< Daniel 8 >

1 Uti tredje årena af Konung Belsazars rike syntes mig, Daniel, en syn, efter den som mig i förstone synts hade.
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Belshaza, mimi Danieli niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata).
2 Men jag var, då jag denna syn såg, i Susan, hufvudstadenom i Elams land, vid den älfven Ulai.
Nilipokuwa nikiangalia katika ndoto, niliona kwamba nilikuwa katika mji wa Shushani wenye ngome katika jimbo la Elamu. Niliona katika ndoto kuwa nilikuwa karibu na mfereji wa Ulai.
3 Och jag hof upp min ögon, och såg; och si, en vädur stod för älfvene, och han hade tu hög horn; dock det ena högre än det andra, och det högsta växte sist.
Nilitazama juu na nikaona mbele yangu kondoo dume lenye mapembe mawili, limesimama pembeni mwa mfereji. Pembe moja lilikuwa refu kuliko jingine, lakini pembe ndefu ilikuwa inakua pole pole kuliko ile fupi na pembe fupi ilirefuka na kuizidi nyingine.
4 Jag såg, att väduren stötte med hornen vesterut, norrut och söderut; och intet djur kunde bestå för honom, eller fria sig ifrå hans hand, utan han gjorde hvad han ville, och vardt stor.
Niliona kondoo mme akiishambulia magharibi, kisha kaskazini, na baadaye kusini; hakuna mnyama mwingine aliyeweza kusimama mbele yake. Hakuna yeyote aliyeweza kumwokoa yeyote katika mkono wake. Alifanya chochote kile alichokitaka, na alikuwa mtu mkubwa sana.
5 Och vid jag gaf der akt uppå, så kom en getabock, vestanefter, öfver hela jordena, så att han intet kom vid jordena; och den bocken hade ett skönt horn emellan sin ögon.
Na nilipokuwa natafakari juu ya haya, niliona beberu akitoka magharibi, na kuvuka katika uso wa dunia yote, akikimbia kwa kasi kana kwamba hakuonekana kama aligusa ardhini. Mbuzi huyo alikuwa na pembe kubwa katikati ya macho yake.
6 Och han kom allt intill den väduren som tu horn hade, den jag såg stå för älfvene, och han lopp i sine vrede väldeliga intill honom.
Alienda mpaka kwa kondoo aliyekuwa na pembe mbili, nilikuwa nimemwona kondoo dume amesimama katika ukingo wa mfereji na mbuzi alikimbia kumwelekea kondoo dume kwa hasira kali.
7 Och jag såg, att han kom hardt intill väduren, och förgrymmade sig öfver honom, och stötte till väduren, och sönderslog hans tu horn; och väduren hade ingen magt till att stå honom emot, utan han stötte honom till markena, och trampade uppå honom; och ingen förmåtte hjelpa väduren utu hans hand.
Niliiona mbuzi ikija karibu na kondoo. Mbuzi alikuwa na hasira na kondoo, alimpiga kondoo na alizivunja pembe zake mbili. Kondoo hakuwa na nguvu za kusimama mbele zake. Mbuzi alimgonga kondoo akaanguka chini na akamkanyaga. Hapakuwa na yeyote wa kumwokoa kutoka katika nguvu zake.
8 Och den getabocken vardt ganska stor, och då han som starkast vorden var, gick det stora hornet sönder, och i dess stad växte fyra sköna, emot fyra himmelens väder.
Ndipo mbuzi alikua akawa mkubwa, lakini alipokuwa na nguvu, pembe kubwa ilivunjwa, na katika sehemu yake zilichipuka na kukua pembe nne kubwa zilizochomoza kuelekea pepo nne za mbingu.
9 Och af enodera växte ett litet horn; det vardt ganska stort, söderut, österut, och inemot det lustiga landet.
Kutoka katika pembe moja ilichipuka pembe nyingine, ilikuwa ndogo hapo awali, lakini baadaye ilikuwa pembe kubwa upande wa kusini, na mashariki, na katika nchi ya uzuri.
10 Och det växte allt intill himmelens här, och kastade somliga neder dädan, och af stjernorna till jordena, och trampade uppå dem.
Pembe ilikuwa kubwa na matokeo yake iliinua vita dhidi ya jeshi la mbinguni. Baadhi ya jeshi na nyota kadhaa zilitupwa chini duniani, na zilikanyagwa.
11 Ja, det växte allt intill Förstan för hären; och tog bort ifrå honom det dagliga offret, och förödde hans helgedoms boning.
Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama kamanda wa jeshi la kimungu. Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye, na sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi.
12 Och sådana magt vardt honom gifven emot det dagliga offret för syndernas skull, så att han skulle slå neder sanningena, och hvad han gjorde, skulle framgång hafva.
Kwasababu ya uasi, pembe ya mbuzi ilipewa jeshi, na sadaka za kuteketezwa zitasitishwa. Pembe itautupa ukweli chini ardhini, na itafanikiwa katika kila jambo ilifanyalo.
13 Men jag hörde en heligan tala; och den samme helige sade till en som talade: Huru länge skall dock denna synen, om det dagliga offret, vara, och om synderna, för hvilkas skull denna förödning sker, så att både helgedomen och hären förtrampad varder?
