< 2 Krönikeboken 31 >

1 Då detta alltså uträttadt var, drogo ut alle de Israeliter, som i Juda städer funne voro, och bröto ned stoderna, och höggo bort lundarna, och bröto ned höjderna och altaren, i hela Juda, BenJamin, Ephraim och Manasse, tilldess de gjorde en ända på dem. Och Israels barn drogo alle till sina ägor i sina städer igen.
Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
2 Men Jehiskia ställde Presterna och Leviterna uti deras ordning, hvar och en efter sitt ämbete, både Prester och Leviter, till bränneoffer och tackoffer, att de skulle tjena, tacka och lofva, i portarna åt Herrans lägre.
Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
3 Och Konungen gaf sin del af sina håfvor till bränneoffer, om morgon och om afton, och till bränneoffer om Sabbatherna, och nymånadom, och högtidom, efter som skrifvet står i Herrans lag.
Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
4 Och han sade till folket, som i Jerusalem bodde, att de skulle gifva Presterna och Leviterna delar, att de måtte desto bättre akta på Herrans lag.
Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
5 Och då det talet kom ut, gåfvo Israels barn mycken förstling af säd, vin, oljo, hannog och allahanda årsväxt på markene; och allahanda tiond förde de in, ganska mycket.
Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
6 Förde också Israels barn och Juda, som i Juda städer bodde, tiond fram af fä och får, och tiond af det helgada som de Herranom sinom Gud helgat hade, och lade en hop här, och en hop der.
Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
7 Uti tredje månadenom begynte de att lägga hoparna, och i sjunde månadenom lyktade de det.
Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
8 Och då Jehiskia med de öfversta ingingo, och sågo hoparna, lofvade de Herran, och hans folk Israel;
Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
9 Och Jehiskia frågade Presterna och Leviterna om hoparna.
Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
10 Och Asaria Presten, den ypperste i Zadoks hus, sade till honom: Ifrå den tid man begynte införa häfoffret i Herrans hus, hafve vi ätit och äre mätte vordne, och här är ännu mycket qvart; förty Herren hafver välsignat sitt folk; derföre är denne hopen öfverblefven.
Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
11 Då befallde Konungen, att de skulle reda till kistor i Herrans hus; och de tillredde dem;
Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
12 Och lade derin häfoffret, tionden, och det helgada, på sina tro. Och öfver det samma var skickad Chanania den Leviten, och Simei hans broder den andre;
Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
13 Och Jehiel, Asasia, Nahath, Asahel, Jerimoth, Josabad, Eliel, Jismacha, Mahath och Benaja, förskickade af Chanania och Simei hans broders hand, efter Konungens Jehiskia befallning. Men Asaria var öfverste i Guds hus.
Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
14 Och Kore, Jimna son, den Leviten, den dörravaktaren östantill, var öfver de friviljoga Guds gåfvor, som Herranom till häfoffer gifna vordo, och öfver det aldrahelgasta.
Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
15 Och under hans hand voro Eden, Minjamin, Jesua, Semaja, Amaria och Sechania, uti Presternas städer, på sina tro; att de skulle gifva sina bröder efter deras ordning, dem minsta såsom dem största;
Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
16 Desslikes dem som för manspersoner räknade vordo, tre åra gamle, och derutöfver, ibland alla dem som uti Herrans hus gingo, hvar på sin dag till sitt ämbete, och i sine vakt efter sitt skifte;
Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
17 Sammalunda dem som för Prester räknade vordo, i deras fäders hus, och Leviterna, ifrå tjugu år och derutöfver, i deras vakt efter deras skifte;
Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
18 Dertill dem som räknade vordo ibland deras barn, hustrur, söner och döttrar, i hela menighetene; förty de helgade på sina tro det helgada.
Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
19 Voro också män vid namn nämnde ibland Aarons barn, Presterna uppå förstädernes mark, i alla städer, att de skulle del gifva alla manspersoner ibland Presterna, och allom dem som ibland Leviterna räknade vordo.
Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
20 Alltså gjorde Jehiskia i hela Juda, och gjorde det godt, rätt och sant var för Herranom sinom Gud.
Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
21 Och i all handel, som han tog sig före med Guds hus tjenste, efter lagen och buden, till att söka sin Gud, det gjorde han af allt hjerta; derföre gick han det ock väl igenom.
Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.

< 2 Krönikeboken 31 >