fader, och Maresas, Hebrons faders, söner.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Men Hebrons söner voro Kora, Tappua, Rekem och Sema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Sema födde Raham, Jorkeams fader. Men Rekem födde Sammai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Sammais son var Maon, och Maon var Bet-Surs fader.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Och Efa, Kalebs bihustru, födde Haran, Mosa och Gases; och Haran födde Gases.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Och Jadais söner voro Regem, Jotam, Gesan, Pelet, Efa och Saaf.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Kalebs bihustru Maaka födde Seber och Tirhana.
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Hon födde ock Saaf, Madmannas fader, Seva, Makbenas fader och Gibeas fader. Och Kalebs dotter var Aksa.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Dessa voro Kalebs söner: Hurs, Efratas förstföddes, son var Sobal Kirjat-Jearims fader,
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 vidare Salma, Bet-Lehems fader, och Haref, Bet-Gaders fader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Söner till Sobal, Kirjat-Jearims fader, voro Haroe och hälften av Hammenuhot-släkten.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 Men Kirjat-Jearims släkter voro jeteriterna, putiterna, sumatiterna och misraiterna. Från dem utgingo sorgatiterna och estaoliterna.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Salmas söner voro Bet-Lehem och netofatiterna, Atrot-Bet-Joab, så ock hälften av manahatiterna, sorgiterna.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 Och de skriftlärdes släkter, deras som bodde i Jaebes, voro tireatiterna, simeatiterna, sukatiterna. Dessa voro de kainéer som härstammade från Hammat, fader till Rekabs släkt.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Krönikeboken 2 >