< Psaltaren 128 >
1 En visa i högre choren. Säll är den som fruktar Herran, och på hans vägar går.
Amebarikiwa kila mtu amchaye Yahwe, atembeaye katika njia zake.
2 Du skall föda dig af dina händers arbete; säll äst du, och väl är dig.
Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
3 Din hustru skall vara såsom ett fruktsamt vinträ, allt omkring i ditt hus; dine barn såsom oliveqvistar kringom ditt bord.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
4 Si, alltså varder välsignad den man, som Herran fruktar.
Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
5 Herren skall välsigna dig af Zion, att du skall få se Jerusalems välfärd, i alla dina lifsdagar;
Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.
6 Och skall få se din barnabarn; frid öfver Israel!
Uishi uwaone wana wa wanao. Amani iwe na Israli.