< Ester 1 >
1 Uti Ahasveros tid, hvilken rådandes var, allt ifrån Indien intill Ethiopien, öfver hundrade sju och tjugu land;
Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
2 Då han satt på sinom Konungsliga stol, i den staden Susan;
katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
3 I tredje årena hans rikes, gjorde han ett gästabåd när sig, åt alla sina Förstar och tjenare; nämliga dem väldigom i Persien och Meden, landshöfdingom och öfverstom i sin land;
mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
4 På det han skulle låta se sins rikes härliga rikedomar och det kosteliga prål af sitt majestät, i många dagar, nämliga i hundrade och åttatio dagar.
Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
5 Då de dagar ute voro, gjorde Konungen ett gästabåd allo folkena, som i stadenom Susan var, både stora och små, i sju dagar, uti en sal i trägårdenom invid Konungshuset.
Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
6 Der voro upphängd hvit, röd och gul tapeter, fattad med linnen och skarlakanståg, uti silfringar på marmorstodar. Bänkerna voro af guld och silfver, på golfvena, som lagdt var med grön, hvit, gul och svart marmorsten.
Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
7 Och dryckerna bar man in uti gyldene kar, och ju annor och annor kar, och Konungsligit vin tillfyllest, såsom Konungen det väl förmådde.
Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
8 Och man lade ingom före hvad han dricka skulle; ty Konungen hade befallt alla föreståndarena i sitt hus, att hvar och en skulle göra såsom honom lyste.
Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
9 Och Drottningen Vasthi gjorde också ett gästabåd för qvinnorna uti Konungshusena, der Konung Ahasveros plägade vistas.
Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
10 Och på sjunde dagen, då Konungen vardt lustig af vinet, sade han till Mehuman, Bistha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Sethar och Charcas, de sju kamererare, som för Konung Ahasveros tjente,
katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
11 Att de skulle hafva Drottning Vasthi in för Konungen, med Drottningakrono, på det han skulle låta folket och Förstarna se hennes dägelighet; ty hon var dägelig.
kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
12 Men Drottning Vasthi ville icke komma efter Konungens ord, genom hans kamererare. Då vardt Konungen ganska vred, och upptänd i grymhet.
Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
13 Och Konungen sade till de visa, som i landsseder förfarne voro; ty Konungens ärende måste hafvas inför alla förståndiga i lag och rätt;
Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
14 Men de näste, som när honom voro, voro Charsena, Sethar, Admatha, Tharsis, Meres, Marsena och Memuchan, de sju Förstar af Persien och Meden, som sågo på Konungens ansigte, och såto främst i rikena;
Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
15 Hvad man göra skulle Drottning Vasthi för en rätt, derföre, att hon icke gjort hade efter Konungens ord, genom hans kamererare.
Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
16 Då sade Memuchan inför Konungenom och Förstarna: Drottning Vasthi hafver icke allenast illa gjort emot Konungen, utan ock emot alla Förstar, och allt folk uti Konung Ahasveros landom.
Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
17 Förty detta stycket af Drottningen kommer väl ut till alla qvinnor, så att de skola förakta sina män för sin ögon, och skola säga: Konung Ahasveros böd Drottningene Vasthi komma inför sig, men hon ville icke.
kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
18 Så varda nu de Förstinnor i Persien och Meden sammalunda sägande till alla Konungens Förstar, när de få detta Drottningenes stycke höra; så skall föraktelse och vrede nog upphäfva sig.
Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
19 Om Konungenom så täckes, så låte han ett Konungsligit bud af sig utgå, och skrifva efter de Persers och Meders lag, hvilken man icke öfverträda tör, att Vasthi icke mer skall komma inför Konung Ahasveros; och Konungen gifve hennes rike hennes nästo, den bättre är än hon.
kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
20 Och att detta Konungens bref, som göras skall, må förkunnadt varda i hela rikena, det väl stort är, att alla qvinnor måga hålla sina män för ögon, ibland både små och stora.
Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
21 Detta täcktes Konungenom och Förstarna; och Konungen gjorde efter Memuchans ord.
Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
22 Då vordo bref utsänd i all Konungens land, i hvart landet efter dess skrift, och till hvart folk efter dess tungomål, att hvar och en man skulle vara husbonde i sitt hus; och lät tala efter sins folks tungomål.
Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.