< Psaltaren 84 >

1 En Psalm Korah barnas, på Gittith, till att föresjunga. Huru lustige äro dina boningar, Herre Zebaoth!
Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
2 Min själ längtar och trängtar efter Herrans gårdar. Min kropp och själ fröjda sig uti lefvandes Gudi.
Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
3 Ty foglen hafver funnit ett hus, och svalan sitt bo, der de sina ungar lägga; nämliga ditt altare, Herre Zebaoth, min Konung och min Gud.
Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
4 Salige äro de som i dino huse bo, de lofva dig till evig tid. (Sela)
Wamebarikiwa wale ambao huishi katika nyumba yako; nao hukusifu wewe siku zote. (Selah)
5 Salige äro de menniskor, som dig för sin starkhet hålla, och af hjertat efter dig vandra;
Amebarikiwa mtu yule ambaye nguvu zake ziko katika wewe, katika moyo wake mna njia kuu ziendazo mpaka Sayuni.
6 De der gå genom jämmerdalen, och göra der källor; och lärarena varda med mycken välsignelse prydde.
Wanapopita katika bonde la machozi, hupata chemchem ya maji kwa ajili ya kunywa. Mvua ya vuli hulivika baraka.
7 De vinna den ena segren efter den andra, att man se må, att den rätte Guden är i Zion.
Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
8 Herre Gud Zebaoth, hör min bön; akta härtill, Jacobs Gud. (Sela)
Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! (Selah)
9 Gud, vår sköld, skåda dock; se uppå din smordas rike.
Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
10 Ty en dag uti dina gårdar är bättre, än eljest tusende. Jag vill heldre vakta dörrena uti mins Guds huse, än länge bo uti de ogudaktigas hyddom.
Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.
11 Ty Herren Gud är sol och sköld. Herren gifver nåd och äro; dem frommom skall intet godt fattas.
Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao yetu; Yahwe atatoa neema na utukufu; hazuii zuri lolote kwa wale ambao hutembea katika uadilifu.
12 Herre Zebaoth, säll är den menniska, som sig förlåter uppå dig.
Yahwe wa majeshi, amebarikiwa mtu yule anaye kutumainia wewe.

< Psaltaren 84 >