< Hesekiel 11 >
1 Och ett väder lyfte mig upp, och förde mig inför porten åt Herrans hus, hvilken österut är; och si, i den porten voro fem och tjugu män; och jag såg ibland dem Jaasanja, Assurs son, och Pelatja, Benaja son, som Förstar voro i folkena.
Kisha Roho akaniacha juu na kunileta kwenye lango la mashariki la nyumba ya Yahwe, kuelekea mashariki, na tazama, kwenye njia ya mlango wa lango kulikuwa na watu ishirini na tano. Nikamwona Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu, miongoni mwao.
2 Och han sade till mig: Du menniskobarn, desse män hafva de tankar som vilja illa lyktas, och de anslag som denna stadenom skada skola.
Mungu akanambia, “Mwana wa adamu, hawa ndio wale watu walioshauri udhalimu, na kuamua mipango miovu kwenye huu mji.
3 Ty de säga: Det är intet så när, låt oss man bygga hus; han är grytan, vi äre köttet.
Wakisema, 'Mda wa kujenga nyumba sio sasa; huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama.'
4 Derföre skall du menniskobarn prophetera emot dem.
Kwa hiyo tabiri juu yao. Tabiri, mwana wa adamu.”'
5 Och Herrans Ande föll öfver mig, och sade till mig: Säg, detta säger Herren; I af Israels hus hafven talat rätt, edra tankar känner jag väl;
Kisha Roho wa Yahwe akanijaza na akaniambia, “akisema: Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: kama usemavyo, nyumba ya Israeli; kwa kuwa najua kinachoendelea kwenye fikra zenu.
6 I hafven dräpit alltför många i denna stadenom, och hans gator ligga fulla med döda.
Mmewazidisha watu mliowaua kwenye huu mji na kuijaza mitaa kwa hao.
7 Derföre säger Herren Herren alltså: De som I derinne dräpit hafven, de äro köttet, och han är grytan; men I måsten härut.
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Wale watu milowaua, ambao mmeilaza miili yao kati ya Yerusalemu, ni nyama, na huu mji ni sufuria. Lakini mnaenda kutolewa nje kutoka kati ya huu mji.
8 Svärdet, som I frukten, det skall jag låta komma öfver eder, säger Herren Herren.
Mmeuogopa upanga, kwa hiyo nauleta huo upanga juu yenu-huu ndio usemi wa Bwana Yahwe.
9 Jag skall drifva eder derut, och gifva eder främmandom i händer, och skall göra eder edran rätt.
Nitawatoa nje kutoka kati ya mji, na kuwaweka kwenye mikono ya wageni, kwa kuwa nitaleta hukumu dhidi yenu.
10 I skolen falla genom svärd; i Israels gränsor skall jag döma eder, och I skolen förnimma, att jag är Herren.
Mtaanguka kwa upanga. Nitawahukumu kati ya mipaka ya Israeli hivyo mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
11 Men staden skall intet vara edor gryta, ej heller I köttet derinne; utan i Israels gränsor skall jag döma eder.
Huu mji hautakua sufuria yenu ya kupikia, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitawahukumu kati ya mipaka ya Israeli.
12 Och I skolen förnimma, att jag är Herren; ty I hafven icke vandrat efter min bud, och intet hållit mina rätter; utan gjort efter Hedningarnas sätt, som omkring eder äro.
Kisha mtajua yakwamba mimi ni Yahwe, yule ambaye hamuishe kwenye amri zake na ambaye hamkuzishika sheria zake. Badala yake, mmebeba hukumu za mataifa wanayowazunguka.”
13 Och då jag så propheterade, blef Pelatja, Benaja son, död. Och jag föll uppå mitt ansigte, och ropade med höga röst, och sade: Ack! Herre Herre, du gör platt en ända med de igenlefda af Israel.
Ikawa kwamba nilipokuwa natabiri, Pelatia mwana wa Benaya, akafa. Hivyo nikaanguka kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, Je utayaharibu kabisa mabaki ya Israeli?”
