< Hesekiel 23 >
1 Och Herrans ord skedde till mig, och sade:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Du menniskobarn, det voro två qvinnor, ene moders döttrar.
“Mwanadamu, Kulikuwa na wanawake wawili, binti za mama mmoja.
3 Dessa bedrefvo horeri uti Egypten, allt ifrå sin ungdom; der läto de handtera sin bröst, och i ungdomenom krama sina spenar.
Walifanya ukahaba katika Misri katika kipindi cha ujana wao. Walitenda kama makahaba huko. Maziwa yao yalikuwa yamebana na ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko.
4 Den äldre het Ahala, och hennes syster Ahaliba; och jag tog dem till ägta, och de födde mig söner och döttrar; och Ahala het Samarien, och Ahaliba Jerusalem.
Majina yao yalikuwa Ohola-dada mkubwa-na Oholiba-dada yake mdogo. Kisha wakawa wangu na kuzaa wana na binti. Majina yao yalikuwa yakimaanasha hivi: Ohola maana yake Samaria, na Oholiba maana yake Yerusalemu.
5 Ahala bedrat horeri, då jag hade tagit henne, och var brinnande till sina bolar, nämliga till de Assyrier, som till henne kommo;
Lakini Ohola alifanya kama kahaba hata alipokuwa wangu; aliwatamani wapenzi wake, kwa kuwa Waashuri na nguvu,
6 Till herrar och Förstar, som med silke beklädde voro, och till alla unga lustiga karlar, till resenärar ( och vagnar );
liwali aliyekuwa amevaa urijuana, na kwa ajili ya maafisa wake, waliokuwa hodari na wanaume wa kuvutia, wote walikuwa waendesha farasi.
7 Och bolade med alla dägeliga karlar i Assyrien, och orenade sig men allom deras afgudom, ehvar hon till någon upptänd vardt.
Hivyo akajitoa yeye mwenyewe kama kahaba kwao, kwa watu bora wa Ashuru, na alijitia mwenyewe uchafu pamoja na kila mmoja aliyekuwa amemtamani-pamoja na sanamu zake zote.
8 Dertill öfvergaf hon icke sitt horeri med dem uti Egypten, hvilke när henne legat hade ifrå hennes ungdom, och hennes bröst i hennes ungdom kramat, och stort horeri med henne bedrifvit hade.
Kwa kuwa hakuacha tabia zake za kihaba nyuma katika Misri, wakati walipolala naye wakati alipokuwa msichana mdogo, wakati walipoanza kwanza kupapasa ubikira wa maziwa yake, wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi wao juu yake.
9 Då öfvergaf jag henne uti hennes bolars, Assurs barnas, hand, till hvilka hon i lust brinnandes var.
Kwa hiyo nilimtia kwenye mkono wa wapenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru kwa kuwa aliwatamani.
10 De upptäckte hennes skam, och togo hennes söner och döttrar bort, men henne dråpo de med svärd; och ryktet kom ut, att denna qvinnan straffad var.
Wakamfunua uchi wake. Wakawachukua wana wake na binti, na wakamuua kwa upanga, na akawa aibu kwa wanawake wengine, hivyo wakapitisha hukumu juu yake.
11 Då nu hennes syster Ahaliba det såg, brann hon i lusta mycket värre än den andra, och bedref horeri mer än hennes syster;
Dada yake Oholiba akaliona hili, lakini aliyatamani zaidi na kufanya kama kahaba hata zaidi kuliko dada yake.
12 Och var upptänd till Assurs barn, till herrar och Förstar, som till henne välklädde kommo, till resenärar ( och vagnar ), och till alla unga lustiga karlar.
Aliwatamanai Waashuru, mabosi na watawala waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi. Wote walikuwa hodari, wote vijana wa kuvutia.
13 Då såg jag, att de båda hade i lika måtto orenat sig.
Nikaona kwamba alikuwa amefanya uchafu mwenyewe. Ilikuwa kama kwa wadada wote.
