< Psaltaren 50 >

1 En Psalm Assaphs. Herren Gud den mägtige talar, och kallar verldena, ifrå solenes uppgång, allt intill nedergången.
Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
2 Af Zion går upp Guds härliga sken.
Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
3 Vår Gud kommer, och tiger intet. Förtärande eld går för honom, och omkring honom en mägtig storm.
Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4 Han kallar himmel och jord, att han skall döma sitt folk.
Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5 Församler mig mina heliga, som förbundet mer akta än offer.
Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6 Och himlarna skola förkunna hans rättfärdighet; ty Gud är domaren. (Sela)
Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
7 Hör, mitt folk, låt mig tala; Israel, låt mig ibland dig betyga: Jag Gud är din Gud.
Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
8 För ditt offers skull straffar jag dig intet; äro dock dine bränneoffer alltid för mig.
Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
9 Jag vill icke taga oxar utu ditt hus, eller bockar utu dine stall;
Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
10 Ty all djur i skogenom äro mine, och boskapen på bergen, der de vid tusendetal gå.
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
11 Jag känner alla foglar på bergen, och allahanda djur på markene äro för mig.
Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
12 Om mig hungrade, ville jag intet säga dig deraf; ty jordenes krets är min, och allt det deruti är.
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
13 Menar du, att jag oxakött äta vill, eller bockablod dricka?
Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
14 Offra Gudi tackoffer, och betala dem Högsta ditt löfte.
Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
15 Och åkalla mig i nödene; så vill jag hjelpa dig, så skall du prisa mig.
Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
16 Men till den ogudaktige säger Gud: Hvi förkunnar du mina rätter, och tager mitt förbund i din mun;
Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
17 Efter du dock hatar tuktan, och kastar min ord bakom dig?
wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18 När du ser en tjuf, så löper du med honom, och hafver din del med horkarlar.
Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19 Din mun låter du tala det ondt är, och din tunga bedrifver falskhet.
Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20 Du sitter och talar emot din broder; dine moders son förtalar du.
Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21 Detta gör du, och jag tiger. Det menar du, att jag skulle vara lika som du; men jag skall straffa dig, och sätta dig det under ögonen.
Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
22 Märker dock det, I som Gud förgäten, att jag icke en gång bortrycker, och är så ingen förlösare mer.
Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
23 Den der tack offrar, han prisar mig; och der är vägen, att jag visar honom Guds salighet.
Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”

< Psaltaren 50 >