< 2 Krönikeboken 20 >
1 Derefter kommo Moabs barn, Ammons barn, och med dem de af Ammonim, till att strida emot Josaphat.
Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
2 Och man kom, och bådade det Josaphat, och sade: Emot dig kommer ett mägta stort tal ifrå hinsidon hafvet, af Syrien, och si, de äro i HazezonThamar, det är EnGedi.
Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
3 Men Josaphat fruktade sig, och ställde sitt ansigte till att söka Herran, och lät utropa en fasto i hela Juda.
Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
4 Och Juda kom tillhopa, till att söka Herran; kommo ock utaf alla Juda städer till att söka Herran.
Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
5 Och Josaphat trädde in i menigheten af Juda och Jerusalem, uti Herrans hus inför nya gården;
Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
6 Och sade: Herre, våra fäders Gud, äst icke du Gud i himmelen, och råder öfver all Hedningarnas rike? Och i dine hand är kraft och magt, och ingen är, som emot dig stå kan.
Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
7 Hafver du, vår Gud, icke fördrifvit detta lands inbyggare för dino folke Israel, och hafver gifvit det Abrahams dins väns säd till evig tid;
Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
8 Så att de hafva bott deruti, och byggt dig derinne till ditt Namn en helgedom, och sagt:
Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
9 Om något ondt, svärd, straff, pestilentie, eller hård tid öfver oss komme, skulle vi stå för detta hus inför dig; förty ditt Namn är i desso huse; och ropa till dig i våra nöd, så ville du höra dertill och hjelpa?
'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
10 Nu si, Ammons barn, Moab, och de af Seirs berg, öfver hvilka du icke lät Israels barn draga, då de foro utur Egypti land, utan de måste vika af ifrå dem, och icke förderfva dem;
Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
11 Och si, de låta oss det umgälla, och komma till att utdrifva oss utu ditt arf, som du oss gifvit hafver.
Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
12 Vår Gud, vill du icke döma dem? Ty i oss är ingen magt emot denna stora hopen, som emot oss kommer; vi vete icke hvad vi göra skole, utan vår ögon se till dig.
Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
13 Och hele Juda stod för Herranom med sin barn, hustrur och söner.
Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
14 Men öfver Jahasiel, Sacharia son, Benaja sons, Jehiels sons, Matthania sons, den Leviten utaf Assaphs barn, kom Herrans Ande midt i menighetene;
Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
15 Och sade: Akter härtill, hele Juda, och I Jerusalems inbyggare, och Konung Josaphat; så säger Herren till eder: I skolen icke frukta eder, eller gifva eder för denna stora hopenom; ty det striden icke I, utan Gud.
Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
16 I morgon skolen I draga ned till dem; och si, de draga upp till Ziz, och I skolen råka dem vid bäcken, för öknene Jeruel.
Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
17 Förty I skolen intet strida i denna sakene; allenast träder fram, och står, och ser Herrans salighet, den med eder är; Juda och Jerusalem, frukter eder intet, och gifver eder icke; i morgon drager ut emot dem. Herren är med eder.
Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
18 Då böjde sig Josaphat med sitt ansigte till jordena, och hela Juda och Jerusalems inbyggare föllo neder för Herranom, och tillbådo Herran.
Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
19 Och Leviterna utaf de Kehathiters barn, och utaf de Korinters barn, stodo upp till att lofva Herran Israels Gud med höga röst åt himmelen.
Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
20 Och de voro bittida uppe om morgonen, och drogo ut till den öknen Thekoa. Och då de utdrogo, stod Josaphat och sade: Hörer härtill, Juda, och I Jerusalems inbyggare: Tror uppå Herran edar Gud, så varden I trygge; och tror hans Propheter, så sker eder lycka.
Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
21 Och han underviste folket, och satte sångare för Herranom, och dem som lofva skulle i heligom skrud, och gå för väpnade hären, och säga: Tacker Herranom, ty hans barmhertighet varar evinnerliga.
Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
22 Och då de begynte till att tacka och lofva, lät Herren bakhären, som emot Juda kommen var, komma in på Ammons barn, Moab, och dem af Seirs berg; och de slogo dem.
Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
23 Då stodo Ammons barn och Moab emot dem af Seirs berg, till att förspilla och nederlägga dem; och då de hade gjort ända på dem af Seirs berg, halp den ene dem andra, att de ock förderfvade sig.
Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
24 Men då Juda kom till Mizpe vid öknen, vände de sig emot hopen; och si, då lågo de döde kroppar på jordene, så att ingen undsluppen var.
Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
25 Och Josaphat kom med sitt folk till att byta deras rof, och funno ibland dem myckna ägodelar och kläder, och kostelig tyg; och skinnade dem, så att de icke mer kunde föra, och utbytte rofvet i tre dagar; ty det var ganska mycket.
Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
26 På fjerde dagenom kommo de tillhopa uti lofsdalenom; förty der lofvade de Herran; deraf heter det rummet lofsdal, allt intill denna dag.
Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
27 Alltså vände hvar och en af Juda och Jerusalem tillbaka igen, och Josaphat för dem, så att de drogo till Jerusalem med fröjd; ty Herren hade gifvit dem en glädje öfver deras fiendar;
Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
28 Och drogo in uti Jerusalem med psaltare, harpor och trummeter, till Herrans hus.
Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
29 Och Guds fruktan kom öfver all rike i landen, då de hörde, att Herren hade stridt emot Israels fiendar.
Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
30 Alltså vardt Josaphats rike stilla; och Gud gaf honom ro allt omkring.
Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
31 Och Josaphat regerade öfver Juda; och var fem och tretio år gammal, då han Konung vardt, och regerade fem och tjugu år i Jerusalem. Hans moder het Asuba, Silhi dotter.
Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
32 Och han vandrade uti sins faders Asa väg, och gick intet derifrå, att han ju gjorde det Herranom väl täcktes;
Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
33 Undantagno, att de höjder icke borttagne vordo; förty folket hade ännu icke skickat sitt hjerta till deras fäders Gud.
Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
34 Hvad nu mer af Josaphat sägande är, både det första och det sista, si, det är skrifvet i Jehu gerningar, Hanani sons, hvilka han upptecknat hafver uti Israels Konungars bok.
Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
35 Derefter förenade sig Josaphat, Juda Konung, med Ahasia, Israels Konung, hvilken ogudaktig var med sitt väsende.
Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
36 Och han samfällde sig med honom till att göra skepp, att de skulle fara till sjös; och skeppen gjorde de i EzionGeber.
Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
37 Men Elieser, Dodava son af Maresa, spådde emot Josaphat, och sade: Derföre, att du hafver förenat dig med Ahasia, hafver Herren omintetgjort din verk. Och skeppen vordo sönderslagne, och kunde intet till sjös fara.
Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.