< Jeremia 11 >
1 Detta är det ord som till Jeremia skedde af Herranom, som sade:
Hili ndilo neno lililojia Yeremia kutoka kwa Bwana, akasema,
2 Hörer detta förbunds ord, att I mågen säga dem till Juda och Jerusalems inbyggare;
“Sikiliza maneno ya agano hili, uwaambie kila mtu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
3 Och säg till dem: Så säger Herren Israels Gud: Förbannad vare den som icke lyder detta förbunds ord,
Uwaambie, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: na alaaniwe yeyote asiyesikiliza maneno ya agano hili.
4 Som jag edra fäder böd på den dag jag dem utur Egypti land förde, utur jernugnen, och sade: Hörer mina röst, och görer som jag eder budit hafver; så skolen I vara mitt folk, och jag vill vara edar Gud;
Hili ndilo agano nililowaamuru baba zenu walishike siku nilipowatoa kutoka katika nchi ya Misri, kutoka tanuru ya chuma. Nikawaambia, “Sikilizeni sauti yangu na mfanye mambo yote kama nilivyowaamuru, kwa kuwa mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.”
5 På det jag må hålla den ed, som jag edra fäder svorit hafver till att gifva dem ett land, der mjölk och hannog uti flyter, såsom det i denna dag för ögon är. Jag svarade, och sade: Ja, Herre, det ske alltså.
Nisikilizeni ili nipate kukitimiza kiapo nilichoapa kwa baba zenu, kiapo kwamba nitawapa nchi iliyojaa maziwa na asali kama ilivyo leo.'” Kisha mimi Yeremia nikajibu na kusema, “Ndio, Bwana!”
6 Och Herren sade till mig: Predika alla dessa orden uti Juda städer, och uppå gatorna i Jerusalem, och säg: Hörer detta förbunds ord, och görer derefter.
Bwana akaniambia, “Hubiri habari hizi yote katika miji ya Yuda, na katika njia za Yerusalemu. Sema, “Sikilizeni maneno ya agano hili na mkayafanye.
7 Ty jag hafver betygat edra fäder, ifrå den dagen jag dem utur Egypti land förde, intill denna dag, och betygade städse, och sade: Hörer mina röst.
Kwa maana nimewaagiza wazee wenu tangu siku ile niliyowaleta kutoka nchi ya Misri hadi wakati huu wa sasa, nimewaonya mara kwa mara na kusema, “Sikilizeni sauti yangu.'”
8 Men de hörde intet, och böjde ej heller sin öron härtill, utan hvar och en gick efter sins onda hjertas tycko; derföre vill jag ock öfver dem gå låta, all detta förbunds ord, det jag dem böd att de göra skulle, och de dock derefter icke gjort hafva.
Lakini hawakusikiliza au wala kutega masikio yao. Kila mtu amekuwa akitembea katika ukaidi wa moyo wake mbaya. Kwa hiyo nilileta laana zote katika agano hili nililoamuru kuja juu yao. Lakini watu bado hawakuitii.”
9 Herren sade till mig: Jag vet väl, huru de i Juda och Jerusalem gadda sig tillhopa.
Kisha Bwana akaniambia, “Njama imeonekana kati ya watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
10 De vända sig till sina förfäders synder, hvilke min ord ej heller höra ville, utan följde också andra gudar efter, och tjente dem; alltså hafver Israel hus och Juda hus nu ( allstädes ) brutit mitt förbund, det jag med deras fäder gjort hafver.
Wameugeukia uovu wa mababu zao wa mwanzo, ambao walikataa kusikiliza neno langu, ambao badala yake walifuata miungu mingine ili kuabudu. Waisraeli na nyumba ya Yuda walivunja agano langu nililoweka na baba zao.
11 Derföre, si, säger Herren: Jag vill låta en olycko gå öfver dem, den de icke undkomma skola; och när de ropa till mig, så vill jag intet höra dem.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, 'Tazameni, nitawaletea majanga juu yao, majanga ambayo hawataweza kuyaepuka. Ndipo wataniita, lakini sitawasikiliza.
12 Så låt då Juda städer och Jerusalems inbyggare gå bort, och ropa till de gudar, hvilkom de rökt hafva; men de skola intet hjelpa dem i deras nöd.
Miji ya Yuda na wenyeji wa Yerusalemu watakwenda na kuiita miungu ambayo walitoa sadaka, lakini hakika hawatawaokoa wakati wa majanga yao.
