< Jeremia 26 >
1 Uti Jojakims rikes begynnelse, Josia sons, Juda Konungs, skedde detta ord af Herranom, och sade:
Mwanzoni mwa utawala wake Yehoyakimu mwana wa Yosia, neno likaja kutoka kwa Yeremia, likisema,
2 Detta säger Herren: Gack in uti gården, åt Herrans hus, och predika för alla Juda städer, som der ingå till att tillbedja i Herrans hus, all de ord som jag dig befallt hafver att säga dem, och lägg der inte bort af;
“Yahwe anasema hivi: Simama katika uwanja wa nyumba yangu na sema kuhusu miji yote ya Yuda ambao huja kuabudu katika nyumba yangu. Tangaza maneno yote niliyokuamuru kuyasema kwao. Usipunguze neno lolote!
3 Om de tilläfventyrs höra kunna och omvända sig, hvar och en ifrå sitt onda väsende, på det jag ock måtte ångra mig det onda, som jag tänker att göra dem, för deras onda väsendes skull.
Labda watasikiliza, kwamba kila mtu ataziacha njia zake mbaya, ili nighairi majanga ninayokusudia kuyaleta juu yao kwa sababu ya uovu wa matendo yao.
4 Och säg till dem: Detta säger Herren: Om I icke hören mig, så att I vandren uti min lag, som jag eder föresatt hafver;
Kwa hiyo lazima useme kwao, 'Yahwe anasema hivi: Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu—
5 Att I hören mina tjenares Propheternas ord, de jag städse till eder sändt hafver, och I dock intet höra villen;
kama hamsikilizi maneno ya watumishi wangu manabii ambao naendelea kuwatuma kwenu—lakini hamjasikiliza! —
6 Så skall jag göra med desso huse likasom med Silo, och göra denna staden allom Hedningom på jordene till bannor.
kisha nitaifanya nyumba hii kuwa kama Shilo; nitaifanya nyumba hii kuwa laana katika macho ya mataifa yote juu ya dunia.
7 Då nu Presterna, Propheterna och allt folket hörde Jeremia, att han sådana ord talade i Herrans hus;
Makuhani, manabii, na watu wote wakamsikia Yeremia akitangaza maneno haya katika nyumba ya Yahwe.
8 Och Jeremia nu uttalat hade allt det Herren honom befallt hade att säga allo folkena, grepo honom Presterna, Propheterna och allt folket, och sade: Du måste dö.
Kwa hiyo ikatokea kwamba Yeremia alipomaliza kutangaza aliyokuwa Yahwe alimwwamuru kuyasema kwa watu wote, makuhani, manabii, na watu wote wakamsimamisha na kusema, “Hakika utakufa!
9 Hvi djerfves du prophetera i Herrans Namn, och säga: Det skall så gå med desso husena likasom med Silo, och denne staden skall så öde varda, att der ingen mer inne bor? Och allt folket församlade sig i Herrans hus emot Jeremia.
Kwa nini umetabiri katika jina la Yahwe na kusema kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, pasipo wakaaji?” Kwa maana watu wote wameunda kundi dhidi ya nyumba ya Yeremia.
10 Då nu Juda Förstar det hörde, gingo de utu Konungshuset upp i Herrans hus, och satte sig för Herrans nya port.
Kisha wakuu wa Yuda wakasikia maneno haya na wakapanda kutoka nyumba ya mfalme kwenda kwenye nyumba ya Yahwe. Wakakaa katika njia ya lango katika Lango Jipya la nyumba ya Yahwe.
11 Och Presterna och Propheterna talade inför Förstarna och allo folkena, och sade: Denne är döden värd; ty han hafver predikat emot denna staden, såsom I med eder öron hört hafven.
Makuhani na manabii wakasema kwa wakuu wa Yuda na kwa watu wote. Wakasema, “Ni haki kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu!”
12 Men Jeremia sade till alla Förstarna, och till allt folket: Herren hafver sändt mig, att jag detta allt, som I hört hafven, predika skulle, emot detta huset, och emot denna staden.
Kwa hiyo Yeremia akasema kwa wakuu wote na watu wote, “Yeremia amenituma kutabiri juu ya nyumb hii na mji wake, kusema maneno yote ambayo mmeyasikia.
13 Så bättrer nu edart väsende, och handel, och hörer Herrans edars Guds röst, så skall ock Herren låta sig ångra det onda, som han emot eder talat hafver.
