< 4 Mosebok 1 >

1 Och Herren talade med Mose, i Sinai öken, uti vittnesbördsens tabernakel, på första dagen, i den andra månadenom, i de andra årena, sedan de voro gångne utur Egypti land, och sade:
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
2 Tager en summo af hela Israels barnas menighet, efter deras slägter, och deras fäders hus och namn, allt det som mankön är, ifrå hufvud till hufvud;
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3 Ifrå tjugu år och derutöfver, allt det som doger till att draga i här i Israel. Och I skolen tälja dem efter deras härar, du och Aaron;
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 Och skolen taga till eder af hvarjo slägtene en höfvitsman öfver hans faders hus.
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5 Desse äro namnen af de höfvitsmän, som med eder stå skola. Af Ruben: Elizur, Sedeurs son.
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6 Af Simeon: Selumiel, ZuriSadai son.
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 Af Juda: Nahesson, Amminadabs son.
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Af Isaschar: Nethaneel, Zuars son.
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 Af Sebulon: Eliab, Helons son.
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 Af Josephs barn: Af Ephraim, Elisama, Ammihuds son: Af Manasse, Gamliel, Pedahzurs son.
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 Af BenJamin: Abidan, Gideoni son.
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Af Dan: Ahieser, Ammi Sadai son.
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 Af Asser: Pagiel, Ochrans son.
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 Af Gad: Eliasaph, Deguels son.
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 Af Naphthali: Ahira, Enans son.
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 Desse äro de namnkunnigaste i menighetene, höfvitsmän i deras fäders slägter, som voro hufvud och Förstar i Israel.
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 Och Mose och Aaron togo dem till sig, såsom de vid namn uppräknade voro;
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18 Och församlade desslikes hela menighetena på första dagen i den andra månadenom, och räknade dem efter deras börd, efter deras slägter och fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, ifrå hufvud till hufvud;
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
19 Såsom Herren hade budit Mose; och talde dem uti Sinai öken.
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
20 Rubens barn, som var den förste Israels son, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå hufvud till hufvud, allt det mankön var, ifrå tjugu år och derutöfver, och de som dogde till att draga i här,
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
21 De vordo räknade intill Rubens slägte, sex och fyratio tusend, och femhundrad.
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 Simeons barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå hufvud till hufvud, allt det som mankön var, ifrå tjugu år och derutöfver, och i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 Vordo talde intill Simeons slägte, nio och femtio tusend, och trehundrad.
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 Gads barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det som i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 Vordo talde intill Gads slägte, fem och fyratio tusend, sexhundrad och femtio.
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 Juda barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 Vordo talde intill Juda slägte, fyra och sjutio tusend, och sexhundrad.
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 Isaschars barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 Vordo talde intill Isaschars slägte, fyra och femtio tusend, och fyrahundrad.
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 Sebulons barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 Vordo talde intill Sebulons slägte, sju och femtio tusend, och fyrahundrad.
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 Josephs barn, af Ephraim, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 Vordo talde intill Ephraims slägte, fyratiotusend, och femhundrad.
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 Manasse barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 Vordo talde intill Manasse slägte, tu och tretio tusend, och tuhundrad.
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 BenJamins barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 Vordo talde intill BenJamins slägte, fem och tretio tusend, och fyrahundrad.
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 Dans barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 Vordo talde intill Dans slägte, tu och sextio tusend, och sjuhundrad.
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 Assers barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde.
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 Vordo talde intill Assers slägte, ett och fyratio tusend, och femhundrad.
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Naphthali barn, efter deras börd, slägter, deras fäders hus och namn, ifrå tjugu år och derutöfver, allt det i här draga dogde,
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 Vordo talde intill Naphthali slägte, tre och femtio tusend, och fyrahundrad.
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 Desse äro de som Mose och Aaron, samt med de tolf Israels Förstar, talde, af hvilkom ju en var öfver hvart af deras fäders hus.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 Och summan af Israels barn, efter deras fäders hus, ifrå tjugu år och derutöfver, det i här draga dogde i Israel,
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 Var sex resor hundradetusend, och tretusen, femhundrade och femtio.
Walihesabu wanaume 603, 550.
47 Men de Leviter, efter deras fäders slägter, vordo intet räknade ibland med.
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
48 Och Herren talade med Mose, och sade:
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
49 Levi slägt skall du intet räkna, eller taga någon summo af dem, ibland Israels barn.
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
50 Men du skall skicka dem till vittnesbördsens tabernakel, och till all dess tyg, och allt det dertill hörer; och de skola bära tabernaklet, och all dess tyg, och skola det sköta, och lägra sig omkring tabernaklet.
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
51 Och när man resa skall, då skola de Leviter taga tabernaklet neder; och när hären skall lägra sig, skola de slå tabernaklet upp. Om någor främmande nalkas dertill, han skall dö.
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52 Israels barn skola lägra sig hvar i sitt lägre, och vid sins härs baner.
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
53 Men Leviterna skola lägra sig omkring vittnesbördsens tabernakel, på det icke skall komma en vrede öfver menighetena af Israels barn. Derföre skola de Leviter vakt hålla vid vittnesbördsens tabernakel.
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
54 Och Israels barn gjorde allt det Herren Mose budit hade.
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.

< 4 Mosebok 1 >