< Job 37 >

1 Deraf förskräcker sig mitt hjerta, och bäfvar.
“Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.
2 Hörer hans rösts skall, och det ljud som utaf hans mun går.
Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake, sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
3 Han ser under alla himlar, och hans ljus skin uppå jordenes ändar.
Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote na kuupeleka hata miisho ya dunia.
4 Efter honom bullrar dundret, han dundrar med ett stort skall; och när hans dundrande hördt varder, kan man intet förhålla det.
Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake; Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari. Wakati sauti yake ingurumapo tena, huuachilia umeme wake wa radi.
5 Gud dundrar med sitt dunder grufveliga, och gör stor ting, och varder dock intet känd.
Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu; yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
6 Han talar till snön, så är han straxt här på jordene, och till regnskuren, så är regnskuren der med magt.
Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’ nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
7 Man förgömmer sig ibland alla menniskor, att folket skall känna hans verk.
Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake, yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
8 Vilddjuret kryper uti skjul, och blifver i sitt rum.
Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
9 Sunnanefter kommer väder, och nordanefter köld.
Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
10 Af Guds anda kommer frost, och stort vatten, då han utgjuter.
Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
11 De tjocke skyar skilja sig, att klart skall varda, och igenom molnet utbrister hans ljus.
Huyasheheneza mawingu kwa maji, naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
12 Han vänder skyarna hvart han vill, att de skola göra allt det han bjuder dem på jordenes krets;
Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake, juu ya uso wa dunia yote, kufanya lolote ayaamuruyo.
13 Ehvad det är öfver en slägt, eller öfver ett land, då man finner honom barmhertigan.
Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu, au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
14 Akta deruppå, Job; statt och förnim Guds under.
“Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
15 Vetst du, när Gud låter detta komma öfver dem; och när han låter sina skyars ljus utgå?
Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu, na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
16 Vetst du, huru skyarna utsprida sig; hvilka under de fullkomlige veta;
Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
17 Att din kläder varm äro, då landet är stilla af sunnanväder?
Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
18 Ja, du utbreder icke skyarna med honom, hvilke starke äro, och anseende såsom en grund.
je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga, zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
19 Låt oss höra hvad vi skole säga honom; förty vi räcke icke intill honom för mörker.
“Tuambieni yatupasayo kumwambia; hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
20 Ho skall förtälja honom hvad jag talar? Om någor talar, han varder uppsluken.
Je, aambiwe kwamba nataka kuongea? Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
21 Nu ser man icke ljuset, som inom skyn lyser; men när vädret blås, göres det klart.
Basi hakuna awezaye kulitazama jua, jinsi linavyongʼaa angani, upepo ukishafagia mawingu.
22 Ifrå nordan kommer guld, den förskräckelige Gudi till lof;
Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu; Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
23 Men den Allsmägtiga kunna de intet finna, den så stor är i magtene; ty han måste ingen räkenskap göra af sinom rätt och rättfärdigom sakom.
Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza; katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
24 Derföre måste menniskorna frukta honom, och han fruktar inga visa.
Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni, kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”

< Job 37 >