< 1 Mosebok 10 >
1 Detta är Noahs söners slägt: Sem, Ham, Japhet, och de födde barn efter flodena.
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2 Japhets barn äro desse: Gomer, Magog, Madaj, Javan, Thubal, Mesech och Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3 Men Gomers barn äro desse: Ascenas, Riphath och Thogarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4 Javans barn äro desse: Elisa, Tharsis, Chitthim och Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5 Utaf dessom äro utspridde Hedningarnas öar i deras landom, hvar efter sitt mål, slägte och folk.
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6 Hams barn äro desse: Chus, Mizraim, Phut och Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7 Chus barn äro desse: Seba, Hawila, Sabtha, Raema och Sabthecha. Raemas barn äro desse: Scheba och Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
8 Men Chus födde Nimrod; han begynte en väldig herre vara på jordene.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
9 Och var en väldig jägare för Herranom. Deraf är det ordspråket: Det är en väldig jägare för Herranom, såsom Nimrod.
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
10 Och hans rikes begynnelse var Babel, Erech, Acad och Calne uti Sinear land.
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
11 Utaf det landet är sedan kommen Assur; och han byggde Nineve och Rehoboth, och Calah.
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
12 Och dertill Resen emellan Nineve och Calah: Detta är en stor stad.
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
13 Mizraim födde Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim,
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
14 Patrusim och Casluhim. Af hvilkom utkomne äro de Philistim och Caphthorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
15 Men Canaan födde Zidon sin första son, och Heth,
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
16 Jebusi, Emori, Girgasi,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
18 Arvadi, Semari och Hamathi. Af dem äro utspridde de Cananeers slägter.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
19 Och deras gränsor voro ifrå Zidon genom Gerar, allt intill Gaza, till dess man kommer intill Sodoma, Gomorra, Adama, Zeboim, och intill Lasa.
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
20 Desse äro nu Hams barn i deras slägter, tungomålom, landom och folkom.
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
21 Men Sem, Japhets broder, den äldste, födde ock barn, hvilken en fader är till all Ebers barn.
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
22 Och desse äro hans barn: Elam, Assur, Arphachsad, Lud och Aram.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23 Arams barn äro desse: Uz, Hul, Gether och Mas.
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24 Arphachsad födde Salah, Salah födde Eber.
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
25 Eber födde två söner, en het Peleg, derföre att i hans tid vardt verlden delad; hans broder het Jaketan.
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26 Och Jaketan födde Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Hadoram, Usal, Dikela,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
29 Ophir, Hawila och Jobab. Alle desse äro Jaketans söner.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Och deras boning var ifrå Mesa, intill man kommer till Sephar på berget öster ut.
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31 Dessa äro Sems barn, uti deras slägter, tungomålom, landom och folkom.
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
32 Detta är nu Noahs barns afföda, uti deras slägter och folkom. Af hvilkom utspridt är folket på jordene efter floden.
Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.