< 1 Mosebok 50 >
1 Då föll Joseph in på sins faders ansigte, och gret, och kysste honom.
Yusufu akahuzunika sana hata akauangukia uso wa baba yake, akamlilia, na kumbusu.
2 Och Joseph befallte sina tjenare läkarena, att de skulle smörja hans fader: Och läkarena smorde Israel;
Yusufu akawaagiza watumishi wake matabibu kumtia dawa babaye. Hivyo matabibu wakampaka dawa Israeli.
3 Tilldess fyratio dagar voro förgångne; ty så länge varade smörjedagarna. Och de Egyptier begreto honom i sjutio dagar.
Wakatimiza siku arobain, kwani huo ndio uliokuwa muda kamili wa kutia dawa. Wamisri wakamlilia kwa siku sabini
4 Då nu sörjedagarne ute voro, talade Joseph med Pharaos gårdsfolk, och sade: Hafver jag funnit nåd för eder, så taler med Pharao, och säger:
Siku za maombolezo zilipotimia, Yusufu akaongea na watumishi wa baraza la kifalme wa Farao kusema, “Ikiwa nimepata kibali machoni penu, tafadharini ongeeni na Farao, kusema,
5 Min fader hafver tagit en ed af mig, och sagt: Si, jag dör; begraf mig i mine graf, som jag hafver grafvit mig i Canaans lande. Så vill jag nu fara upp och begrafva min fader, och komma igen.
'Baba yangu aliniapisha, kusema, “Tazama, ninakaribia kufa. Unizike katika kaburi nililolichimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani. Ndipo utakaponizika.” Basi sasa niruhusu niende nimzike baba yangu, na kisha nitarudi.”
6 Pharao sade: Far dit upp, och begraf din fader, som du honom svorit hafver.
Farao akajibu, “Nenda na umzika baba yako, kama alivyokuwapisha.”
7 Så for Joseph upp till att begrafva sin fader: Oh med honom foro alle Pharaos tjenare, de äldste af hans folk, och alle de äldste i Egypti lande;
Yusufu akaenda kumzika baba yake. Maofisa wa Farao wote wakaenda pamoja naye - washauri wa nyumba yake, maofisa waandamizi wote wa nchi ya Misri,
8 Dertill allt Josephs folk, och hans bröder, och hans faders folk; allena deras barn, får och fä lefde de i det landet Gosen.
pamoja na nyumba yote ya Yusufu na ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake. Lakini watoto wao, kondoo wao na makundi ya mbuzi wao yaliachwa katika nchi ya Gosheni.
9 Och foro desslikes upp med honom vagnar och resenärer, och var en ganska stor skare.
Vibandawazi na wapanda farasi pia walikwenda pamoja naye. Lilikuwa kundi kubwa sana la watu.
10 Då de nu kommo in på den planen Atad, som ligger in emot Jordan, då höllo de en ganska stor och bitter dödklagan; och han sörjde öfver sin fader i sju dagar.
Hata walipokuja katika sakafu ya kupuria ya Atadi upande mwingine wa Yordani, wakaomboleza kwa majonzi ya huzuni kubwa. Yusufu akafanya maombolezo ya siku saba kwa ajili ya babaye pale.
11 Och då folket i landet, de Cananeer, sågo det sörjandet på den planen Atad, sade de: De Egyptier sörja der fast. Deraf kallar man det rummet de Egyptiers sorg; hvilket ligger in emot Jordan.
Wenyeji wa nchi, Wakanaani, walipoona maombolezo katika sakafu ya Atadi, wakasema, “Hili ni tukio la kuhuzunisha sana kwa Wamisri.” Ndiyo maana eneo hilo likaitwa Abeli Mizraimu, lililoko mbele ya Yordani.
12 Och hans barn gjorde som han dem befallt hade.
Hivyo wanawe wakamfanyia Yakobo kama alivyokuwa amewaagiza.
13 Och förde honom i Canaans land, och begrofvo honom i den dubbelkulone af åkren, som Abraham med åkrenom köpt hade till arfgrift af Ephron Hetheen, tvärt emot Mamre.
