< 4 Mosebok 4 >

1 Och Herren talade med Mose och Aaron, och sade:
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
2 Tag summon af Kehats barn utaf Levi söner, efter deras slägter och fäders hus;
Fanya sensa ya uzao waume wa Kohathi kutoka kwa Walawi, kwa kufuata jamaa na na familia za koo.
3 Ifrå tretio år och derutöfver, allt intill femtionde året, alla de som doga till ämbetet, att de göra de verk i vittnesbördsens tabernakel.
Uwahesabu wanaume ambao wana umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Hawa wataungana na kundi linalotumika kutoa huduma kwenye hema ya kukutania.
4 Och detta skall vara Kehats söners ämbete uti vittnesbördsens tabernakel, det aldrahelgast är.
Uzao wa Kohathi watalinda vile vitu vitakatifu zaidi vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu katika hema ya kukutania.
5 När hären drager af stad, så skola Aaron och hans söner gå in, och taga ned förlåten, och svepa vittnesbördsens ark deruti;
Wakati kambi inapojiandaa kusonga mbele, Haruni na wanawe lazima waende hemani, kulishusha pazia linalotenganisha mahali patakatifu na kulifunika sanduku la ushuhuda kwa pazia hilo. Watalifunika hilo sanduku kwa ngozi za pomboo.
6 Och lägga täckelset deröfver af tackskinn, och breda deruppå ett kläde alltsammans gult, och lägga hans stänger dervid;
Watatandika juu yake nguo za rangi ya samawi. Watachomeka hiyo miti ya kubebea.
7 Och breda desslikes öfver skådobordet ett gult kläde, och sätta deruppå fat, skedar, skålar och kannor, der man med ut och in skänker; och det dagliga brödet skall ligga der när;
Watatandika nguo ya rangi ya samawi kwenye meza ya mikate ya wonyesho. Juu yake wataweka sahani, vijiko, mabakuli na vikombe vya kumiminia. Mikate itakuwepo daima mezani.
8 Och skola breda deröfver ett rosenrödt kläde, och betäcka det med ett täckelse af tackskinn, och lägga dess stänger der när;
Wataifunika na nguo ya rangi nyekundu na ngozi za pomboo. na kuweka miti ya kubebea.
9 Och skola taga ett gult kläde, och svepa ljusens ljusastaka deruti, och hans lampor med hans ljusanäpor och släcketyg, och all oljokar, som ämbetet tillhöra;
Watachukua nguo ya rangi ya samawi na kukifunika kinara, pamoja na taa zake, na koleo zake, na sahani zake na vikombe vyake vya kuwekea mafuta ya taa.
10 Och skola lägga om allt detta ett täckelse af tackskinn, och skola lägga dem på stänger.
Wataweka kinara na vifaa vyake vikiwa vimefunikwa na ngozi ya pomboo, na wataweka kwenye miti ya kukibebea.
11 Sammalunda skola de ock breda öfver gyldene altaret ett gult kläde, och betäcka det med täckelset af tackskinn, och lägga dess stänger dervid.
Watafunika na nguo ya samawi katika madhabau ya dhahabu. Wataifunika na ngozi za pomboo, na kuweka ile miti ya kubebea.
12 All tyg, som de skola med tjena i helgedomen, skola de taga och lägga ett gult kläde deröfver, och täcka det med ett täckelse af tackskinn, och lägga uppå stänger.
Watavichukua vyombo vyote vya kazi takatifu na kuvizonga kwenye hiyo nguo ya rangi ya samawi. Watavifunika na ngozi za pomboo na kuviweka hivyo vyombo kwenye miti ya kubebea.
13 De skola ock sopa askona utaf altaret, och breda ett skarlakanskläde deröfver;
Watayaondoa majivu kwenye madhabahu na kutandika nguo ya rangi ya zambarau juu yake.
14 Och all dess tyg lägga dertill, der de med skaffa hafva deruppå, kolpannor, gafflar, skoflar, bäcken med all redskap till altaret; och skola breda deröfver ett täckelse af tackskinn, och lägga dess stänger dervid.
Watavieka kwenye miti ya kubebea vyombo vyote wanavyovitumia kwa kazi ya madhabahuni. Vyombo hivi ni vyetezo, majembe, mabakuli na vitu vingine vya madhabahuni. Wataifuniks madhabahu na ngozi za pomboo na kuweka ile miti ya kubebea.
15 När nu Aaron och hans söner sådant gjort hafva, och betäckt helgedomen, och all dess redskap, när hären drager af stad, då skola Kehats barn gå in till att bära det, och skola icke komma vid helgedomen, att de icke dö. Detta är Kehats barnas tunge vid vittnesbördsens tabernakel.
