< Job 37 >

1 Deraf förskräcker sig mitt hjerta, och bäfvar.
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 Hörer hans rösts skall, och det ljud som utaf hans mun går.
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 Han ser under alla himlar, och hans ljus skin uppå jordenes ändar.
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 Efter honom bullrar dundret, han dundrar med ett stort skall; och när hans dundrande hördt varder, kan man intet förhålla det.
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 Gud dundrar med sitt dunder grufveliga, och gör stor ting, och varder dock intet känd.
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 Han talar till snön, så är han straxt här på jordene, och till regnskuren, så är regnskuren der med magt.
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 Man förgömmer sig ibland alla menniskor, att folket skall känna hans verk.
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 Vilddjuret kryper uti skjul, och blifver i sitt rum.
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 Sunnanefter kommer väder, och nordanefter köld.
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 Af Guds anda kommer frost, och stort vatten, då han utgjuter.
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 De tjocke skyar skilja sig, att klart skall varda, och igenom molnet utbrister hans ljus.
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 Han vänder skyarna hvart han vill, att de skola göra allt det han bjuder dem på jordenes krets;
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 Ehvad det är öfver en slägt, eller öfver ett land, då man finner honom barmhertigan.
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 Akta deruppå, Job; statt och förnim Guds under.
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 Vetst du, när Gud låter detta komma öfver dem; och när han låter sina skyars ljus utgå?
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 Vetst du, huru skyarna utsprida sig; hvilka under de fullkomlige veta;
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 Att din kläder varm äro, då landet är stilla af sunnanväder?
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 Ja, du utbreder icke skyarna med honom, hvilke starke äro, och anseende såsom en grund.
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 Låt oss höra hvad vi skole säga honom; förty vi räcke icke intill honom för mörker.
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 Ho skall förtälja honom hvad jag talar? Om någor talar, han varder uppsluken.
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 Nu ser man icke ljuset, som inom skyn lyser; men när vädret blås, göres det klart.
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 Ifrå nordan kommer guld, den förskräckelige Gudi till lof;
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Men den Allsmägtiga kunna de intet finna, den så stor är i magtene; ty han måste ingen räkenskap göra af sinom rätt och rättfärdigom sakom.
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 Derföre måste menniskorna frukta honom, och han fruktar inga visa.
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”

< Job 37 >