< 1 Samuelsboken 9 >
1 Och en man af BenJamin benämnd Kis, Abiels son, Zerors sons, Bechoraths sons, Aphiahs sons, en mans Jemini sons, en ärlig man;
Basi kulikuwa na mtu mmoja kutoka Benyamini, mtu mashuhuri. Jina lake aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, mwana wa Mbenyamini.
2 Han hade en son benämnd Saul, han var en dägelig ung man, så att ingen dägeligare var ibland Israels barn; hufvudet högre än allt folket.
Huyu alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Sauli, kijana mzuri wa uso. Hapakuwapo mwanaume mzuri wa uso kuliko huyu miongoni mwa watu wote wa Israeli. Kutoka mabegani kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wengine.
3 Så hade Sauls fader Kis borttappat sina åsninnor; och han talade till sin son Saul: Tag en af drängerna med dig, och statt upp, gack bort, och sök upp åsninnorna.
Na punda wa Kishi, baba yake na Sauli walipotea. hivyo Kishi akamwambia Sauli mwanawe, “Mchukue mmoja wa watumishi; uamke uende kuwatafuta punda,”
4 Och han gick öfver Ephraims berg, och genom det landet Salisa, och de funno dem intet. De gingo igenom det landet Saalim, och der voro de intet. De gingo genom Jemini land, och funno dem intet.
Sauli akapita katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu na akaenda akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona. Kisha walipita katika nchi ya Shaalimu, lakini hawakuwa huko. Baadaye alipita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwaona wale punda.
5 När de kommo uti det landet Zuph, sade Saul till drängen, som med honom var: Kom, låt oss gå hem igen; min fader måtte öfvergifva åsninnorna, och hafva sorg om oss.
Na walipofika nchi ya Sufu, Sauli alimwambia mtumishi wake aliyekuwa naye, “Njoo na turudi, pengine baba aweza kuacha kuchunga punda na kuanza kutuhofia sisi.”
6 Men han sade: Si, här är en märkelig Guds man i denna staden; allt det han säger, det sker; låt oss nu gå dit; tilläfventyrs säger han oss vår väg, den vi gå.
Lakini mtumishi akamwmbia, “Sikiliza, Yupo mtu wa Mungu katika mji huu. Naye ni mtu wa kuheshimiwa sana; kila asemalo huwa kweli. Hebu twende huko; labda anaweza kutuambia tupitie wapi katika safari yetu.”
7 Saul sade till sin dräng: Om vi än gå dit, hvad bäre vi mannenom? Förty brödet är allaredo upptärdt utu vår matsäck; vi hafve ingen gåfvo, som vi kunne bära dem Guds mannenom: Hvad hafve vi?
Ndipo Sauli akamwambia mtumish iwake, “Lakini kama tukienda kwake, twaweza kumpelekea nini? Maana hata mkate katika mfuko wetu umekwisha, na hakuna zawadi ya kumpelekea mtumishi wa Mungu. Tuna kitu gani?
8 Drängen svarade igen, och sade: Si, jag hafver fjerdedelen af en sikel silfver när mig; den vilje vi gifva dem Guds mannenom, att han må säga oss vår väg.
Huyo mtumishi akamjibu Sauli na kusema, “Hapa, ninayo robo ya shekeli ya fedha ambayo nitampa mtumishi wa Mungu, atuambie ni njia ipi yatupasa tuiendee.”
9 Fordomtid i Israel, när man gick bort till att fråga Gud, sade man: Kom, låt oss gå till Siaren; ty de som man nu kallar Propheter, dem kallade man i förtiden Siare.
(Zamani katika Israeli, mtu alipotaka kujua neno kuhusu mapenzi ya Mungu, alisema, “Njoo, haya twende kwa mwonaji.” Kwa maana nabii wa leo, zamani aliitwa Mwonaji).
10 Saul sade till sin dräng: Du hafver väl sagt; kom, låt oss gå. Och de gingo åstad till staden, der Guds mannen var.
Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake, “Umesema vyema. Haya, njoo twende.” Basi wakaenda katika mji ambao mtu wa Mungu alikuwamo.
11 Och när de komne voro upp till staden, funno de pigor, som utgångna voro till att hemta vatten; till dem sade de: Är Siaren här?
Walipopanda mlima kuelekea mjini, walikutana na wasichana wakienda kuteka maji; Sauli na mtumishi wake wakawauliza, “Mwonaji hupo hapa?”
12 De svarade dem, och sade: Ja, si, här är han; skynda dig, ty i dag är han kommen i staden; efter folket i dag offrar uppå höjdene.
Nao wakawajibu, na kusema, “Yupo; tazameni, yuko mbele yenu. Harakisheni, kwa maana anakuja mjini leo, sababu leo watu wanatoa dhabihu zao mahali pa juu.
13 När I kommen i staden, så finnen I honom, förra än han uppgår på höjdena till att äta; förty folket äter icke, förra än han kommer, efter han skall välsigna offret; sedan äta de som budne äro. Derföre går ditupp, rätt nu finnen I honom.
Mara tu mtakapoingia mjini mtamuona, kabla hajapanda mahali pa juu kla chakula. Watu hawatakula hata atakapokuja, kwa sababu ndiye ataibariki dhabihu; na baadaye wale ambao wamealikwa hula. Basi pandeni, mtamuona sasa hivi.”