13 Ty så många städer, så många gudar hafver du, Juda, och så många gator som i Jerusalem äro, så mång blygdealtare hafven I uppsatt, till att röka för Baal.
Kwa kuwa idadi ya miungu yako ewe Yuda imeongezeka sawa na idadi ya miji yako. Na umefanya idadi ya madhabahu ya aibu huko Yerusalemu, madhabahu ya kufukiza uvumba kwa Baali, sawa na idadi ya njia zake.
14 Så bed nu du intet för detta folk, och haf ingen åkallan eller bön för dem; ty jag vill intet höra dem, när de ropa till mig i sine nöd.
Kwa hiyo wewe mwenyewe, Yeremia, usiwaombee watu hawa. Lazima usiomboleze au kuomba kwa niaba yao. Kwa maana siwezi kusikiliza wakati wananiita katika majanga yao.
15 Hvad hafva mine vänner till att skaffa i mitt hus? De bedrifva alla falskhet, och mena det heliga köttet skall taga det bort af dem; och när de illa göra, så äro de glade deröfver.
Mpendwa wangu anafanya nini nyumbani kwangu, ikiwa amekuwa na nia mbaya? Nyama za sadaka yako hazitakusaidia. Unafurahi kwa sababu ya matendo yako mabaya.
16 Herren kallade dig ett grönt, skönt, fruktsamt oljoträ; men nu hafver han med ett stort mordskri, upptändt en eld deromkring, så att dess qvistar måste förderfvade varda.
Katika siku za nyuma Bwana alikuita mti wa mzeituni wenye majani, mzuri wenye matunda mazuri. Lakini atawasha moto juu yake ambayo itaonekana kama sauti ya dhoruba; matawi yake yatavunjika.
17 Ty Herren Zebaoth, som dig planterat hafver, hafver lofvat dig ondt, för Israels hus, och Juda hus ondskos skull, den de bedrifva, så att de förtörna mig, i det de röka för Baal.
Kwa maana Bwana wa majeshi, aliyekua amekusudia maafa juu yako, kwa sababu ya matendo mabaya ambayo nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamefanya-wamenikasirisha kwa kumtolea Baali sadaka.'”
18 Herren hafver mig det uppenbarat, så att jag det vet; och viste mig hvad de hafva för händer;
Bwana alinijulisha mambo haya, kwa hiyo nakayajua. Wewe, Bwana, umenifanya nione matendo yao.
19 Nämliga att de vilja slagta mig, likasom ett armt får; ty jag visste icke, att de emot mig rådslagit hade, och sagt: Låt oss förderfva trät med sine frukt, och utrota honom utu de lefvandes land, att på hans namn skall aldrig mer tänkt varda.
Nilikuwa kama kondoo mpole unayeongozwa na mchinjaji. Sikujua kwamba walikuwa wameunda mipango dhidi yangu, “Hebu tuangamize mti na matunda yake! Hebu tumkatilie mbali na nchi ya walio hai ili jina lake lisikumbukwe tena.
20 Men du, Herre Zebaoth, du rättvise domare, du som bepröfvar njurar och hjerta, låt mig se dina hämnd öfver dem; ty jag hafver befallt dig mina sak.
Lakini Bwana wa majeshi ndiye mwamuzi mwenye haki ambaye huchunguza moyo na akili. Mimi nitashuhudia kisasi chako dhidi yao, kwa kuwa nimekuletea kesi yangu kwako.
21 Derföre säger Herren alltså emot dem i Anathoth, hvilke efter ditt lif stå, och säga: Spå oss intet i Herrans Namn, om du annars icke dö vill af våra händer.
Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya watu wa Anathothi, wanaotafuta uhai wako, “wanasema, 'Usifanye unabii kwa jina la Bwana, usije utakufa kwa mkono wetu.'
22 Derföre säger Herren Zebaoth alltså: Si, jag vill hemsöka dem; deras unge män skola med svärd dräpne varda, och deras söner och döttrar af hunger dö;
Kwa hiyo Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, nitawaadhibu. Vijana wao wenye nguvu watakufa kwa upanga. Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.
23 Så att intet af dem skall qvart blifva; ty jag skall låta en olycko gå öfver dem i Anathoth, på det året då de skola hemsökte varda.
Hakuna hata mmoja atakayeachwa, kwa maana nitaleta maafa dhidi ya watu wa Anathothi, mwaka wa adhabu yao.'”