< Mika 1 >
1 Detta är Herrans ord, som skedde till Micha af Maresa, uti Jothams, Ahas och Jehiskia, Juda Konungars, tid; det han såg öfver Samarien och Jerusalem.
Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
2 Hörer, all folk; märk till, du land, och hvad deruti är; ty Herren Herren hafver att tala med eder; ja, Herren utu sitt helga tempel.
Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
3 Ty si, Herren skall utgå af sitt rum, och nederkomma, och gå uppå höjderna i landena;
Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
4 Så att bergen skola smälta under honom, och dalarna skola refna; såsom vax smälter för eldenom, såsom vatten som nederåt flyta.
Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
5 Allt detta för Jacobs öfverträdelses skull, och för Israels hus synders skull. Hvilken är då Jacobs öfverträdelse? Är det icke Samarien? Och hvilka äro Juda höjder? Är det icke Jerusalem?
Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
6 Och jag vill göra Samarien till en stenhop i markene, den man lägger omkring en vingård, och skall bortsläpa dess stenar uti dalen, och bryta det neder i grund.
“Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
7 Alle dess afgudar skola sönderslagne varda, och all dess vinning med eld uppbränd varda, och skall jag utöda all dess beläte; ty de äro sammankomne af skökolön, och skola åter skökolön varda.
Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
8 Der måste jag gråta öfver, och jämra mig; jag måste gå blott och naken; jag måste klaga såsom drakar, och sörja såsom strutser;
Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
9 Ty till dess plågo är intet råd, hvilken allt intill Juda kommen är, och skall räcka, allt intill mins folks port i Jerusalem.
Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
10 Förkunner det ju icke i Gath: låter icke höra, att I gråten; utan går in uti sörjokammaren, och sätter eder i asko.
Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
11 Du sköne stad måste omkull med all skam; den stolte varder intet mer prålandes för ångests skull; ty grannen skall taga ifrå honom hvad han hafver.
Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
12 Den ohörsamma staden hoppas, att det skall icke varda så ondt; men olyckan skall komma ifrå Herranom, och intill Jerusalems port.
Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
13 Du stad Lachis, spänn trafvare före, och far dädan; ty du hafver varit dottrene Zion ett exempel till synd, och hållit Israels afguderi.
Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
14 Du måste gifva fångar, sil väl som Gath. Dem stadenom Achsib skall fela förbundet med Israels Konungar.
Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
15 Jag skall föra dig, o Maresa, den rätta arfvingan; och det härliga Israels rike skall varda en kula.
Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
16 Låt afskära håren, och gack kullot öfver din dägeliga barn; gör dig platt kullot, såsom en örn; ty de äro fångne ifrå dig bortförde.
Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako