< Ordspråksboken 15 >

1 Ett mjukt svar stillar vrede; men ett hårdt ord kommer harm åstad.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 De visas tunga gör lärdomen ljuflig; de dårars mun utsputar alltid galenskap.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Herrans ögon skåda i all rum, både onda och goda.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 En helsosam tunga är lifsens trä; men en lögnaktig gör hjertans sorg.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 En dåre lastar sins faders tuktan; men den som tager vid straff, han varder klok.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 Uti dens rättfärdigas hus äro ägodelar nog; men uti dens ogudaktigas tilldrägt är förderf.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 De visas mun utströr god råd; men de dårars hjerta är icke så.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 Dens ogudaktigas offer är Herranom en styggelse; men de frommas bön är honom behagelig.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 Dens ogudaktigas väg är Herranom en styggelse; men den der far efter rättfärdighet, han varder älskad.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 Det är en ond tuktan, öfvergifva vägen; och den der straff hatar, han måste dö.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 Helvete och förderf är för Herranom; huru mycket mer menniskornas hjerta? (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
12 En bespottare älskar icke den honom straffar, och går icke till den visa.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 Ett gladt hjerta gör ett blidt ansigte; men när hjertat bekymradt är, så faller ock modet.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 Ett klokt hjerta handlar visliga; men de öfverdådige dårar regera dårliga.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 En bedröfvad menniska hafver aldrig en god dag; men ett godt mod är ett dageligit gästabåd.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Bättre är något lite med Herrans fruktan, än en stor skatt med oro.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Bättre är en rätt kål med kärlek, än en gödd oxe med hat.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 En sticken man kommer träto åstad; men en tålig man stillar kif.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 Dens latas väg är full med törne; men de frommas väg är väl slät.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 En vis son fröjdar fadren, och en galen menniska skämmer sina moder.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 Enom dåra är galenskapen en glädje; men en förståndig man blifver på rätta vägenom.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 De anslag varda till intet, der icke råd är med; men der månge rådgifvare äro, blifva de beståndande.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 Det är enom glädje, att man honom skäliga svarar, och ett ord i sinom tid är ganska täckeligit.
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 Lifsens väg leder den visa uppåt, på det han skall undvika helvetet, som nedatill är. (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
25 Herren skall nederslå de högfärdigas hus, och stadfästa enkones gränso.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 De argas anslog äro Herranom en styggelse; men ett skäligit tal är täckt.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 Men girige förstörer sitt eget hus; men den som mutor hatar, han skall lefva.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 Dens rättfärdigas hjerta betänker, hvad svaras skall; men de ogudaktigas mun utöser ondt.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 Herren är långt ifrå de ogudaktiga; men de rättfärdigas bön hörer han.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 Ett blidt ansigte gläder hjertat; ett godt ryckte gör benen fet.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 Det öra, som hörer lifsens straff, det skall bo ibland de visa.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 Den som icke låter sig aga, han gör sig sjelf till intet; men den som straff hörer han varder klok.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 Herrans fruktan är en tuktan till vishet, och förr än man till äro kommer, måste man lida.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.

< Ordspråksboken 15 >