14 Och då de kommo upp i staden, och voro midt i stadenom, si, då gick Samuel ut emot dem, och ville gå upp till höjdena.
Kwa hiyo walikwea kwenda mjini. Walipokuwa wakiingia mjini, walimuona Samweli akija mbele yao, akipanda kwenda mahali pa juu.
15 Men Herren hade uppenbarat för Samuels öron, en dag förra än Saul kom, och sagt:
Siku moja kabla Sauli hajafika, BWANA alikuwa amemfunulia Samweli:
16 I morgon på denna tiden skall jag sända till dig en man utu BenJamins land; den skall du smörja till en Första öfver mitt folk Israel, att han skall frälsa mitt folk ifrå de Philisteers hand; ty jag hafver sett till mitt folk, och deras rop är kommet till mig.
“Kesho wakati kama huu nitakutumia mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe utamtia mafuta awe mfalme juu ya watu wangu Israeli. Atawaokoa watu wangu kutoka mkono wa Wafilisti. Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu na kilio cha kutaka msaada kimenifikia.”
17 Då nu Samuel fick se Saul, svarade Herren honom, och sade: Si, der är mannen, som jag dig af sagt hafver, att han skall råda öfver mitt folk.
Samweli alipomuona Sauli, BWANA akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekwambia habari zake! Yeye ndiye atakayewatawala watu wangu.”
18 Då gick Saul fram till Samuel i porten, och sade: Säg mig, hvar är här Siarens hus?
Ndipo Sauli akaja karibu na Samweli katika lango na kusema, “Niambie nyumba ya Mwonaji iko wapi?
19 Samuel svarade Saul, och sade: Jag är Siaren, gack för mig upp på höjdena, ty I måsten i dag äta med mig; i morgon vill jag låta dig gå, och allt det i dino hjerta är, vill jag säga dig.
Samweli akamjibu Sauli akisema, “Mimi ndiye mwonaji. Tangulia mbele hadi mahali pa juu, nami nitakueleza kila kitu kilichomoyoni mwako.
20 Och om åsninnorna, som du för tre dagar sedan borttappade, var nu intet bekymrad, ty de äro funna; och hvem hörer allt det goda till i Israel? Blifver det icke ditt, och hela dins faders hus?
Kama punda wenu waliopotea siku tatu zilizopita, msihofu kuhusu hao punda, kwa kuwa wamekwishapatikana. Na yote yaliyotamanika kwa ajili ya Israeli yanamwangukia nani? Siyo kwako na nyumba ya baba yako yote?”
21 Saul sade: Är jag icke en son af Jemini, och af det ringasta slägtet i Israel, och min ätt ringast ibland alla ätter i BenJamin? Hvi säger du då mig sådant?
Sauli akamjibu na kusema, Siyo mimi Mbenyamini, kutoka kabila lililo dogo sana kwa makabila ya Israeli? Siyo ukoo wangu ulio mdogo sana kwa kabila la Benyamini? Kwa nini basi unaniambia kwa namna hii?”
22 Men Samuel tog Saul, och hans dräng, och hade dem upp i salen, och satte dem öfverst ibland dem som budne voro, hvilke voro vid tretio män.
Hivyo Samweli akamchukua Sauli na mtumishi wake, akawaingiza ukumbini, akawakalisha mahali pa heshima pa wale walioalikwa, idadi yao takribani watu thelathini.
23 Och Samuel sade till kocken: Få hit det stycket, som jag fick dig, och befallde att du skulle behålla det när dig.
Samweli akamwambia mpishi, “Lete sehemu niliyokupatia, sehemu ambayo nilikwambia hivi, “Itenge.”'
24 Då bar kocken en bog upp, och hvad dervid hängde. Och han satte den för Saul, och sade: Si, detta blef öfver, lägg för dig och ät; förty det är på denna tid till dig förvaradt, då jag böd folket. Så åt Saul med Samuel på den dagen.
Basi mpishi alichukua paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu na kile kilichokuwa pamoja nalo, akaitenga mbele ya Sauli. Kisha Samweli akasema, “Angalia kile kilichokuwa kimetunzwa kwa ajili yako! Kula, kwa sababu kilitunzwa hadi wakati maalum ufike kwa ajili yako. Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.”' Kwa hiyo Sauli alikula pamoja na Samweli siku hiyo.
25 Och då de gingo neder af höjdene in i staden, talade han med Saul på taket.
Walipokuwa wamekwisha shuka chini kutoka sehemu ya juu na kuingia mjini, Samweli akazungumza na Sauli darini.
26 Och de stodo bittida upp; och som morgonrodnaden gick upp, kallade Samuel Saul uppå taket, och sade: Statt upp, att jag må låta dig gå. Och Saul stod upp, och de gingo både tillsammans ut, han och Samuel.
Na kulipopambazuka, Samweli alimwita Sauli darini na kusema, “Amka, kusudi nikusindikize uende zako,” Hivyo Sauli aliamka, na wote wawili, yeye na Samweli walitoka kwenda mtaani.
27 Och då de kommo neder till ändan på staden, sade Samuel till Saul: Säg drängenom, att han går framför oss; och han gick framföre. Men du, statt nu här qvar, att jag må undervisa dig, hvad Gud hafver sagt.
Walipokuwa wakienda nje ya viunga vya mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi wako atanguliye mbele yetu(na alitangulia mbele), Lakini wewe sharti usubiri kidogo, nipate kukuambia ujumbe wa Mungu.”