< Habackuk 3 >
1 Detta är Propheten Habacucs bön för de oskyldiga.
Maombi ya Habakuki nabii:
2 Herre, jag hafver hört ditt rykte, så att jag förskräcktes. Herre, du gör ditt verk lefvande midt i åren, och låter det kunnigt varda midt i åren. När bedröfvelse på färde är, så tänker du uppå barmhertighet.
Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
3 Gud kom sunnanefter, och den Helge ifrå det berget Paran. (Sela) Af hans lof var himmelen full, och af hans äro var jorden full.
Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
4 Hans sken var såsom ett ljus, strimmor gingo af hans händer; der var hans magt hemliga.
Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
5 För honom gick pestilentie, och plåga gick ut, ehvart han gick.
Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
6 Han stod, och mälte landet; han såg till, och förskingrade Hedningarna, så att verldenes berg förkrossad vordo, och sig bocka måste alle högar i verldene, då han gick uti verldene.
Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
7 Jag såg de Ethiopers hyddor i vedermödo, och de Midianiters tjäll bedröfvad.
Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
8 Vast du icke, Herre, vred i flodene; och din grymhet i vattnom, och din ogunst i hafvena? då du redst på dina hästar, och dine vagnar hehöllo segren.
Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
9 Du drog fram bågan, såsom du slägterna svorit hade; (Sela) och delade strömmarna i landena.
Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
10 Bergen sågo dig, och vordo bedröfvad; vattuströmmen gick sin kos, djupet lät höra sig, höjden hof sina händer upp.
Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
11 Sol och måne stodo stilla. Dine pilar foro bortåt med ett sken, och din glafven med ljungelds blänkande.
Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
12 Du nedertrampade landet i vrede, och söndertröskade Hedningarna i grymhet.
Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
13 Du drog ut till att hjelpa dino folke, till att hjelpa dinom smorda; du sönderslogst hufvudet uti dens ogudaktigas huse, och blottade grunden allt intill halsen; (Sela)
Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
14 O! att du ville banna hufvudens spiror, samt med dess byar, hvilke, såsom ett väder, komma till att förströ mig, och glädja sig, lika som de uppslukte de elända hemliga.
Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
15 Dine hästar gå i hafvena, uti stor vattens träck.
Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
16 Efter jag sådant hörer, så är min buk bedröfvad; mine läppar darra af rop var går i minom ben om; jag är bedröfvad vid mig. Ack! att jag hvila måtte i bedröfvelsens tid, då vi uppdrage till det folk, som emot oss strider.
Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
17 Ty fikonaträt skall icke grönskas, och der skall ingen frukt vara på vinträn; arbetet uppå oljoträt felar, och åkrarna bära ingen födo; och fåren skola ryckas utu fårahusen, och intet fä skall vara uti fähusen.
Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
18 Men jag vill glädja mig af Herranom, och glad vara i Gudi, minom Frälsare.
Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
19 Ty Herren Herren är min kraft, och han skall göra mina fötter lika som hjortafötter; och skall föra mig upp i höjdena, så att jag sjunger på min strängaspel.
Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.