Wakati Haruni na wanawe walipokuwa wamekamilisha kupafunika mahali patakatifu na vyombo vyote, na kambi itakapoanza kuendelea mbele, ndipo wana wa Kohathi watakapokuja kubeba vitu vya mahali patakatifu. Kama watagusa vyombo vitakatifu, lazima watakufa. Hii ni kazi ya wana wa uzao wa Kohathi, kubeba mapambo ya hema ya kukutania.
16 Och Eleazar, Prestens Aarons son, skall hafva detta ämbetet, att han skickar oljona till lysning, och speceri till rökverk, och det dagliga spisoffret, och smörjooljan, så att han beskickar hela tabernaklet och allt det deruti är, uti helgedomenom, och hans redskap.
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atalinda na kusimamia mafuta ya taa, ubani mzuri, sadaka za mara kwa mara na mafuta ya upako. Atasimamia ulinzi wa hema lote na vyote vilivyomo, mahali patakatifu na vyombo vyake.”
17 Och Herren talade med Mose och med Aaron, och sade:
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
18 I skolen icke låta de Kehatiters slägtes ätt förderfva sig ibland de Leviter;
Usiruhusu kabila la Wakohathi kuondolewa kati ya Walawi.
19 Utan det skolen I göra med dem, att de måga lefva och icke dö, om de komma vid det aldrahelgasta: Aaron och hans söner skola gå in, och skicka hvar och en till sitt ämbete och tunga;
Walinde waishi ili wasije wakafa, kwa kufanya hivi. Wanapokuwa wanasogelea
20 Men icke skola de gå derin, och skåda helgedomen ohöljdan, att de icke dö.
wasije wakaingia ndani ili kuona eneo takatifu hata kwa kitambo, vinginevyo watakufa. Bali Haruni na wanawe wanaweza kuingia, ndipo Haruni na Wanawe watakapowapangia Wakohathi kazi maalumu ya kufanya, kwa kila mmoj.”
21 Och Herren talade med Mose, och sade:
BWANA akanena na Musa tena, Akasema, “Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao.
22 Tag desslikes summon af Gersons barn, efter deras fäders hus och slägter;
Uwahesabu wale wenye umri wa mika thelathini hadi miaka hamsini.
23 Ifrå tretio år och derutöfver, intill femtionde året, och skicka dem alla, som till ämbete dogse äro, att de skola hafva ämbete i vittnesbördsens tabernakel.
Uwahesabu wote ili waje kuungana na wale wanaotumika katika hema ya kukutania.
24 Och detta skall vara de Gersoniters slägtes ämbete, det de skola sköta och bära.
Hii ndiyo itakuwa kazi ya koo za Gerishoni, wanapotumikia na wanachobeba.
25 De skola bära boningenes tapeter, och vittnesbördsens tabernakel, och dess täckelse, och det täckelset af tackskinn, som ofvan öfver är, och klädet i dörrene af vittnesbördsens tabernakel;
Watabeba pazia la masikani, hema la kukutania, na vifunikio vyake, vifuniko vya ngozi ya pomboo ambvyo viko juu yake, na pazia kwenye lango la hema ya kukutania.
26 Och den bonaden i gårdenom, och klädet i ingången åt gårdenom, som går omkring tabernaklet och altaret, och deras tåg, och all redskap till deras ämbete, och allt det som deras ämbete tillhörer.
Watabeba pazia la ua, pazia la kwenye mlango wa ua, ambao uko karibu na maskani karibu na madhabahu, kamba zake na vifaa vyote vya utumishi wake. Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi, wao ndio watakaofanya.
27 Efter Aarons och hans söners ord skall allt Gersons barnas ämbete gå, allt det de bära och sköta skola; och I skolen se till, att de taga vara på allan deras tunga.
Haruni na wanawe ndio watakaongoza utumishi wa uzao wa Wagerishoni, kwa vitu vyote vile vya kusafirisha, na katika utumishi wao wote. Lazima uwagawie majukumu yao yote.
28 Detta skall vara de Gersoniters barnas slägtes ämbete uti vittnesbördsens tabernakel. Och deras vakt skall vara under Ithamars, Prestens Aarons sons, hand.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa wana wa Wagerishoni katka hema ya kukutania. Ithamari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza katika utumishi.
29 Merari barn, efter deras slägte och fäders hus, skall du ock skicka,
Utawahesabu uzao wa Merari kwa koo zao, na uwapange katika familia za mabau zao,
30 Ifrå tretio år och derutöfver, intill det femtionde året, alla de som till ämbete doga, att de skola hafva ämbete uti vittnesbördsens tabernakel.
kuanzia wenye umri wa miaka thelatini hadi miaka hamsini. Umuhesabu kila atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania.
