< Predikaren 10 >

1 Onda flugor förderfva goda salvo; derföre är dårskap stundom bättre än vishet och ära.
Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
2 Ty dens visas hjerta är på hans högra hand; men dens galnas hjerta är på hans venstra.
Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 Och ändå att den galne sjelf galen är i sin anslag, håller han likväl alla för galna.
Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
4 Derföre, om ens väldigs mans trug hafver framgång emot din vilja, så gif dig icke öfver; ty unddraga stillar mycket ondt.
Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
5 Det är ännu en usel ting, som jag såg under solene, nämliga oförstånd, det ibland de väldiga allmänneligit är;
Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
6 Att en dåre sitter i stora värdighet, och de rike sitta nedre.
Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
7 Jag såg tjenare på hästar, och Förstar gå till fots, såsom tjenare.
Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
8 Men den ena grop grafver, han skall sjelf falla deruti; och den en gård rifver, honom skall stinga en orm.
Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
9 Den der stenar bortvältar, han skall hafva der mödo med; den som ved klyfver, han varder sargad deraf.
Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
10 Då ett jern slött varder, och mister skarphetena, så måste man med mödo hvässat igen; alltså följer ock visdom efter flit.
Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
11 En lackare är icke bättre än en orm, som obesvoren stinger.
Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
12 De ord, som gå af ens vis mans mun, äro täckelig; men ens dåras läppar uppsvälja honom.
Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
13 Begynnelsen på hans ord är dårskap, och änden är skadelig galenskap.
Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
14 En dåre hafver mång ord; ty menniskan vet icke hvad varit hafver; och ho vill säga henne, hvad efter henne komma skall?
Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
15 De dårars arbete varder dem svårt, efter man icke vet gå in i staden.
Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
16 Ve dig, land, hvilkets Konung barn är, och hvilkets Förstar bittida äta.
Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17 Väl är dig, land, hvilkets Konung ädla är, och hvilkets Förstar äta i rättom tid, till styrko, och icke till vällust.
Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18 Ty för lättjas skull förfalla bjelkarna, och för försummeliga händers skull varder huset drypande.
Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19 Det våller, att de bereda bröd till vällust, och vinet måste glädja de lefvande, och penningen måste dem allt uträtta.
Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
20 Banna icke Konungenom i ditt hjerta, och banna icke dem rika i dinom sängakammar; ty foglarna under himmelen föra dina röst, och de der vingar hafva, säga det efter.
Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.

< Predikaren 10 >