14 Dock dessa bedref sitt horeri mer; ty då hon såg målade män på väggene i röd färgo, de Chaldeers beläte.
Kisha akaongeza ukahaba wake tena zaidi. Aliona watu waume waliokuwa wamechorwa juu ya kuta, michoro ya Wakaldayo iliyochorwa kwa rangi nyekundu,
15 Begjordade om deras länder, och spetsota, brokota hattar på deras hufvud, och alle anseende voro såsom väldige män, efter den drägt, som Babels och de Chaldeers barn i deras land hade;
waliovaa mikanda kuzunguka viuno vyao, na vilemba virefu juu ya vichwa vyao. Wote walikuwa na mwonekano wa maafisa wa jeshi la waendesha farasi, mfano wa wana wa Wababeli, ambao asili ya nchi ni Ukaldayo.
16 Brann hon i lusta till dem, så snart hon dem varse vardt, och sände bådskap till dem in uti Chaldeen.
Na mara macho yake yalipowaona, aliwatamani, hivyo akawatuma wajumbe wake kwao katika Ukaldayo.
17 Då nu Babels barn till henne kommo, till att sofva när henne, vardt hon genom dem orenad uti sitt horeri, och vardt så orenad, att hon leddes vid dem.
Kisha Wababeli wakaja katika kitanda chake cha tamaa, na walimfanya unajisi kwa uzinzi wao. Kwa kile alichokuwa amekifanya alifanya unajisi, basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha.
18 Och då hennes horeri och skam så allstinges uppenbar var, leddes jag ock vid henne, lika som jag vid hennes syster var ledse vorden.
Alionyesha matendo yake ya ukahaba na alionyesha uchi wake, hivyo roho yangu ikagauka kutoka kwake, kama roho yangu ilivyogeuka kutoka kwa dada yake.
19 Men hon bedref sitt horeri, ju mer och mer, och tänkte uppå sins ungdoms tid, då hon sitt horeri bedreref uti Egypti land;
Kisha alifanya matendo mengi zaidi ya ukahaba, akakumbuka na kutafakari siku za ujana wake, wakati alipotenda kama kahaba katika nchi ya Misri.
20 Och brann i lusta till sina bolar, hvilkas luste var lika som åsnars och hästars.
Basi akawatamani wapenzi wake, ambao sehemu zao za siri zilikuwa kama zile za punda, na kile kizaliwacho hutoka kilikuwa kama wale farasi.
21 Och du bedref dina otukt, lika som i dinom ungdom, då de uti Egypten handterade din bröst, och dina spenar kramade vordo.
Hivi ndivyo ulivyofanya matendo ya aibu ya ujana wako, wakati Wamisri walipopapasa chuchu zako kuyaminya maziwa ya ujana wako.
22 Derföre, o Ahaliba, detta säger Herren Herren: Si, dina bolar, hvilka du leddes vid, skall jag uppväcka emot dig, och skall låta dem komma allt omkring dig.
Kwa hiyo, Oholiba, Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitawarudisha wapenzi wako dhidi yako. Wale ambao uliowarudisha, nitawaleta juu yako kutoka kila upande.
23 Nämliga Babels barn, och alla Chaldeer, med höfvitsmän, Förstar och herrar, och alla Assyrier med dem, dägeliga unga män, alla Förstar och herrar, riddare och ädlingar, och allahanda resenärer.
Wababeli na Wakaldayo wote, Pekodi, Shoa, na Koa, na Waashuru wote pamoja nao, hodari, vijana wa kutamanika, magavana na maamiri jeshi, wote ni maafisa na watu wote wenye sifa, wote wenye kuendesha farasi.
24 Och de skola komma öfver dig med resigtyg, och med en stor hop folk, och skola belägga dig med spetsar, sköldar och hjelmar, allt omkring; dem vill jag befalla rätten, att de skola döma öfver dig, efter sin rätt.
Watakuja juu yako kwa silaha, na kwa magari ya farasi na mikokoteni, na kundi kubwa la watu. Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako pande zote. Nitawapatia nafasi kukuadhibu, na watakuadhibu kwa matendo yao.
