< Jeremia 43 >

1 Då Jeremia all Herrans deras Guds ord till allt folket uttalat hade, såsom Herren deras Gud honom all dessa ord till dem befallt hade,
Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
2 Sade Asaria, Hosaja son, och Johanan, Kareahs son, och alle öfverdådige män till Jeremia: Du ljuger; Herren vår Gud hafver intet sändt dig till oss, eller sagt: I skolen icke draga in uti Egypten, till att bo der;
Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
3 Men Baruch, Neria son, eggar dig emot oss, på det vi skolom de Chaldeer öfvergifne varda, att de skola döda oss, och bortföra oss till Babel.
Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
4 Alltså ville Johanan, Kareahs son, och alle höfvitsmännerna, samt med allo folkena, intet lyda Herrans röst, att de måtte blifvit i Juda lande;
Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
5 Utan Johanan, Kareahs son, och alle höfvitsmännerna togo till sig alla qvarlefda af Juda, de som ifrån all folk dit flydde och igenkomne voro, till att bo i Juda lande;
Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
6 Nämliga män, qvinnor och barn; dertill Konungens döttrar, och alla själar som NebuzarAdan, höfvitsmannen när Gedalia, Ahikams sone, Saphans sons, låtit hade, och Propheten Jeremia, och Baruch, Neria son;
Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
7 Och drogo in uti Egypti land; ty de ville intet höra Herrans röst; och kommo till Thahpanhes.
Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
8 Och Herrans ord skedde till Jeremia i Thahpanhes, och sade:
Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
9 Tag stora stenar, och graf dem neder uti enom tegelugn, som är vid porten åt Pharaos hus i Thahpanhes, så att de män af Juda se deruppå;
“Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
10 Och säg till dem: Så säger Herren Zebaoth, Israels Gud: Si jag skall sända bort, och låta hemta min tjenare NebucadNezar, Konungen i Babel, och skall sätta hans stol ofvanuppå dessa stenarna, som jag här nedgräfvit hafver, och han skall slå sin tjäll deröfver.
Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
11 Och han skall komma, och slå Egypti land, och dräpa hvem det uppå råkar; för fångar bortföra hvem det uppå råkar; med svärd slå hvem det uppå råkar.
Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
12 Och jag skall tända eld uppå de afgudars hus uti Egypten, att han dem uppbränner och bortförer; och han skall utikläda sig Egypti land, lika som en herde utikläder sig sin mantel, och draga sin väg dädan med frid.
Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
13 Och han skall sönderslå de belätestodar i BethSemes, i Egypti land, och uppbränna de afgudakyrkor uti Egypten med eld.
Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”

< Jeremia 43 >