Kisha nilimsikia mtakatifu mmoja akiongea na mtakatifu mwingine akamjibu, “Mambo haya yatadumu kwa muda gani, maono haya ya sadaka ya kuteketezwa, dhambi ile iletayo uharibifu, ukabidhiajia wa sehemu takatifu, na jeshi la mbinguni kukanyagwa?
14 Och han svarade mig: Det är tutusende och trehundrade dagar, efter afton och morgon räknandes, så skall helgedomen åter vigder varda.
Aliniambia, “Itadumu kwa jioni na asubuhi zipatazo 2, 300. Baada ya hapo, mahali patakatifu patawekwa sawa.”
15 Och då jag, Daniel, såg den synena, och hade gerna förståndit henne; si, då stod för mig såsom en man.
Wakati mimi Danieli, nilipoona maono, nilijaribu kuyaelewa. na hapo mbele yangu alisimama yule aliyeoneakana kama mtu.
16 Och jag hörde emellan Ulai ene menniskos röst, som ropade och sade: Gabriel, uttyd dessom synena, så att han förstår henne.
Niliisikia sauti ya mtu ikiita katikati ya kingo za mfereji wa Ulai. Alisema, “Gabrieli, msaidie mtu huyu kuelewa maono.”
17 Och han kom hardt intill mig; och jag vardt förskräckt, då han kom, och föll neder uppå mitt ansigte, och han sade till mig: Gif akt häruppå, du menniskobarn, ty denna synen lyder uppå ändans tid.
Basi alikuja karibu na mahali niliposimama. Na alipokuja, niliogopa na nilisujudia hadi chini. Aliniambia,”Fahamu, mwana wa mtu, kwamba maono ni kwa ajili ya wakati wa mwisho.”
18 Och då han talade med mig, dignade jag af vanmägtighet neder på mitt ansigte till jordena; men han tog uppå mig, och rätte mig upp, så att jag blef ståndandes.
Alipokuwa anaongea na mimi, nilipata usiingizi mzito nikiwa nimelala kifudifudi. Kisha alinishika na kunisimamisha.
19 Och han sade: Si, jag vill visa dig, huru det gå skall på yttersta vredenes tid; ty änden hafver sin bestämda tid.
Akaniambia, “Tazama, nitakuonyesha kile kitachotokea baadaye katika kipindi cha ghadhabu, kwasababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho uliopangwa.
20 Väduren med de tu horn, som du sågst, äro de Konungar i Meden och Persien;
Na kuhusu kondoo mme uliyemwona, yule mwenye pembe mbili - ni wafalme wawili wa Umedi na Uajemi.
21 Men getabocken är Konungen i Grekeland; det stora hornet emellan hans ögon är den förste Konungen.
Mbuzi dume ni mfalme wa Ugiriki. Pembe kubwa katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.
22 Men att fyra stodo i dess stad, då det sönderslagit vardt, betyder, att fyra rike skola uppkomma af det folket; men icke så mägtig som han var.
Na kuhusu pembe iliyovunjika, ambayo katika nafasi yake pembe zingine nne zilichipuka - hizi ni falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake, lakini hazitakuwa na nguvu kubwa.
23 Efter dessa riken, när öfverträdelsen stor vorden är, skall uppkomma en arg och listig Konung.
Katika siku zijazo za falme hizo, wakati ambapo wahalifu watakuwa wamefikia kikomo chao, mfalme mwenye uso katili, na yeye mwenye akili sana, atainuka.
24 Han skall vara mägtig, dock icke genom sina kraft; han skall underliga föröda, och skall hafva framgång, att han det uträttar; han skall förstöra de starka, och det heliga folket.
Nguvu zake zitakuwa kubwa, lakini si kwa nguvu zake mwenyewe. Atakuwa wa kustaajabisha kwa kile atakachokuwa anakiharibu; atafanya na kufanikiwa. Atawaangamiza watu wenye nguvu, watu miongoni wa watakatifu.
25 Och genom hans klokhet skall hans bedrägeri framgå, och han skall upphäfva sig i sitt hjerta, och genom framgång skall han många förderfva, och skall uppsätta sig emot alla Förstars Första; men han skall utan hand förlagd varda.
Ataufanya udanganyifu usitawi chini ya mkono wake kwasababu ya ujanja wake. Atawaangamiza watu wengi bila kutegemea. Atainuka pia hata kinyume cha Mfalme wa wafalme, na atavunjwa, lakini si kwa mkono wowote wa binadamu.
26 Denna synen, om afton och morgon, som dig sagd är, hon är sann; men du skall hålla synena hemliga, ty det är ännu en lång tid dit.
Maono kuhusu jioni na asubuhi ulizoambiwa ni ya kweli. Lakini uyafunge maono haya, kwa kuwa yanahusu siku nyingi za wakati ujao.
27 Och jag, Daniel, vardt svag, och låg i några dagar krank; sedan stod jag upp, och beställde Konungens ärende, och förundrade mig uppå synena; och ingen var, som kunde reda mig henne ut.
Ndipo mimi, Danieli nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa. Kisha nikainuka na nikaenda kufanya kazi za mfalme. Lakini nilikuwa nimetishwa sana na maono, na hapakuwa na mtu yeyote aliyeweza kuyaelewa.

< Daniel 8 >