31 På denna tungan skola de vakta, efter allt deras ämbete uti vittnesbördsens tabernakel, att de bära bräden till tabernaklet, och skottstängerna, och stolparna, och fötterna;
Huu ndio wajibu na kazi yao katika utumishi wao kwenye hema ya kukutania. Watazilinda mbao za maskani, mataluma yake, nguzo na makalishio yake,
32 Och dertillmed stolparna till gården allt omkring, och fötterna och pålarna, och tågen med all deras redskap, efter allt deras ämbete. Hvar och en skolen I tillskicka sin del af tunganom, till att taga vara på redskapen.
pamoja na nguzo za ua zinazozunguka masikani, makalishio yake, vigingi na kamba zake, na vifaa vinginevya ujenzi. Waorodheshe kwa majina na majukumu yao.
33 Detta vare Merari barnas slägtes ämbete, af allt det de sköta skola uti vittnesbördsens tabernakel, under Ithamars, Prestens Aarons sons, hand.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa Merari, ambao wanatakiwa kufanya katika hema ya kukutania, chini ya uongozi wa Ithmari mwana wa Haruni kuhani.”
34 Och Mose och Aaron, samt med höfvitsmännerna öfver menighetena, talde de Kehatiters barn, efter deras slägte och fäders hus;
Musa na Haruni na viongozi wa watu waliwahesabu wana wa uzao wa Wakohathi kwa kufuata koo za familia za mababu zao.
35 Ifrå tretio år och derutöfver, intill femtionde året, alla de som till ämbete dogde, till att hafva ämbete uti vittnesbördsens tabernakel;
Waliwahesabu wale wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Walimhesabu kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi linalotoa huduma ya utumishi kwenye hema ya kukutania.
36 Och summan var tutusend, sjuhundrad och femtio.
Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
37 Det är summan af de Kehatiters slägte, hvilka alle till skaffa hade uti vittnesbördsens tabernakel; de Mose och Aaron talde efter Herrans ord genom Mose.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote kutoka koo na familia za Wakohathi ambao hutumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi kwa kumtii BWANA aliyewaagiza kupitia kwa Musa.
38 Gersons barn vordo ock talde i deras slägter och fäders hus;
Uzao wa Gerishoni walihesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao,
39 Ifrå tretio år och derutöfver, allt intill det femtionde, alle de som till ämbete dogde, till att hafva ämbete uti vittnesbördsens tabernakel;
kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kwa kila mmoja aliyetakiwa kuungana na watu wanaotoa huduma kwenye hema ya kukutania.
40 Och summan var tutusend, sexhundrad och tretio.
Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
41 Det är summan af Gersons barnas slägte, de der alle hade till skaffa uti vittnesbördsens tabernakel, hvilka Mose och Aaron talde efter Herrans ord.
Musa na Haruni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa.
42 Merari barn vordo ock talde, efter deras slägter och fäders hus;
Uzao wa Merari walihesabiwa kwa koo kupitia familia za mababu zao,
43 Ifrå tretio år och derutöfver, allt intill det femtionde, alle de som till ämbete dogde, till att hafva ämbete uti vittnesbördsens tabernakel;
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kila anayepaswa kuungana na watu wanaotumika kwenye hema ya kukutania.
44 Och summan var tretusend och tuhundrad.
Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200.
45 Detta är summan af Merari barnas slägte, de Mose och Aaron talde efter Herrans ord genom Mose.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume hawa, uzao wa Merari. Kw kufanya hivi walitii amri ya BWANA aliyowaaagiza kufanya kupitia kwa Musa.
46 Summan af alla Leviterna, som Mose och Aaron, samt med Israels höfvitsmän, talde efter deras slägter och fäders hus;
Kwa hiyo Musa na Haruni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kw kufuata koo na familia za mababu zao
47 Ifrå tretio år och derutöfver, intill det femtionde, alle de som ingingo till att skaffa, hvar i sitt ämbete, till att draga tungan uti vittnesbördsens tabernakel;
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. walimhesabu kila aliyepaswa kufanya kazi kwenye masikani, na kila aliyepaswa kubeba na kulinda vitu vya kwenye hema ya kukutania.
48 Var åttatusend, femhundrad och åttatio;
Waliwahesabu wanaume 8, 580.
49 De der talde vordo efter Herrans ord genom Mose, hvar och en till sitt ämbete och tunga, såsom Herren hade budit Mose.
Kwa agizo la BWANA, Musa alimhesabu kila mwanamume na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya. Kwa hivyo, walitii kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya kupitia kwa Musa.

< 4 Mosebok 4 >