< Esra 10 >

1 Då Esra så bad, bekände och gret, och låg inför Guds hus, församlade sig till honom utaf Israel en ganska stor menighet af män, qvinnor och barn; förty folket gret svårliga.
Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
2 Och Sechania, Jehiels son, af Elams barn, svarade, och sade till Esra: Si, vi hafve förtagit oss emot vår Gud, att vi hafve tagit oss främmande hustrur utaf landsens folk; men här är ännu hopp derom i Israel.
Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
3 Så låt oss nu göra ett förbund med vårom Gud, så att vi utdrifve alla hustrur, och dem som af dem födde äro, efter Herrans råd, och deras som frukta vår Guds bud, att man må göra efter lagen.
sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
4 Så statt nu upp; ty det hörer dig till: Vi vilje vara med dig; var vid en god tröst, och gör så.
Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
5 Då stod Esra upp, och tog en ed af de öfversta Presterna, och Leviterna, och hela Israel, att de skulle göra efter detta talet. Och de svoro det.
Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
6 Och Esra stod upp inför Guds hus, och gick in uti Johanans, Eljasibs sons, kammar. Och då han ditkom, åt han intet bröd, och drack intet vatten; förty han sörjde öfver deras öfverträdelse, som i fängelset varit hade.
Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
7 Och de läto utropa i Juda och Jerusalem, till all fängelsens barn, att de skulle församla sig till Jerusalem.
Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
8 Och hvilken som icke komme innan tre dagar, efter öfverstarnas och de äldstas råd, hans ägodelar skulle alla tillspillogifvas, och han afskiljas ifrå fångarnas menighet.
Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
9 Då församlade sig alle Juda män och BenJamin till Jerusalem, innan tre dagar; det är, på tjugonde dagen i den nionde månadenom. Och allt folket satt uppå gatone inför Guds hus, och bäfvade för detta ärendes skull, och för regnet.
Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
10 Och Esra Presten stod upp, och sade till dem: I hafven förtagit eder, i det att I hafven tagit främmande hustrur, på det I skullen ännu föröka Israels skuld.
Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
11 Så bekänner nu Herran edra fäders Gud, och görer det honom ljuft är, och skiljer eder ifrå landsens folk, och ifrå de främmande hustrur.
Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
12 Då svarade hela menigheten, och sade med höga röst: Ske såsom du oss sagt hafver.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
13 Men folket är mycket, och regnväder, och kan icke stå ute; så är det icke heller ens eller två dagars gerning; ty vi hafve sådana öfverträdelse mycken gjort.
haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
14 Låt oss beställa våra öfverstar i hela menighetene, att alle de i våra städer, som främmande hustrur tagit hafva, komma på bestämd tid; och de äldste i hvar staden, och deras domare med, tilldess vår Guds vrede må ifrån oss vänd varda i denna sakene.
Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
15 Då vordo beställde Jonathan, Asahels son, och Jahesia, Thikva son, öfver denna saken; och Mesullam, och Sabbethai Leviterna hulpo dem.
Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
16 Och fängelsens barn gjorde alltså. Och Presten Esra, och de ypperste fäderne i deras fäders hus, och alle de nu nämnde äro, afskiljde sig, och satte sig på första dagen i tionde månadenom till att ransaka om detta ärendet.
Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
17 Och de uträttade det på alla de män, som främmande hustrur hade, på första dagen i första månadenom.
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
18 Och vordo funne ibland Presternas barn, som främmande hustrur tagit hade, nämliga ibland Jesua barn, Jozadaks sons, och hans bröder: Maaseja, Elieser, Jarib och Gedalia.
Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
19 Och de gåfvo deras hand deruppå, att de ville utdrifva hustrurna; och till deras skuldoffer offra en vädur för sina skuld.
Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
20 Ibland Immers barn: Hanani och Sebadia.
Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
21 Ibland Harims barn: Maaseja, Elia, Semaja, Jehiel och Ussia.
Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
22 Ibland Pashurs barn: Eljoenai, Maaseja, Ismael, Nethaneel, Josabad och Eleasa.
Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
23 Ibland Leviterna: Josabad, Simei och Kelaja, den är Kelita; Pethabja, Juda och Elieser.
Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
24 Ibland sångarena: Eljasib. Ibland dörravaktarena: Sallum, Telem och Uri.
Miongoni mwa Israel waliobaki -
25 Utaf Israel: Ibland Paros barn: Ramia, Jissija, Malchija, Mijamin, Eleazar, Malchija och Benaja.
Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
26 Ibland Elams barn: Mattania, Zacharia, Jehiel, Abdi, Jeremoth och Elia.
Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
27 Ibland Sattu barn: Eljoenai, Eljasib, Mattania, Jeremoth, Sabad och Asisa.
Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
28 Ibland Bebai barn: Johanan, Hanania, Sabbai och Athlai.
Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
29 Ibland Bani barn: Mesullam, Malluch, Adaja, Jasub, Seal och Jeramoth.
Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
30 Ibland PahathMoabs barn: Adna, Chelal, Benaja, Maaseja, Mattania, Bezaleel, Binnui och Manasse.
Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
31 Ibland Harims barn: Elieser, Jissija, Malchija, Semaja, Simeon,
Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
32 BenJamin, Malluch och Semaria.
Benyamini na Maluki na Shemaria
33 Ibland Hasums barn: Mattenai, Mattatta, Sabad, Elipheleth, Jeremai, Manasse och Simi.
Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Ibland Bani barn: Maadai, Amram, Uel,
Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
35 Benaja, Bedja, Cheluhu,
Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
36 Banja, Meremoth, Eljasib,
wania, na Meremothi, Eliashibu,
37 Mattania, Mattenai, Jaasav,
Matania, na Matenai. na
38 Bani, Binnui, Simi,
Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
39 Selemia, Nathan, Adaja,
Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
40 Machnadbai, Sasai, Sarai,
Maknadebai, na Shashai, na Sharai
41 Asareel, Selemia, Semaria,
Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
42 Sallum, Amaria och Joseph.
Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43 Ibland Nebo barn: Jegiel, Mattithia, Sabad, Sebina, Jaddai, Joel och Benaja.
Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
44 Desse hade alle tagit främmande hustrur; och voro somlige ibland de samma hustrur, som barn födt hade.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.

< Esra 10 >