< Amos 3 >
1 Hörer hvad Herren med eder talar, I Israels barn, nämliga med alla de slägter, som jag utur Egypti land fört hafver, och sade:
Sikieni neno la Yahwe aliloongea juu yenu, watu wa Israeli, juu ya familia nzima ambayo niliwatoa kutoka nchi ya Misri,
2 Utaf alla slägter på jordene hafver jag upptagit eder allena; derföre vill jag ock hemsöka eder uti alla edra missgerningar.
“Nimewachagua ninyi tu kutoka familia zote za dunia. Kwa hiyo nitawaadhibu kwa dhambi zenu zote.”
3 Kunna ock två vandra tillhopa, utan de draga öfverens med hvarannan?
Je wawili wanaweza kutembea pamoja isipokuwa wamekubaliana?
4 Ryter ock ett lejon i skogenom, utan det hafver rof? Ropar ock ett ungt lejon utu sine kulo, utan det något fångit hafver?
Je simba huunguruma msituni wakati hakuna mawindo? Je mwana simba ataunguruma kutoka pangoni mwake kama hajakamata kitu?
5 Kommer ock någor fogel i snarona på jordene, der ingen foglafångare är? Tager man ock snarona upp af jordene, den ännu intet fångit hafver?
Je ndege ataanguka kwenye mtego aridhini wakati hakuna chambo kimewekwa kwa ajili yake? Je mtego utafyatuka juu aridhini wakati hakuna kitu cha kukamata?
6 Blås man ock i basun i enom stad, och folket deraf icke förskräckes? Är ock något ondt i stadenom, det Herren icke gör?
Je tarumbeta itapigwa mjini na watu wasitetemeke? Je janga laweza kuja mjini lisiyoletwa na Yahwe?
7 Ty Herren Herren gör intet, utan han uppenbarar sinom tjenarom, Prophetomen, sina hemlighet.
Hakika Bwna Yahwe hatafanya kitu vinginevyo amewafunulia mpango watumishi wake manabii.
8 Lejonet ryter, ho skulle icke frukta sig? Herren Herren talar, ho skulle icke prophetera?
Simba ameshaunguruma; nani hatoogopa? Bwana Yahwe amekwisha ongea; nani hatotabiri?
9 Förkunner uti palatsen i Asdod, och uti palatsen i Egypti land, och säger: Församler eder på Samarie berg, och ser till, hvilket stort mordskri och orätt der är.
Tangaza hii katika ngome huko Ashdodi, na katika ngome za nchi ya Misri; sema, “Kusanyikeni kwenye milima ya Samaria na oneni vile mchafuko ulivyomkubwa kwake, na ukandamizaji uliopo katika yeye.
10 De passa intet på någon rätt, säger Herren; utan öfvervåld och skada går hvart om annat i deras husom.
Kwa kuwa hawajui jinsi ya kufanya haki -hivi ndivyo Yahwe asemavyo- hao watunzao nguvu na uharibifu katika ngome zao.”
11 Derföre säger Herren Herren alltså: Man skall belägga detta landet allt omkring, och störta dig neder ifrå dine magt, och skinna din hus.
Kwa hiyo, hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Adui ataizunguka nchi. Atazivuta chini nguvu zako na ngome zenu zitatekwa nyara.”
12 Detta säger Herren: Lika som en herde rycker eno lejone två fötter, eller ett stycke af ett öra utu munnenom; alltså skola Israels barn utryckte varda, de som bo i Samarien, och hafva i hörnet ett lägre, och i Damasco ena säng.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo,” Kama mchungaji aokoavyo miguu miwili tu kwenye mdomo wa simba, au kipande cha sikio, ndivyo wana wa Israeli watakavyookolewa wale waishio katika Samaria, pamoja na pembe ya kulalia, au pembe ya kitanda.”
13 Hörer, och betyger i Jacobs hus, säger Herren, Herren Gud Zebaoth.
Sikieni na kushudia juu ya nyumba ya Yakobo -hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi,
14 Ty på den tiden, då jag Israels synder hemsökandes varder, vill jag hemsöka de altare i BethEl, och bortbryta hornen af altaret, att de skola falla neder på markena;
“Kwa kuwa katika siku ambayo nimeadhibu dhambi za Israeli, pia nitaziadhibu madhabahu za Betheli. Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka chini.
15 Och skall slå både vinterhus och sommarhus; och de elphenbenshus skola till intet varda, och mång hus förderfvad blifva, säger Herren.
Nitaiharibu nyumba ya baridi pamoja na nyumba ya hari. Nyumba za pembe zitaangamia, na nyumba kubwa zitatoweka, -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”