< Daniel 6 >
1 Och Darios syntes godt vara, att han skulle sätta öfver hela riket tjugu och hundrade landshöfdingar.
Ilimpendeza Dario kuchagua juu ya ufalme magavana wa majimbo 120 ambao wangetawala juu ya ufalme wote.
2 Öfver dessa satte han tre Förstar; den ene var Daniel, hvilkom de landshöfdingar skulle räkenskap göra, att Konungen dess mindre bekymmer hafva skulle.
Juu yao kulikuwa na watawala wakuu watatu, na Daniel alikuwa mmoja wao. Hawa watawala waliwekwa ili waweze kuwasimamia magavana wa majimbo, ili kwamba mfalme asipate hasara.
3 Men Daniel gick alla de Förstar och landshöfdingar vidt öfver; ty en hög ande var i honom; derföre tänkte Konungen att sätta honom öfver hela riket.
Danieli alipambanuliwa juu ya watawala wakuu na juu ya magavana wa majimbo kwasababu alikuwa na roho isiyo ya kawaida. Mfalme alikuwa akipanga kumweka juu ya ufalme wote.
4 Fördenskull foro de Förstar och landshöfdingar derefter, huru de kunde finna en sak med Daniel, den emot riket vore; men de kunde ingen sak eller missgerning finna; ty han var trogen, så att man ingen skuld eller ogerning med honom finna kunde.
Basi watawala wakuu wengine na magavana wa majimbo walitafuta makosa katika kazi ambazo Danieli alizifanya kwa ufalme, lakini hawakuweza kuona ufisadi au kushindwa katika majukumu yake kwasababu alikuwa mwaminifu. Hakuna kosa au uzembe uliopatikana ndani yake.
5 Då sade männerne: Vi finne ingen sak med Daniel, utan om hans Gudstjenst.
Kisha watu hawa wakasema, “Hatukuweza kupata sababu yoyote ya kumshitaki huyu Danieli isipokuwa tukitafuta kitu fulani dhidi yake kuhusiana na sheria za Mungu wake.'”
6 Då kommo de Förstar och landshöfdingar tillhopa inför Konungen, och sade till honom alltså: Herre Konung, Darios, Gud unne dig länge lefva.
Ndipo watawala hawa na magavana walileta mpango mbele ya mfalme. Walimwambia, “Mfalme Dario, uishi milele!
7 De Förstar i rikena, herrarna, landshöfdingarna, Rådet och ämbetsmännerna, hafva alle betänkt, att man skall låta utgå en Konungslig befallning, och ett strängt påbud, att ho som helst i tretio dagar någon ting vill bedja af någon Gud eller mennisko, utan af dig, Konung allena, han skall varda kastad för lejon uti gropena.
Watawala wote wakuu wa ufalme, magavana wa mikoa, na magavana wa majimbo, washauri, na magavana wameshauriana kwa pamoja na kuamua kuwa wewe, mfalme, unapaswa kupitisha amri na kuitekeleza, ili kwamba mtu yeyote anayefanya dua kwa mungu yeyote au mtu kwa siku thelathini, isipokuwa wewe mfalme, mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba.
8 Derföre, o Konung, måste du detta budet stadfästa, och underskrifva dig; på det att det icke skall omvändt varda, efter de Meders och Persers rätt, det ingen öfverträda djerfves.
Sasa mfalme, litoe agizo na utie saini nyaraka ili kwamba isije ikabadilika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi, hivyo haiweze ikabatilishwa.
9 Alltså underskref sig Konungen Darios.
Basi, mfalme Dario alitia saini nyaraka kwa kuifanya amri kuwa sheria.
10 Som nu Daniel förnam, att sådant bud underskrifvet var, gick han upp i sitt hus; och han hade i sino sommarhuse öppna fenster emot Jerusalem; der föll han tre resor om dagen på sin knä, bad, lofvade och tackade sin Gud, såsom han tillförene plägade göra.
Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria, alienda ndani ya nyumba yake (madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu), na alipiga magoti yake, kama alivyokuwa akifanya mara tatu kwa siku, na aliomba na kushukuru mbele ya Mungu wake, kama alivyofanya hapo kabla.
11 Då kommo desse männerna hopetals, och funno Daniel bedjandes och åkallandes inför sin Gud.
Kisha watu hawa walikuwa wameunda hila kwa pamoja walimwona Danieli akiomba na kutafuta msaada kutoka kwa Mungu.
12 Så gingo de fram, och talade med Konungen om det Konungsliga budet: Herre Konung, hafver du icke underskrifvit ett bud, att ho som helst i tretio dagar något både af någon gud, eller af någon mennisko, utan af dig Konungenom allena, han skulle kastas för lejon i gropena? Konungen svarade, och sade: Det är sant, och de Meders och Persers rätt skall ingen öfverträda.
Ndipo walipomwendea mfalme na kuongea naye kuhusiana na amri yake: “Je haukuweka amri kwamba mtu yeyote akayefanya maombi kwa mungu mwingine au kwa binadamu ndani ya siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, mfalme, lazima mtu huyo atupwe katika tundu la simba? Mfalme akajibu, “Jambo hili ni la hakika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi; ambazo haziwezi zikabatilishwa.”
13 De svarade, och sade för Konungen: Daniel, en af Juda fångar, aktar hvarken dig, o Konung, eller ditt bud, som du underskrifvit hafver; ty han beder tre resor om dagen.