25 Jag skall låta mitt nit gå öfver dig, så att de skola handla obarmherteliga med dig; de skola skära dig näsa och öron af, och hvad qvart blifver, det skall falla genom svärd; de skola taga dina söner och döttrar bort, och uppbränna det qvart är i eld.
Kwa kuwa nitaweka hasira yangu ya wivu juu yako, na watashughulika na wewe kwa hasira. Watakukatilia mbali pua zako na masikio yako, na masalia yako wataanguka kwa upanga. Watawachukua wana wako na binti zako, na masalia yako watateketea kwa moto.
26 De skola draga dig din kläder utaf, och borttaga din prydning.
Watakuvua nguo zako na kuchukua mapambo yako ya vito.
27 Alltså skall jag göra en ända uppå dine otukt, och ditt horeri med Egypti land, att du icke mer skall upphäfva din ögon efter dem, och icke mer tänka uppå Egypten.
Hivyo nitaiondoa tabia yako ya aibu kutoka kwako na matendo yako ya kikahaba kutoka nchi ya Misri. Hutainua macho yako kuwaelekea kwa sahauku, na hutaikumbuka Misri tena.'
28 Ty så säger Herren Herren: Si, jag skall öfverantvarda dig dem i händer, hvilkas fiende du äst, och på hvilka du hafver släckt din lusta.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Nitakutia katika mkono wa wale uwachukiao, kukurudisha kwenye mkono wa wale ambao uliokuwa umewarudisha.
29 De skola hafva sig med dig såsom fiender, och taga bort allt det du hafver sammandragit, och låta dig nakota och blotta, att din skam skall upptäckt varda, samt med dine otukt och horeri.
Watashughulika pamoja nawe kwa chuki; watachukua milki zako zote na kukutelekeza uchi na kukuweka wazi. Uchi wa aibu ya ukahaba wako utafunuliwa, tabia yako ya aibu na uzinzi wako.
30 Detta skall dig ske för ditt horeris skull, som du med Hedningomen bedrifvit hafver, och orenat dig på deras afgudom.
Haya mambo yatafanyika kwako kwa kuwa umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa kwazo umetiwa unajisi kwa sanamu zao.
31 Du hafver gångit på dine systers väg; derföre gifver jag dig ock hennes kalk uti dina hand.
Umetembea katika njia za dada yako, hivyo nitaweka kikombe chake cha adhabu kwenye mkono wako.'
32 Detta säger Herren Herren: Du måste dricka dine systers kalk, så djup och så vid som han är; du skall varda till så stort spott och hån, att det skall vara olideligit.
Bwana Yahwe asema hivi, 'Utakinywea kikombe cha dada yako ambacho ni kirefu na kikubwa. Utakuwa dhihaka na kutawaliwa na dharau-hiki kikombe kimejaa kiasi kikubwa.
33 Du måste dig drucken dricka af den starka drycken och jämren; ty dine systers Samarie kalk är en jämmers och sorgekalk.
Utajazwa kwa ulevi na huzuni, kikombe cha ushangao na uharibifu; kikombe cha dada yako Samaria.
34 Den samma måste du slätt utdricka, och slå honom i stycker sönder, och sönderrifva din bröst; ty jag hafver det sagt, säger Herren Herren.
Utakinywea na kubakia kitupu; kisha utakivunja vunja na kuyararua maziwa yako kuwa vipande vipande. Kwa kuwa nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
35 Derföre säger Herren Herren alltså: Derföre, att du hafver förgätit mig, och kastat mig bakom din rygg, så bär ock nu dina otukt och ditt horeri.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu umenisahau na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako, basi pia utachukua matokeo ya tabia zako za aibu na matendo ya uasherati.”'
36 Och Herren sade till mig: Du menniskobarn, vill du icke straffa Ahala och Ahaliba, och hålla dem före deras styggelse;
Yahwe akanambia, “Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba? Basi waambie matendo yao ya machukizo,
37 Huru de hafva bedrifvit horeri, och utgjutit blod, och bedrifvit horeri med afgudom? Dertill uppbrände de sin barn, som de mig födt hade, dem till offer.
kwa kuwa wamefanya uzinzi, na kwa kuwa kuna damu juu ya vichwa vyao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, na wamewaweka hata wana wao kwenye moto, kama chakula cha sanamu zao.
