< 2 Kungaboken 9 >
1 Elisa kallade en af de Propheters söner, och sade till honom: Gjorda dina länder, och tag denna oljokrukona med dig, och gack till Ramoth i Gilead.
Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
2 Och då du kommer dit, får du der se Jehu, Josaphats son, Nimsi sons, och gack in, och bed honom stå upp ibland sina bröder, och haf honom in uti den innersta kammaren;
Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
3 Och tag oljokrukona, och gjut den ut på hans hufvud, och säg: Detta säger Herren: Jag hafver smort dig till Konung öfver Israel. Och du skall låta upp dörrena, och fly, och icke förtöfva.
Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
4 Och Prophet ens tjenare, den unge mannen, gick åstad till Ramoth i Gilead.
Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
5 Och då han inkom, si, då såto der höfvitsmännerna för hären. Och han sade: Höfvitsman, jag hafver något säga dig. Jehu sade: Hvilkom af oss alla? Han sade: Dig, höfvitsman.
Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
6 Då stod han upp, och gick in; men han göt oljona på hans hufvud, och sade till honom: Detta säger Herren Israels Gud: Jag hafver smort dig till Konung öfver Herrans folk Israel;
Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
7 Och du skall slå dins herras Achabs hus, att jag skall hämnas mina tjenares Propheternas blod, och alla Herrans tjenares lod, utur Isebels hand;
Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
8 Så att hela Achabs hus skall förgås; och jag skall af Achab utrota den som på väggena pissar, och den innelyckta, och den igenlefda i Israel;
Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
9 Och skall göra Achabs hus, såsom Jerobeams hus, Nebats sons, och såsom Baesa hus, Ahia sons;
Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
10 Och hundar skola uppäta Isebel på åkren i Jisreel; och ingen skall begrafva henne. Och han lät upp dörrena, och flydde.
Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
11 Och då Jehu gick ut till sins herras tjenare, sade de till honom: Går det allt väl till? Hvar efter är denne rasaren kommen till dig? Han sade till dem: I kännen dock mannen väl, och hvad han säger.
Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
12 De sade: Det är icke sant, säg du oss det. Han sade: Så och så hafver han talat med mig, och sagt: Detta säger Herren, jag hafver smort dig till. Konung öfver Israel.
Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
13 Då hastade de sig, och hvar och en tog sin kläder, och lade under honom invid säjaren, och blåste med basuner, och sade: Jehu är Konung vorden.
Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
14 Alltså gjorde Jehu, Josaphats son, Nimsi sons, ett förbund emot Joram; men Joram låg för Ramoth i Gilead med hela Israel, emot Hasael, Konungen i Syrien.
Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
15 Men Konung Joram var igenkommen, till att låta sig läka i Jisreel, af de sår som de Syrer honom slagit hade, då han stridde med Hasael, Konungenom i Syrien. Och Jehu sade: Är det så eder i sinnet, så skall ingen slippa utaf staden, att han går bort, och bådar det i Jisreel.
lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
16 Och han for upp, och drog till Jisreel; förty Joram låg der. Så var Ahasia, Juda Konung, nederdragen till att bese Joram.
Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
17 Men väktaren, som på tornet i Jisreel stod, fick se Jehu hop komma, och sade: Jag ser en hop. Då sade Joram: Tag en vagn, och sänd emot dem, och säg: Är allt fridsamt?
Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
18 Och foromannen for emot honom, och sade: Detta säger Konungen: Är allt fridsamt? Jehu sade: Hvad kommer friden dig vid? Far här bakefter mig. Väktaren förkunnade, och sade: Bådet är kommet till dem, och kommer intet igen.
Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
19 Då sände han en annan foroman. Då han kom till dem, sade han: Detta säger Konungen: Är allt fridsamt? Jehu sade: Hvad kommer friden dig vid? Far här bakefter mig.
Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
20 Det förkunnade väktaren, och sade: Han är kommen till dem, och kommer intet igen; och det är ett körande, såsom Jehu körande, Nimsi sons; ty han körer lika som han vore rasande.
Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
21 Då sade Joram: Sätter före. Och de satte före hans vagn. Och de drogo ut, Joram, Israels Konung, och Ahasia, Juda Konung, hvardera på sin vagn, att de skulle komma emot honom. Och de råkade honom på Naboths åker, den Jisreelitens.
Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
22 Och då Joram såg Jehu, sade han: Jehu, är allt fridsamt? Han sade: Hvad, frid? Dine moders Isebels horeri och trolldom hafver icke ännu ända.
Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
23 Då vände Joram sina hand om, och flydde, och sade till Ahasia: Här är förräderi, Ahasia.
Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
24 Men Jehu fattade bågan, och sköt Joram emellan härderna, så att pilen gick ut igenom hjertat, och han föll uti sin vagn.
Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
25 Och Jehu sade till höfvitsmannen Bidkar: Tag och kasta honom uppå åkrastycket, Naboths den Jisreelitens; förty jag kommer ihåg, att du med mig forom efter hans fader på enom vagn, att Herren lade denna tungan uppå honom.
Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
26 Hvad gäller, sade Herren, jag skall vedergälla dig på denna åkren Naboths blod, och hans söners blod, det jag i går såg. Så tag honom nu, och kasta honom på åkren, efter Herrans ord.
Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
27 Då Ahasia, Juda Konung, det såg, flydde han på den vägen till örtagårdshuset; men Jehu jagade efter honom, och böd desslikes slå honom på vagnenom in mot Gur, som ligger vid Jibleam; och han flydde till Megiddo, och blef der död.
Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
28 Och hans tjenare läto föra honom till Jerusalem; och begrofvo honom i hans graf med sina fäder uti Davids, stad.
Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
29 Men Ahasia regerade öfver Juda i ellofte årena Jorams, Achabs sons.
Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
30 Och då Jehu kom till Jisreel, och Isebel det fick veta, färgade hon sitt ansigte, och beprydde sitt hufvud, och såg ut genom fenstret.
Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
31 Och då Jehu kom in igenom porten, sade hon: Är det Simri väl afgånget, som drap sin herra?
Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
32 Och han hof sitt ansigte upp till fenstret, och sade: Ho är här när mig? Då vände sig två eller tre kamererare till honom.
Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
33 Han sade: Störter henne utföre. Och de störte henne utföre, så att väggen och hästarna vordo stänkte med hennes blod; och hon vardt förtrampad.
Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
34 Och då han var inkommen, och hade ätit och druckit, sade han: Beser dock den förbannada, och begrafver henne; ty hon är en Konungs dotter.
Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
35 Då de nu gingo bort till att begrafva henne, funno de intet af henne, utan hufvudskallen och fötterna och flata händerna;
Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
36 Och kommo igen, och sade honom det. Han sade: Detta är nu det, som Herren genom sin tjenare Elia, den Thisbiten, talade, och sade: På Jisreels åker skola hundar äta Isebels kött.
Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
37 Alltså vardt Isebels as såsom en träck på markene uppå Jisreels åker, så att man intet säga kunde: Detta är Isebel.
na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””