< Hesekiel 32 >

1 Och det begaf sig i tolfte årena, på första dagen i tolfte månadenom, skedde Herrans ord till mig, och sade:
Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia, kusema:
2 Du menniskobarn, gör en klagogråt öfver Pharao, Konungen i Egypten, och säg till honom: Du äst lika som ett lejon ibland Hedningarna, och såsom en hafsorm, och springer uti dina strömmar, och upprörer vattnet med dina fötter, och gör dess strömmar orena.
“Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie: “‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa, wewe ni kama joka kubwa baharini, unayevuruga maji kwa miguu yako na kuchafua vijito.
3 Detta säger Herren Herren: Jag skall utkasta mitt nät öfver dig med en stor hop folk, hvilke dig skola jaga in uti min garn.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu nitautupa wavu wangu juu yako, nao watakukokota katika wavu wangu.
4 Och jag skall draga dig i land, och kasta dig uppå markena, att alle himmelens foglar skola sitta på dig, och all djur på jordene af dig mätt varda.
Nitakutupa nchi kavu na kukuvurumisha uwanjani. Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako na wanyama wote wa nchi watajishibisha nyama yako.
5 Och jag skall kasta ditt as uppå bergen, och med dine höjd uppfylla dalar.
Nitatawanya nyama yako juu ya milima na kujaza mabonde kwa mabaki yako.
6 Landet, der du uti simmar, det skall jag med ditt blod rödt göra, allt intill bergen, så att bäckerna skola af dig fulle varda.
Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
7 Och när det nu med dig allt ute är, så skall jag betäcka himmelen, och förmörkra hans stjernor, och öfverdraga solena med moln, och månen skall icke skina.
Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu na kuzitia nyota zake giza; nitalifunika jua kwa wingu, nao mwezi hautatoa nuru yake.
8 Allt ljus på himmelen skall jag låta sörja öfver dig, och vill göra ett mörker i ditt land, säger Herren Herren.
Mianga yote itoayo nuru angani nitaitia giza juu yako; nitaleta giza juu ya nchi yako, asema Bwana Mwenyezi.
9 Dertill skall jag göra dig mångom till ett förskräckeligit exempel, då jag låter Hedningarna förnimma dina plåga, och mång land, som du intet känner.
Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa, nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi ambazo haujapata kuzijua.
10 Mång folk skola grufva sig öfver dig, och deras Konungar förskräckas, när jag låter mitt svärd blänka emot dem, och skola med hast förfäras, att hjertat må gifva sig i dem öfver ditt fall.
Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie, wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa ajili yako nitakapotikisa upanga wangu mbele yao. Siku ya anguko lako kila mmoja wao atatetemeka kila dakika kwa ajili ya maisha yake.
11 Ty så säger Herren Herren: Konungens svärd af Babel skall dräpa dig.
“‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja dhidi yako.
12 Och jag skall fälla ditt folk genom hjeltars svärd, och genom allahanda Hedningars tyranner; de skola förhärja all Egypti härlighet, och nederlägga all dess folk.
Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka kwa panga za watu mashujaa, taifa katili kuliko mataifa yote. Watakivunjavunja kiburi cha Misri, nayo makundi yake yote ya wajeuri yatashindwa.
13 Och jag skall förgöra all dess djur vid de stora vattnen, att ingens menniskos fot, och ingens djurs klöf skall dem oren göra.
Nitaangamiza mifugo yake yote wanaojilisha kando ya maji mengi, hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu wala kwato za mnyama hazitayachafua tena.
14 Si, då vill jag göra deras vatten klar, att deras strömmar skola flyta såsom olja, säger Herren Herren;
Kisha nitafanya maji yake yatulie na kufanya vijito vyake vitiririke kama mafuta, asema Bwana Mwenyezi.
15 När jag hafver förlagt Egypti land, och allt, det i landena är, öde gjort, och slagit alla de som deruti bo, att de skola veta att jag är Herren.
Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa na kuiondolea nchi kila kitu kilichomo ndani yake, nitakapowapiga wote waishio humo, ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’
16 Det skall vara en jämmer, den man väl begråta må; ja, många Hedningarnas döttrar skola sådana gråt begå öfver Egypten, och allt dess folk skall man begråta, säger Herren Herren.
“Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema Bwana Mwenyezi.”
17 Och i tolfte årena, på femtonde dagen i samma månadenom, skedde Herrans ord till mig, och sade:
Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema:
18 Du menniskobarn, begråt folket uti Egypten, och stört det, samt med de starka Hedningars döttrar, neder under jordena, till dem som uti kulona fara.
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. (questioned)
19 Hvar är nu ditt prål? Stig neder, och lägg dig när de oomskorna.
Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa!
20 De skola falla ibland de slagna med svärd; svärdet är allaredo fattadt, och utdraget öfver allt dess folk.
Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote.
21 Derom skola tala i helvete de starke hjeltar, med deras hjelpare, hvilke alle der nederfarne äro, och ligga der ibland de oomskorna och slagna med svärd. (Sheol h7585)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol h7585)
22 Der ligger Assur med allt sitt folk, allt omkring begrafven, hvilke alle slagne och genom svärd fallne äro.
“Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga.
23 Deras grafver äro djupt i kulone, och hans folk ligger allestäds omkring begrafvet, hvilke alle slagne och genom svärd fallne äro, der hela verlden fruktade sig före.
Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.
24 Der ligger ock Elam, med allom sinom hop omkring begrafven, hvilke alle slagne och genom svärd fallne, och dit nederfarne äro, såsom de oomskorne, under jordena; der ock hela verlden för fruktade, och måste bära sina skam med dem som uti kulona fara.
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. (questioned)
25 Man hafver lagt dem ibland de slagna, samt med allom deras hop, och de ligga omkring begrafne, och äro alle såsom de oomskome och slagne med svärd, för hvilkom ock hela verlden sig frukta måste; och måste bära sina skam med dem som i kulona fara, och blifva ibland de slagna.
Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.
26 Der ligger Mesech och Thubal, med all sin hop omkring begrafven, hvilke alle oomskorne och med svärd slagne äro, för hvilkom ock sig hela verlden frukta måste;
“Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.
27 Och alle andre hjeltar, som ibland de oomskorne fallne och med deras krigsvärjor till helvetes farne äro, och hafva måst lägga sin svärd under sin hufvud, och deras missgerning öfver deras ben kommen är, hvilke dock förfärlige hjeltar voro i hela verldene; alltså måste de ligga. (Sheol h7585)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
28 Så skall du ock visserliga ibland de oomskorna sönderkrossad varda, och ligga ibland dem som med svärd slagne äro.
“Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.
29 Der ligger Edom, med sina Konungar och alla sina Förstar, ibland de slagna med svärd, och ibland de oomskorna, med andra som i kulona fara, hvilke dock mägtige varit hafva.
“Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.
30 Ja, alle Förstar nordanefter måste ock dit, och alle Zidonier som med de slagna nederfarne äro, och deras förskräckeliga magt är till skam vorden, och de måste ligga ibland de oomskorna, och dem som med svärd slagne äro, och bära sina skam, samt med dem som uti kulona fara.
“Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.
31 Dessa skall Pharao få se, och hugna sig med allo sino folke, som under honom med svärd slagne äro, och med sinom hela här, säger Herren Herren.
“Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.
32 Ty hela verlden skall dock en dag frukta sig för mig, att Pharao och all hans hop, ibland de oomskorna och med svärd slagna, ligga skall, säger Herren Herren.
Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.”

< Hesekiel 32 >