14 Då skedde Herrans ord till mig, och sade:
Neno la Yahwe likanijia, likisema,
15 Du menniskobarn, dine bröder och närskylde fränder, och hela Israels hus, som ännu i Jerusalem bo, säga väl emellan sig: De andre äro långt bortflydde ifrå Herranom; men vi hafve landet inne.
“Mwana wa adamu, ndugu zako! Ndugu zako! Watu wa ukoo wako na nyumba yote ya Israeli! Wote hao ndio hao ambao inasemekana wale wanaoishi Yerusalemu, 'Wako mbali sana kutoka kwa Yahwe! Hii nchi tulipewa sisi kama milki yetu.'
16 Derföre säg du: Detta säger Herren Herren: Ja, jag hafver låtit drifva dem långt bort ibland Hedningarna, och förstrött dem i landen; så vill jag dock snarliga vara deras hjelp i de land, dit de komne äro.
Kwa hiyo sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: kote nimewapitisha mbali kati ya mataifa, na kote nimewasambaza kati ya nchi, bado nimekuwa patakatifu kwa ajili yao kwa mda kidogo kwenye nchi ambazo walizoenda.'
17 Derföre säg du: Detta säger Herren Herren: Jag skall församla eder ifrå folken utu de land, dit I förströdde ären, och gifva eder Israels land.
Kwa hiyo sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Nitawakusanya kutoka kwa watu, na kuwakutanisha kutoka kwenye nchi mlizokuwa mmetawanyika, na nitawapatia nchi ya Israeli.'
18 Dit skola de komma, och taga derut all styggelse och vämjelse.
Kisha wataenda huko na kuondoa kila kitu chenye karaha na kila chukizo kutoka hiyo sehemu.
19 Och jag vill gifva eder ett endrägtigt hjerta, och en ny Ända ingifva uti eder, och skall borttaga det stenhjertat utur edar kropp, och gifva eder ett kötthjerta;
Nitawapatia moyo mmoja, na nitaweka roho mpya kati yao. Nitaondoa moyo wa jiwe kutoka kwenye miili wao na kuwapatia moyo wa nyama,
20 På det de skola vandra i min bud, och hålla mina rätter, och göra derefter; och de skola vara mitt folk, så vill jag vara deras Gud.
ili kwamba waweze kutembea kwenye amri zangu, watayachukua maagizo yangu na kuyatenda. Kisha watakuwa watu wangu, na nitakuwa Mungu wao.
21 Men dem som vandra efter sin hjertas styggelse och grufvelse, dem skall jag lägga deras väsende uppå deras hufvud, säger Herren Herren.
Lakini kwa wale watembeao kwa kujifanya kuendeleza mambo yao ya karaha na machukizo yao, nitaleta tabia yao kwenye vichwa vyao-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
22 Då fläktade Cherubim med sinom vingom, och hjulen gingo bredovid dem, och Israels Guds härlighet var ofvanuppå dem.
Makerubi wakainua mabawa yao na magurudumu yaliyokuwa karibu nao, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
23 Och Herrans härlighet uppfor utu staden, och satte sig uppå det berget, som ligger östan för stadenom.
Kisha utukufu wa Yahwe ukaenda juu kutoka katikati ya mji na kusimama kwenye mlima hata mashariki mwa mji.
24 Och ett väder upptog mig, och förde mig, i ene syn och i Guds Anda, in uti Chaldee land, till fångarna; och den synen, som jag sett hade, försvann för mig.
Roho akanichukua juu na kunileta hata Ukaldayo, hata uhamishoni, katika maono kutoka kwa Roho wa Mungu, na maono niliyokuwa nimeyaona yakaenda juu yakaniacha.
25 Och jag sade fångamen all Herrans ord, som han mig vist hade.
Kisha nikawaambia wale watumwa mambo yote ya Yahwe niliyokuwa nimeyaona.