< Psaltaren 150 >

1 Halleluja. Lofver Gud i hans helgedom; lofver honom uti hans magts fäste.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Lofver honom i hans dråpeliga gerningar; lofver honom i hans stora härlighet.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Lofver honom med basuner; lofver honom med psaltare och harpor.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Lofver honom med trummor och danser; lofver honom med stränger och pipor.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Lofver honom med klara cymbaler; lofver honom med välklingande cymbaler.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Allt det anda hafver lofve Herran. Halleluja.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Psaltaren 150 >