< Josua 20 >

1 Och Herren talade med Josua, och sade:
Baada ya hayo, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 Säg Israels barnom: Skicker ibland eder några fristäder, om hvilka jag eder genom Mosen sagt hafver;
“Waambia watu wa Israeli, na kusema, 'Chagueni miji ya makimbilio ambayo niliwaambia kupitia kwa Musa.
3 Att dit må fly en mandråpare, som slår en själ oförvarandes och ovetandes; att de må ibland eder fri vara för blodhämnaren.
Fanyeni hivi ili mtu akiua mtu bila kukusudia aweze kwenda huko. Miji hii itakuwa ni sehemu ya kukimbilia kutoka kwa mtu yeyote yule anayetaka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa.
4 Och den som flyr till någon af de städer, han skall stå utanför stadsporten, och för de äldsta i staden förtälja sin sak; så skola de taga honom in i staden till sig, och få honom rum, att han må bo när dem.
Atakimbilia kwa mji mmoja miongoni mwa miji hiyo na atasimama mlangoni mwa lango la mji, na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule. Kisha watamwingiza ndani ya mji na watampatia sehemu yake ya kuishi miongoni mwao.
5 Och om blodhämnaren kommer efter honom, skola de icke öfverantvarda dråparen i hans händer, efter han oförvarandes slog sin nästa, och var icke tillförene hans ovän.
Na kama mtu akija akataka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa, ndipo watu wa mji hawatatakiwa kumtoa kwa wenye mamlaka mtu huyo aliyeua. Hawaruhusiwi kufanya hivyo kwasababu alimwua jirani bila kukusudia na hakuwa na chuki naye hapo awali.
6 Så skall han bo i stadenom, tilldess han står för menighetene till rätta, allt intilldess öfverste Presten dör, som på den tiden är; då skall dråparen komma till sin stad igen, och i sitt hus i stadenom, der han utflydder var.
Ni lazima akae katika mji ule mpaka pale atakapokuwa amesimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya kuhukumiwa, hadi pale atakapokufa mtu yule anayetumika katika nafasi ya kuhani mkuu katka siku hizo. Na kisha mtu yule aliyeua bila kukusudia aweza kurudi nyumbani kwake, katika mji ule ulikotoka.
7 Då helgade de Kedes i Galilea på Naphthali berg, och Sechem på Ephraims berg, och KariathArba, det är Hebron, på Juda berg;
Kwahiyo, Waisraeli wakaichaguia Kedeshi iliyoko Galilaya katika nchi ya milima ya Nafutali, Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na Kiriathi Arba (ambayo ndio Herbroni) katika nchi ya milima ya Yuda.
8 Och på hinsidon Jordan vid Jericho österut skickade de Bezer i öknene på slättmarkene, af Rubens slägte; och Ramoth i Gilead, af Gads slägte, och Golan i Basan, af Manasse slägte.
Katika ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko, walichagua mji wa Bezeri huko nyikani katika nyanda za kabila la Rubeni; na Ramothi Gileadi kutoka kabila la Gadi; na Golani katika Bashani, kutoka katika kabila la Manase.
9 Det voro då de städer, som Israels barnom förelagde voro, och främlingomen som ibland dem bodde, att dit skulle fly den som en själ oförvarandes sloge; att han icke skulle ihjälslås af blodhämnaren, intilldess han hade ståndit för menighetene.
Hii ni miji iliyochaguliwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwao, ili kwamba mtu yeyote amwuaye mtu bila kukusudia aweza kukimbilia huko kwa ajili ya kupata usalama. Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule anayetake kulipiza kisasi cha damu iliyomwagwa, mpaka hapo kwanza mtuhumiwa atakaposimama mbele ya kusanyiko la watu.

< Josua 20 >