< Jeremia 38 >

1 Men Sephatja, Matthans son, och Gedalia, Pashurs son, och Juchal, Selemja son, och Pashur, Malchia son, hörde de orden, som Jeremia till allt folket talade, och sade:
Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, na Pashuri mwana wa Malkiya alisikia maneno ambayo Yeremia alikuwa akitanganza kwa wato wote. Alikuwa akisema,
2 Detta säger Herren: Den som blifver i denna stadenom, han måste dö för svärd, hunger och pestilentie; men den som utgår till de Chaldeer, han skall blifva lefvandes, och gå af med sitt lif, såsom med ett byte.
“Yahwe asema hivi: Yeyote anayeishi kwenye mji huu atauwawa kwa upanga, njaa, na pigo. Lakini yeyote ambaye aendae kwa Wakaldayo ataishi. Atatoroka pamoja na maisha yake mwenyewe, na kuishi.
3 Ty så säger Herren: Denne staden skall gifven varda Konungens här af Babel, och de skola vinna honom.
Yahwe asema hivi: Huu mji huu utapewa kwa mkono wa jeshi la mfalme wa Babeli, na ataukamata.”
4 Då sade Förstarna till Konungen: Låt dock dräpa denna mannen; ty med det sättet afvänder han det krigsfolk, som ännu qvart är i denna stadenom; sammalunda ock allt folket, efter han sådana ord till dem säger; ty den mannen söker icke efter det som folkets bästa är, utan det värsta.
Kwa hiyo maafisa walisema kwa mfalme, “Acha mtu huu afe, kwa kuwa kwa njia hii anadhofisha mikono ya wanaume wapiganaji waliobaki kwenye mji huu, na mikono ya watu wote. Anatanganza maneno haya, kwa kuwa huyu mtu hafanyi kwa usalama wa watu hawa, lakini kwa majanga.”
5 Konungen Zedekia sade: Si, han är i edra händer; ty Konungen förmår intet emot eder.
Basi mfalme Sedekia alisema, “Tazama, yuko mkononi mwako kwa kuwa hakuna mfalme awezae kumpinga.”
6 Då togo de Jeremia, och kastade honom uti Malchia kulo, Hammelechs sons, den på gården för fångahuset var; och släppte honom med tåg neder i kulona, der intet vatten, utan träck, uti var; och Jeremia sank neder i träcken.
Kisha walimchukua Yeremia na kumtupa kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme. Kisima kilikuwa kwenye uwanja wa mlinzi. Walimshusha Yeremia chini kwa kamba. Hapakuwa na maji kwenye kisima, lakini kulikuwa na matope, na alizama chini ya matope.
7 Då nu EbedMelech, den Ethiopen, en kamererare i Konungshusena, hörde att de hade kastat Jeremia uti kulona, och Konungen satt uti BenJamins port,
Sasa Ebed Meleki Mkushi alikuwa mmoja wa watowashi katika nyumba ya mfalme. Alisikia kwamba walikuwa wamemuweka Yeremia kwenye kisima. Sasa mfalme alikuwa ameketi kwa mlango wa Benjamini.
8 Så gick EbedMelech utu Konungshusena, och talade med Konungenom, och sade;
Basi Ebed Meleki alienda toka nyumba ya mfalme na kuzungumza na mfalme.
9 Min herre Konung, de män handla illa med Propheten Jeremia, att de hafva kastat honom i kulona, der han må af hunger dö; ty i stadenom är intet bröd mer.
Alisema, “Bwana wangu mfalme, hawa wanaume wamefanya uovu kwa namna walivyomtendea Yeremia nabii. Walimtupa kwenye kisima kwa ajili ya kufa kutokana na njaa, tangu hakuna chakula zaidi katika mji.”
10 Då befallde Konungen EbedMelech den Ethiopen, och sade: Tag tretio män med dig af dessa, och tag Propheten Jeremia upp utu kulone, förr än han dör.
Kisha mfalme alitoa amri kwa Ebed Meleki Mkushi. Alisema, “Chukua amri ya watu thelasini kutoka hapa na mtoe Yeremia nabii nje ya kisima kabla hajafa.”
11 Och EbedMelech tog männerna med sig, och gick uti Konungshuset under fataburen, och tog der gamla och utslitna paltor, och lät dem neder med ett rep till Jeremia i kulona.
Basi Ebed Meleki alichukua amri ya watu hao na akaenda nyumba ya mfalme, kwenye ghala la nguo chini ya nyumba. Toka hapo alichukua vitambaa na nguo zilizochanika na kuyashusha chini kwa kamba kwa Yeremia ndani ya kisima.
12 Och EbedMelech, den Ethiopen, sade till Jeremia: Låt denna gamla och utslitna paltorna under dina armar omkring repet. Och Jeremia gjorde så.
Ebed Meleki Mkushi alisema kwa Yeremia, “Weka matambara na nguo zilizoraruka chini ya mikono yako na juu ya kamba.” Basi Yeremia alifanya hivyo.
13 Och de drogo Jeremia upp med repena utu kulone, och Jeremia blef så i gårdenom för fångahuset.
Kisha walimvuta Yeremia kwa kamba. Kwa njia hii walimtoa kutoka kisimani. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi.
14 Och Konung Zedekia sände bort, och lät hemta Propheten Jeremia till sig, till den tredje ingången på Herrans hus; och Konungen sade till Jeremia: Jag vill fråga dig något; käre, fördölj intet för mig.
Kisha Mfalme Sedekia alituma neno na kumleta Yeremia nabii kwake, kwenye lango la tatu la nyumba ya Yahwe. Mfalme alisema kwa Yeremia, “Nataka nikuulize kitu. Usinizuilie jibu mimi.”
