< Job 34 >
1 Och Elihu svarade, och sade:
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
2 Hörer, I vise, mitt tal, och I förståndige, akter på mig;
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Ty örat pröfvar talet, och munnen smakar maten.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 Låt oss utvälja en dom, att vi måge emellan oss känna hvad godt är.
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Ty Job hafver sagt: Jag är rättfärdig, och Gud hafver förvägrat mig min rätt.
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 Jag måste ljuga, om jag än rätt hade; jag varder plågad af min skott, om jag än det intet förskyllat hade.
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Ho är en sådana, som Job; som gabberi dricker såsom vatten,
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 Och går på vägenom med illgerningsmän, så att han vandrar med ogudaktiga män?
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 Ty han hafver sagt: Om än någor rätt färdig vore, så gäller han dock intet när Gudi.
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Hörer mig, I vise män: Bort det, att Gud skulle vara ogudaktig, och den Allsmägtige orättvis;
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 Utan han lönar menniskone, efter som hon hafver förtjent; och drabbar uppå hvar och en efter hans gerningar.
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Utan tvifvel, Gud fördömer ingen med orätt, och den Allsmägtige böjer icke rätten.
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Ho hafver skickat det uppå jordene är, och ho hafver satt hela jordenes krets?
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Om han det toge sig före, kunde han allas anda och lif till sig samla;
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 Allt kött vorde tillhopa förgåendes, och menniskan vorde åter till asko igen.
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Hafver du förstånd, så hör detta, och gif akt på mins tals röst.
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Skulle någon fördenskull tvinga rätten, att han hatar honom? Och derföre att du stolt äst, skulle du fördenskull fördöma den rättfärdiga?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Skulle någor säga till Konungen: Du Belial? och till Förstarna: I ogudaktige?
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 Den dock icke ser på Förstarnas person, och känner icke mer den härliga än den fattiga; förty de äro alle hans handaverk.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Med hast måste menniskorna dö, och om midnattstid förskräckas och förgås; de mägtige varda kraftlöse borttagne.
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 Ty hans ögon se uppå hvars och ens vägar, och han skådar alla deras gånger.
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 Intet mörker eller skygd är, att ogerningsmän måga sig der fördölja;
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Ty det varder ingom tillstadt, att han kommer med Gud till rätta.
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 Han förgör många stolta, som icke stå till att räkna; och sätter andra i deras stad;
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 Derföre, att han känner deras gerningar; och omstörter dem om nattena, att de skola sönderkrossade varda.
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 Han kastar de ogudaktiga uti en hop, der man gerna ser det;
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 Derföre, att de icke hafva följt honom efter, och förstodo ingen af hans vägar;
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 Att de fattigas rop skulle komma inför honom, och han dens eländas rop höra måtte.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 Om han frid gifver, ho vill fördöma? Och om han förskyler anletet, ho vill se uppå honom ibland folken och menniskorna?
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 Så låter han nu en skrymtare regera, till att plåga folket.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 För Guds skull vill jag lida talet, och icke förmenat.
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 Hafver jag icke drabbat rätt, lär du mig bättre; hafver jag orätt handlat, vill jag icke göra så mer.
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 Man vänter nu svar af dig; ty du förkastar all ting, och du hafver begynt det, och icke jag. Vetst du nu något, så tala.
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 Visa män låter jag väl tala, och en vis man hörer mig.
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 Men Job talar ovisliga, och hans ord äro icke vis.
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Min Fader, låt Job försökt varda allt intill ändan, derföre att han vänder sig till orättfärdiga menniskor.
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 Han hafver utöfver sina synd ännu dertill hädat; derföre låt honom inför oss slagen varda; och träte sedan med sinom ordom inför Gud.
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”