Wana wake wakampeleka katika nchi ya Kanaani na wakamzika katika pango katika shamba la Makpela, karibu na Mamre. Ibrahimi alikuwa amelinunua pango pamoja na shamba kwa ajili ya eneo la kuzikia. Alikuwa amelinunua kutoka kwa Efroni Mhiti.
14 Så for Joseph åter in i Egypten med sina bröder, och med allom dem, som voro farne upp med honom till att begrafva hans fader; när de hade begrafvit honom.
Baada ya kuwa amemzika babaye, Yusufu akarudi Misri, yeye, pamoja na ndugu zake, na wote waliokuwa wamemsindikiza ili kumzika babaye.
15 Men Josephs bröder fruktade sig, då deras fader var död, och sade: Kanske, att Joseph är oss gramse, och måtte vedergälla oss det onda vi honom gjort hafve.
Nduguze Yusufu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje ikiwa Yusufu atatukasirikia na akataka kutulipa kikamilifu kwa ajili ya uovu tuliomtenda?”
16 Derföre läto de säga honom: Din fader gaf befallning för sin död, och sade:
Hivyo wakamwagiza Yusufu, kusema, “Baba yako alitoa maelekezo kabla hajafa, kusema,
17 Så skolen I säga till Joseph: Käre, förlåt dina bröder deras missgerning och synd, att de så illa hafva gjort emot dig. Käre, förlåt oss nu, som ärom dins faders Guds tjenare, denna missgerning. Men Joseph gret, då de sådant talade med honom.
'Mwambieni hivi Yusufu, “Tafadhari samehe makosa ya ndugu zako na dhambi yao uovu waliokutenda.” Basi wasamehe watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yusufu akalia walipomwambia.
18 Och hans bröder gingo till, och föllo ned för honom, och sade: Si, vi äre dine tjenare.
Ndugu zake pia wakaenda na kuinamisha nyuso zao mbele zake. Wakasema, “Tazama, sisi ni watumishi wako.”
19 Joseph sade till dem: Frukter eder icke, ty jag är under Gudi.
Lakini Yusufu akawajibu, “Msiogope, Je mimi ni badala ya Mungu?
20 I tänkten ondt öfver mig, men Gud hafver vändt det till godo, att han gjorde som för ögon är, till att frälsa mycket folk.
Lakini kwenu, mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, kuhifadhi maisha ya watu wengi, kama mwonavyo leo.
21 Så frukter eder nu intet, jag vill försörja eder och edro barn. Och han stärkte dem, och talade vänliga med dem.
Hivyo basi msiogope. Nitawahudumia ninyi na watoto wenu wadogo.” Kwa njia hii aliwatia moyo na kuongea na mioyo yao kwa upole.
22 Så bodde Joseph i Egypten med sins faders huse, och lefde hundrade och tio år.
Yusufu akakaa Misri, pamoja na familia ya baba yake. Akaishi miaka mia moja na kumi.
23 Och såg Ephraims barn till tredje led: Föddes också barn på Josephs sköte, utaf Machirs barnom, hvilken Manasse son var.
Yusufu akawaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu. Pia aliwaona wana wa Makiri mwana wa Manase, waliowekwa katika magoti ya Yusufu.
24 Och Joseph sade till sina bröder: Jag dör, och Gud varder eder sökandes, och förandes utaf detta landet, in uti det landet, som han hafver svorit Abraham, Isaac och Jacob.
Yusufu akawambia ndugu zake, “Ninakaribia kufa; lakini kwa hakika Mungu atawajilia na kuwaongoza kutoka katika nchi hii na kuwapeleka katika nch aliyoapa kumpa Ibrahimu, kwa Isaka na kwa Yakobo.”
25 Derföre tog han en ed af Israels barnom, och sade: När Gud varder eder sökandes, så förer min ben hädan.
Kisha Yusufu akawaapisha watu wa Israeli kwa kiapo. Akasema, “Bila shaka Mungu atawajilia. Wakati huo mtachukuwa mifupa yangu kutoka hapa.”
26 Så dödde Joseph, då han var hundrade och tio år gammal. Och de smorde honom, och lade honom uti ena kisto i Egypten.
Hivyo Yusufu akafa, mwenye miaka 110. Wakampaka dawa na akawekwa katika jeneza huko Misri.