< Sefanja 2 >
1 Församler eder, och kommer hit, I obehageliga folk;
Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
2 Förr än domen utgår, så att I om dagen bortryken såsom ett stoft, förr än Herrans grymma vrede öfver eder kommer, förr än Herrans vredes dag öfver eder kommer;
kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
3 Söker Herran, alle I elände i landena, I som hans rätter hållen; söker rättfärdighetena, söker ödmjukhetena; på det att I på Herrans vredes dag mågen beskyddade varda.
Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
4 Ty Gaza måste öfvergifven varda, och Askelon förödd; Asdod skall om middagen förjagad varda, och Ekron utrotad varda.
hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
5 Ve dem som bo nedre vid hafvet, de krigare. Herrans ord skall komma öfver eder. Du Canaan, de Philisteers land, jag skall förgöra dig, så att der ingen mer bo skall.
Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
6 Der skola nedre vid hafvet vara alltsammans herdahus, och fårahus.
Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
7 Och det samma skall varda dem qvarlefdom af Juda hus till del, att de deruppå beta skola. Om aftonen skola de lägra sig uti Askelons husom, då nu Herren deras Gud dem återsökt, och deras fängelse vänd hafver.
Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
8 Jag hafver hört Moabs hädelse, och Ammons barnas försmädelse, der de med hafva försmädat mitt folk, och berömt sig öfver deras gränsor.
Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
9 Nu väl, så sant som jag lefver, säger Herren Zebaoth, Israels Gud: Moab skall varda lika som Sodom, och Ammons barn lika som Gomorra; ja, lika som en nässlebuske, och en saltgrufva, och ett evigt öde; de qvarlefde af mitt folk skola beröfva dem, och de öfverblefne af mitt folk skola ärfva dem.
Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
10 Det skall vederfaras dem för deras högfärd, att de hafva försmädat Herrans Zebaoths folk, och berömt sig öfver dem.
Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
11 Förskräckelig skall Herren vara öfver dem; ty han skall förlägga alla gudar på jordene; och alla öar ibland Hedningarna skola tillbedja honom, hvar och en i sitt rum.
Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
12 Ock skolen I Ethiopier genom mitt svärd slagne varda.
Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
13 Och han skall sträcka sina hand norrut, och förgöra Assur; han skall göra Nineve öde, torrt, såsom en öken;
na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
14 Så att sig deruti lägra skola allahanda djur ibland Hedningarna; och rördrommar och ufvar skola bo på deras torn, och skola sjunga i vigskården, och korpar på bjelkomen; ty cedrebräden skola afrifne varda.
Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
15 Denne är den lustige staden, den så säker bodde, och sade i sitt hjerta: Jag äret, och ingen annan. Huru är han så öde vorden, så att djuren bo derinne; och hvilken som der framom går, han hvisslar till honom, och slår med handene öfver honom?
huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.