< Psaltaren 5 >
1 En Psalm Davids, till att föresjunga för arfvet. Herre, hör min ord; gif akt uppå mitt tal.
Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
2 Gif akt uppå, mitt rop, min Konung, och min Gud; ty jag vill bedja inför dig.
Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
3 Herre, bittida hör mina röst; bittida vill jag skicka mig till dig, och taga der vara, uppå.
Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
4 Ty du äst icke den Gud, hvilkom ett ogudaktigt väsende behagar; den der ond är, han blifver icke för dig.
Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5 De storordige bestå intet för din ögon; alla ogerningsmän hatar du.
Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6 Du förgör de lögnaktiga; Herren hafver en styggelse vid de blodgiruga och falska.
Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
7 Men jag vill gå in i ditt hus på, dina stora barmhertighet, och tillbedja emot ditt helga tempel i dine fruktan.
Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
8 Herre, led mig i dine rättfärdighet, för mina fiendars skull; gör din väg rättan för mig.
Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
9 Ty uti deras mun är intet visst: deras innersta är vedermöda; deras strupe är en öppen graf; med deras tungor skrymta de.
Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
10 Döm dem, Gud, att de måga falla af sitt uppsåt; drif dem ut för deras stora öfverträdelses skull; ty de äre dig gensträfvige.
Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11 Låt glädja sig alla dem som trösta uppå dig, evinnerliga låt dem fröjda sig; ty du beskärmar dem; låt dem i dig glade vara, som ditt Namn kärt hafva.
Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12 Ty du, Herre, välsignar de rättfärdiga; du kröner dem med nåde, såsom med en sköld.
Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.