Kisha wakamjibu mfalme, “Mtu yule Daniel, ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda, hakutii wewe, mfalme wala maagizo yako uliyoyasaini. Yeye humwomba Mungu wake mara tatu kwa siku.”
14 Då Konungen detta hörde, vardt han fast bedröfvad, och vinnlade sig storliga, att han måtte fria Daniel; och arbetade derom intill solen nedergick, att han måtte hjelpa honom.
Mfalme aliposikia haya, alisikitishwa sana, alitumia akili jinsi ya kumwokoa kutoka katika utawala huu. Alisumbuka sana mpaka wakati wa kuzama kwa jua akijaribu kumwokoa Danieli.
15 Men männerne kommo samman till Konungen, och sade till honom: Du vetst, herre Konung, att de Meders och Persers rätt är, att all bud och befallningar, som Konungen beslutit hafver, skola oförvandlade blifva.
Kisha watu hawa waliokuwa wamepanga njama walikusanyika kwa pamoja na mfalme, na wakamwambia, “Ujue mfalme kwamba ni sheria ya Wamedi na Waajemi kwamba hakuna amri au sanamu ambayo mfalme anaipitisha yaweza kubadilishwa.”
16 Då befallde Konungen, att man skulle hafva Daniel fram, och de kastade honom för lejonen i gropena; men Konungen sade till Daniel: Din Gud, den du utan återvändo tjenar, han hjelpe dig.
Ndipo mfalme alitoa agizo, na walimleta ndani Danieli, na kisha wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako, ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.''
17 Och de båro en sten fram, den lade de på locket af gropene; honom förseglade Konungen med sin egen ring, och med sina väldigas ring, på det att ingen skulle eljest något bruka på Daniel.
Jiwe lililetwa katika mlango wa tundu, na mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake ili kwamba chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli.
18 Och Konungen gick sin väg på sina borg, och åt intet, och lät ingen mat för sig bära, och kunde ej heller sofva.
Basi mfalme alienda kwenye ikulu yake na usiku ule alikuwa na mfungo. Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake, nao usingizi ulimkimbia.
19 Om morgonen bittida, då det dagades, stod Konungen upp, och gick med hast till gropena, der lejonen uti voro.
Kisha katika mapambazuko mfalme aliamka na kwa haraka alienda kwenye tundu la simba.
20 Och som han kom till gropena, ropade han till Daniel med sorgeliga röst; och Konungen sade till Daniel: Daniel, du lefvandes Guds tjenare, hafver ock din Gud, den du utan återvändo tjenar, förmått frälsa dig för lejonen?
Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?
21 Då talade Daniel med Konungen: Herre Konung, Gud unne dig länge lefva!
Ndipo Danieli akamwambia mfalme, “Mfalme, uishi milele!
22 Min Gud hafver sändt sin Ängel, hvilken lejonens mun tillhållit hafver, att de hafva ingen skada gjort mig; ty för honom är jag oskyldig funnen: Så hafver jag ej heller något gjort emot dig, Herre Konung.
Mungu wangu amemtuma mjumbe na amevifunga vinywa vya simba, na hazijaweza kunidhuru. Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote mbele yake na pia mbele yako, ewe mfalme, na sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru.”
23 Då vardt Konungen ganska glad, och lät taga Daniel utu gropene; och de togo Daniel utu gropene, och man fann platt ingen skada gjord vara uppå honom; ty han hade trott sinom Gud.
Basi mfalme alikuwa na furaha sana. Alitoa agizo kwamba wanatakiwa wamtoe Danieli nje ya tundu. Hivyo Danieli aliondolewa kutoka katika tundu. Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake, kwa kuwa alikuwa amemtumainia Mungu wake.
24 Då lät Konungen komma fram de män, som Daniel beklagat hade, och kasta dem inför lejonen i gropena, samt med deras barn och hustrur; och förr än de kommo ned till bottnen, fingo lejonen dem fatt, förkrossade ock alla deras ben.
Mfalme alitoa agizo, waletwe wale watu waliomshitaki Danieli na kisha akawatupa wao katika tundu la simba - wao, na watoto wao, na wake zao. Kabla hawajafika sakafuni, simba waliwararua na kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande.
25 Sedan lät Konungen Darios skrifva till all land, och folk, och tungomål: Gud gifve eder mycken frid!
Kisha mfalme Dario aliandika ujumbe kwa watu wote, mataifa na lugha ambazo ziliishi katika dunia yote: “Amani na iongezeke kwenu.
26 Detta är min befallning, att uti allt mins rikes herradöme skall man frukta och rädas Daniels Gud; ty han är den lefvande Gud, som blifver evinnerliga, och hans rike är oförgängeligit, och hans herradöme hafver ingen ända.
Ninaagiza kwamba katika utawala wote wa ufalme wangu watu watetemeka na kumcha mbele ya Mungu wa Danieli, kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele, na ufalme wake hauwezi kuharibiwa; utawala wake utakuwepo hadi mwisho.
27 Han är en frälsare och nödhjelpare, och han gör tecken och under, både i himmelen och på jordene; han hafver frälst Daniel ifrå lejonen.
Yeye anatuhifadhi salama na kutuokoa, na anafanya ishara na maajabu mbinguni na duniani; amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba.”
28 Och Daniel var väldig i Darios rike, och desslikes i Cores, den Persens, rike.
Na hivyo basi, Danieli alifanikiwa katika utawala wa Dario na katika utawala wa Koreshi Mwajemi.