15 Jeremia sade till Zedekia: Om jag säger dig något, så dräper du mig dock; och om jag gifver dig råd, så lyder du mig intet.
Yeremia alisema kwa Sedekia, “Kama nakujibu, hautaniuawa kwa hakika? Na kama nakupa ushauri, hautanisikiliza mimi.”
16 Då svor Konung Zedekia Jeremia hemliga, och sade: Så sant som Herren lefver, den oss denna själena gjort hafver, vill jag icke dräpa dig, eller få dig de män i händer, som efter ditt lif stå.
Lakini Mfalme Sedekia aliapa kwa Yeremia kwa siri na kusema, “Kama Yahwe aishivyo, yeye aliyetufanya sisi, Sitakuuwa au kukuweka kwenye mkono wa watu wale wanaotafuta maisha yako.”
17 Och Jeremia sade till Zedekia: Detta säger Herren Gud Zebaoth, Israels Gud: Om du utgår till Konungens Förstar af Babel, så skall du blifva lefvandes, och denne staden skall icke uppbränd varda, utan du och ditt hus skolen vid lif blifva.
Kwa hiyo Yeremia alisema kwa Sedekia, “Yahwe, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama kwa kweli utatoka kwenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli basi utaishi, and mji huu hautachomwa. Wewe na familia yako mtaishi.
18 Men om du icke utgår till Konungens Förstar af Babel, så varder denne staden uti de Chaldeers händer gifven, och de skola uppbränna honom i eld, och du skall ej heller undkomma deras händer.
Lakini kama hautaenda kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, basi mji huu utachukuliwa kwa mkono wa Wakaldayo. Watauchoma, na hautakwepa kutoka mkono wao.”
19 Konung Zedekia sade till Jeremia: Jag befruktar mig, att jag må varda gifven de Judar i händer, som till de Chaldeer fallne äro, att de skola bespotta mig.
Mfalme Sedekia alisema kwa Yeremia, “Lakini ninaogopa watu wa Yuda waliotoka jangwani kwenda kwa Wakaldayo, kwa sababu nitapewa katika mkono wao, kwa kunifanyia vibaya.”
20 Jeremia sade: Man varder dig intet gifvandes; käre, hör dock Herrans röst, den jag dig säger; så skall dig väl gå, och du skall lefvandes blifva.
Yeremia alisema, “Hawatakutoa kwao. Tii ujumbe toka kwa Yahwe ambao ninakuambia, ili kusudi mambo yataenda vizuri kwako, na ili kusudi utaishi.
21 Men om du icke utgår, så är detta det ord, som Herren mig undervist hafver:
Lakini kama unakataa kutoka, hivi ndivyo Yahwe amenionesha mimi.
22 Si, alla de qvinnor, som ännu qvara äro uti Juda Konungs hus, de måste ut till Konungens Förstar af Babel; de samma skola då säga: Ack! dine tröstare hafva bedragit och förfört dig, och fört dig neder i träcken, och låta dig nu ligga.
Tazama! Wanawake wote walioachwa kwenye nyumba yako, mfalme wa Yuda, ataletwa kwa maafisa wa mfalme wa Babeli. Hawa wanawake watasema kwako, “Umedaganywa na rafiki zako; wamekuharibu. Miguu yako sasa imezama kwenye matope, na rafiki zako watakimbia.'
23 Alltså skola då alla dina hustrur och barn utkomma till de Chaldeer, och du sjelf skall icke kunna undkomma deras händer; utan du skall varda gripen af Konungenom i Babel, och denne staden skall med eld uppbränd varda.
Kwa kuwa wake zenu wote na watoto wataletwa kwa Wakaldayo, na wewe mwenyewe hautatoroka nchi yao. Utashikwa na mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa.”
24 Och Zedekia sade till Jeremia: Si till, att ingen får dessa orden veta, så varder du icke dödad.
Kisha Sedekia alisema kwa Yeremia, “Usimjulishe yeyote kuhusu maneno haya, ili kwamba usije kufa.
25 Och om Förstarna få veta, att jag hafver talat med dig, och de komma till dig, och säga: Säg, hvad hafver du talat med Konungenom? dölj det icke för oss, så vilje vi icke dräpa dig; och hvad hafver Konungen talat med dig?
Kama maafisa wanasikia kwamba nimeongea na wewe- kama wanakuja na kusema kwako, 'Tuambia umezungumza nini pamoja na mfalme. Usitufiche, au tutakuuwa. Na tuambie nini mfalme amesema kwako'-
26 Så säg till dem: Jag hafver bedit Konungen, att han icke skall låta mig åter komma uti Jonathans hus igen, att jag icke blifver der död.
kisha unapaswa kusema nao, “Nilishawishiana pamoja na mfalme asirudi kwangu kwa nyumba ya Yonathan nitakufa humo.”
27 Då kommo alle Förstarna till Jeremia, och frågade honom; och han sade dem, såsom Konungen honom befallt hade. Så öfvergåfvo de honom, efter de intet kunde förfara af honom.
Kisha maafisa wote walikuja kwa Yeremia na kumuuliza, basi aliwajibu kama mfalme alivyomuelekeza. Basi waliacha kuongea pamoja naye, kwa sababu hawakusikia mazungumzo kati ya Yeremia na mfalme.
28 Och Jeremia blef uti gårdenom för fångahuset, allt intill den dagen då Jerusalem vunnet vardt; och der var han, då Jerusalem vardt vunnet.
Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja wa mlinzi mpaka siku ile Yerusalem ilipotekwa.

< Jeremia 38 >