38 Derutöfver hafva de gjort mig detta: De orenade min helgedom på den tiden, och ohelgade mina Sabbather.
Kisha waliendelea kufanya hivi kwa ajili yangu: Wamepafanya patakatifu pangu unajisi, na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu.
39 Ty då de slagtade af gudomen sin barn, gingo de på samma dagen in uti min helgedom, till att ohelga honom: si, sådant hafva de begått uti mino huse.
Kwa kuwa walipokuwa wamewachinjia watoto wao kwa ajili ya sanamu zao, kisha wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi! Hivyo tazama! Hivi ndivyo walivyofanya kati ya nyumba yangu.
40 De hafva ock sändt båd efter män som utu fjerran land komma skulle; och si, när de kommo, badade du dig, och färgade dig, och prydde dig med smide, dem till äro;
Mmewatuma watu kutoka mbali, ambao wajumbe waliwatuma-sasa tazama. Wakaja kweli, ambao uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito.
41 Och satt på ena sköna säng, för hvilko stod ett bord tillredt; der rökte du uppå, och offrade min oljo deruppå.
Huko ulikaa kwenye kitanda kizuri na kwenye meza iliyokuwa imepangwa mbele yake ulikuwa umeweka ubani na mafuta yangu.
42 Der var ett stort glädjerop; och mannomen, som vida vägna ifrå mycket folk och af öknene komne voro, gåfvo de smide uppå deras armar, och sköna kransar på deras hufvud.
Hivyo sauti za watu zilikuwa zimemzunguka; pamoja na watu wa kila aina, hata walevi waliletwa kutoka jangwani, na wakawavalisha vikuku mikononi mwao na mataji mazuri juu ya vichwa vyao.
43 Men jag tänkte: Hon är van med hor af ålder; hon kan intet återvända af boleri.
Kisha nikasema juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi, 'Sasa watazini pamoja naye, na yeye pamoja nao.'
44 Ty man går till henne in, lika som man till ena sköko ingår; rätt så går man till Ahala och Ahaliba, de otuktiga qvinnor, in.
Wakamwingilia na kulala naye kama watu wamwingiliavyo kahaba. Katika njia hii walilala Ohola na Oholiba, waliokuwa wanawake wazinzi.
45 Derföre skola de män, som rätten fullfölja, straffa dem, lika som man horkonor och blodsutgjuterskor straffa skall; ty de äro horkonor, och deras händer äro fulla med blod.
Lakini watu wenye haki watapitisha hukumu na kuwaadhibu kama wazinzi, na watawaadhibu kwa hukumu kwa wale wamwagao damu, kwa sababu wao ni wazinzi na damu iko mikononi mwao.
46 Alltså säger Herren Herren: För upp öfver dem en stor hop, och gif dem till sköfvels och rof;
Hivyo Bwana Yahwe asema hivi: Nitainua kundi la watu juu yao na kuwatoa kuwa kitisho na kuteka nyara.
47 Att de måga stena dem, och stinga dem igenom med sin svärd, och dräpa deras söner och döttrar, och bränna deras hus upp med eld.
Kisha hilo kundi la watu litawapiga kwa mawe na kuwakatilia chini kwa panga zao. Watawaua wana wao na binti na kuzichoma nyumba zao.
48 Alltså skall jag göra en ända på otuktena i landena, så att alla qvinnor skola se dervid, och icke göra efter slika otukt.
Kwa kuwa nitaondoa tabia ya aibu kutoka kwenye nchi na nidhamu wanawake wote hivyo hawatatenda kama makahaba.
49 Och man skall lägga edra otukt uppå eder, och I skolen bära edra afgudars synder, på det I skolen förnimma, att jag är Herren Herren.
Hivyo wataweka tabia yenu ya aibu juu yenu. Mtachukua hatia ya dhambi zenu pamoja na sanamu zenu, na kwa njia hii mtajua yakuwa mimi ni Bwana Yahwe.”