< Amos 2 >

1 Detta säger Herren: För tre och fyra Moabs lasters skull, vill jag intet skona honom; derföre, att de hafva uppbränt Konungens ben i Edom till asko;
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
2 Utan jag vill sända en eld i Moab; han skall förtära palatsen i Kerioth, och Moab skall dö uti buller, rop och basunsklang.
Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
3 Och jag skall borttaga domaren ifrå honom, och dräpa alla hans Förstar med honom, säger Herren.
Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
4 Detta säger Herren: För tre och fyra Juda lasters skull, vill jag intet skona honom; derföre, att de förakta Herrans lag, och icke hålla hans rätter, och låta sina lögn förföra sig, hvilka deras fäder efterföljt hafva,
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
5 Utan jag vill sända en eld i Juda han skall förtära palatsen i Jerusalem.
Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
6 Detta säger Herren: För tre och fyra Israels lasters skull, vill jag intet skona honom; derföre, att de sälja de rättfärdiga för penningar, och de fattiga för ett par skor.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
7 De gå med fötterna öfver de fattiga, och hindra de elända allestäds; sonen och fadren sofva när ena qvinno, med hvilko de ohelga mitt Namn.
Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
8 Och vid all altare slösa de af förpantad kläder, och dricka vin i sins Guds huse af saköre.
Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
9 Nu hafver jag dock förlagt Amoreen för dem, den så hög var som cedreträ, och hans magt såsom eker; och jag förderfvade hans frukt ofvantill, och bans rötter nedantill.
Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
10 Hafver jag ock fört eder utur Egypti land, och ledt eder uti öknene i fyratio år, att I de Amoreers land besitta skullen?
Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
11 Och af edrom barnom uppväckt eder Propheter, och af edrom ynglingom Nazareer? Är det icke så, I Israels barn? säger Herren.
Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
12 Så gåfven I de Nazareer dricka vin, och Prophetomen böden I, och saden: I skolen intet prophetera.
Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
13 Si, jag vill göra ibland eder ett gnisslande, såsom en vagn full af kärfvar gnisslar;
Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
14 Att den der rask är, skall icke kunna undfly, ej heller den starke något förmå, och den mägtige skall icke kunna undsätta sitt lif;
Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
15 Och de bågaskyttar skola icke bestå; och den der rask är till att löpa, skall icke undlöpa; och den der rider, skall icke rädda sitt lit;
Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
16 Och den der aldramanligast är ibland de starka, måste i den tiden nakot undfly, säger Herren.
Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”

< Amos 2 >