Kwa hiyo sasa, imarisheni njia zenu na matendo yenu, na sikilizeni sauti ya Yahwe Mungu wenu kwamba ataghairi kuhusu janga ambalo ametangaza dhidi yenu.
14 Si, jag är i edra händer: I mågen göra med mig, såsom eder godt och rätt tyckes.
Mimi mwenyewe—niangalieni! —niko mikononi mwenu. Nitendeeni yaliyo mema na sahihi katika macho yenu.
15 Dock skolen I veta, att om I dräpen mig, så läggen I oskyldigt blod uppå eder sjelfva, uppå denna staden och hans inbyggare; ty i sanningene hafver Herren sändt mig till eder, att jag allt detta för edor öron tala skulle.
Lakini kwa hakika lazima mjue kwamba kama mtaniua mimi, basi mnaiweka damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe na juu ya mji huu na wakaaji wake, kwa maana Yahwe amenituma kweli kwenu ili nitangaze maneno yote kwa ajili ya masikio yenu.”
16 Då sade Förstarna, och allt folket, till Presterna och Propheterna: Denne är icke saker till döds; ty han hafver talat till oss i Herrans vår Guds Namn.
Kisha wakuu na watu wote wakasema kwa makuhani na manabii, “Si vyema kwa mtu huyu kufa, kwa maana ametangaza mambo haya kwetu katika jina la Yahwe Mungu wetu.”
17 Och någre af de äldsta i landena stodo upp, och talade till hela hopen af folket, och sade:
Kisha watu kutoka wazee wa nchi wakasimama na kusema kwa kusanyiko lote la watu.
18 Uti Hiskia, Juda Konungs, tid var en Prophet benämnd Micha af Moresa; han talade till allt Juda folk, och sade: Detta säger Herren Zebaoth: Zion skall upplöjd varda såsom en åker, och Jerusalem skall blifva till en stenhop, och ( Herrans ) hus berg till en vildan skog.
Wakasema, “Mikaya Mmorashi alikuwa akitabiri katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Alinena kwa watu wote wa Yuda na kusema, 'Yahwe wa majeshi anasema hivi: Sayuni utalimwa kama shamba, Yerusalemu utakuwa lundo la magofu, na mlima wa hekalu utakuwa kilima kilichoota vichaka.' Hezekia mfalme wa Yuda na Yunda wote walimuua?
19 Likväl lät Hiskia, Juda Konung, och hela Juda icke fördenskull döda honom; ja, de fruktade heldre Herran, och bådo inför Herranom; då ångrade ock Herren det onda, som han emot dem talat hade. Derföre göre vi ganska illa emot våra själar.
Hakumwogopa Yahwe na kuutaka radhi uso wa Yahwe ili kwamba Yahwe angeghairi kuhusu janga ambalo alilitangaza kwao? Kwa hiyo tutafanya maovu makubwa zaidi juu ya maisha yetu sisi wenyewe?”
20 Var också en, den der propheterade i Herrans Namn, Uria, Semaja son, af Kiriath Jearim; den samme propheterade emot denna staden, och emot detta landet, lika som Jeremia.
Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la Yahwe—Uria mwan wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimu—pia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
21 Men då Konung Jojakim, och alle hans väldige och Förstar, hans ord hörde, ville Konungen låta döda honom. Och Uria förnam det, fruktade sig, och flydde, och for in uti Egypten;
Lakini Mfalme Yohoyakimu na wanajeshi wake wote na watumishi wake wote waliposikia maneno yake, kisha mfalme alijaribu kumuua, lakini Uria alisikia na kuogopa, kwa hiyo alikimbia na akaenda Misiri
22 Men Konung Jojakim sände några män in uti Egypten, ElNathan, Achbors son, och andra med honom.
Kisha mfalme Yehoyakimu alituma watu kwenda Misiri—Elnathani mwana wa Achbori na watu kwenda Misiri kumfuata Uria.
23 De förde honom utur Egypten, och hade honom in till Konung Jojakim; han lät då dräpa honom med svärd, och lät begrafva hans kropp snöpliga.
Wakamtoa Uria nje kutoka Misiri na kumleta kwa Mfalme Yehoyakimu. Kisha Yehoyakimu akamuua kwa upanga na kumpeleka nje kwenye makaburi ya watu wa kawaida.
24 Alltså var Ahikams, Saphans sons, hand med Jeremia, att han icke kom i folkens händer, att de hade mått dräpit honom.
Lakini mkno wa Ahikamu mwana wa Shapni alikuwa pamoja na Yeremia, hivyo hakutiwa mikonono mwa watu ili auawe.