< 1 Kungaboken 11 >

1 Men Konung Salomo älskade många utländska qvinnor, Pharaos dotter, och Moabitiskor, Ammonitiskor, Edoinitiskor, Zidonitiskor och Hetheerskor;
Basi mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni: binti wa Farao na wanawake wa Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti - Haya na
2 Af sådant folk, der Herren Israels barnom om sagt hade: Går icke till dem, och låter dem icke komma till eder; de varda förvisso bevekande edor hjerta efter sina gudar. Till dessa gaf sig Salomo, till att älska dem.
mataifa ambayo BWANA alikuwa amewaambia Waisraeli kwamba, “Msiwaoe, wala binti zenu kuolewa nao, kwani kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao.” Lakini Sulemani aliwapenda wanawake hao.
3 Och han hade sjuhundrad hustrur, Förstinnor, och trehundrad frillor; och hans hustrur bevekte hans hjerta.
Sulemani alikuwa na wanawake halali mia saba na masuria mia tatu. Wake zake waliugeuza moyo wake.
4 Och då han nu gammal var, bevekte hans hustrur hans hjerta efter främmande gudar, så att hans hjerta icke var fulleliga med Herranom hans Gud, såsom hans faders Davids hjerta.
Kwa kuwa Sulemani alipozeeka, wake zake waliugeuza moyo wake kwa miungu mingine; hakuutoa moyo wake wote kwa BWANA, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
5 Alltså vandrade Salomo efter Astoreth, deras gud af Zidon, och Milcom, de Ammoniters styggelse.
Kwani Sulemani alimfuata Ashtoreth, mungu mke wa Wasidoni, na alimfuata Milkom, ambayo ni sanamu chukizo ya Waamori.
6 Och Salomo gjorde det ondt var för Herranom, och följde icke Herran alldeles, såsom hans fader David.
Sulemani akafanya maovu mbele ya BWANA; hakumfuata BWANA kwa moyo wake wote, kama alivyofanya Daudi baba yake.
7 Då byggde Salomo en höjd till Chemos, de Moabiters styggelse, på berget som för Jerusalem ligger; och till Molech, de Ammoniters styggelse.
Kisha Sulemani akajenga mahali pa juu pa Kemoshi, ambayo ni sanamu chukizo ya Wamoabu, mashariki mwa Yerusalemu juu ya kilima, na vivyo hivyo na Moleki, Sanamu chukizo ya Waamoni.
8 Alltså gjorde Salomo allom sinom utländskom hustrum, de der för sina gudar rökte och offrade.
Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa sadaka kwa miungu yao.
9 Och Herren vardt vred på Salomo, att hans hjerta ifrå Herranom Israels Gud afvändt var, den honom två gånger synts hade;
BWANA alichukizwa na Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu wa Israeli, ingawa alikuwa amejionyesha kwake mara mbili
10 Och honom härom budit hade, att han icke skulle vandra efter andra gudar; och hade dock icke hållit det honom Herren budit hade.
na kumwamuru juu ya mambo haya, kwamba asiwaendee miungu wengine. Bali Sulemani hakutii kile ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
11 Derföre sade Herren till Salomo: Efter sådant är skedt med dig, och du hafver mitt förbund och min bud icke hållit, som jag dig budit hafver, så vill jag ock, rifva riket ifrå dig, och gifva det dinom tjenare.
Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, “Kwa kuwa umeyafanya haya haukulishika agano langu na maagizo ambayo nilikuamuru, basi nitaugawa ufalme kutoka kwako na kuwapatia watumishi wako.
12 Dock i din tid vill jag icke göra det, för dins faders Davids skull; utan af dins sons hand vill jag rifva det.
Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, sitalifanya hilo wakati wa uhai wako, bali nitaugawa wakati ukiwa chini ya mwanao.
13 Dock vill jag icke allt riket afrifva; ena slägt vill jag gifva dinom son, för min tjenares Davids skull, och för Jerusalems skull, det jag utvalt hafver.
Bado sitaugawanya ufalme wote; Nitampa mwanao kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu, ambayo nimeichagua.”
14 Och Herren uppväckte Salomo en fienda, Hadad den Edomeen, af Konungsligo säd, hvilken var i Edom.
Kisha BWANA akamwinulia uadui Sulemani, Hadadi Mwedomu. Alikuwa anatoka kwenye familiia ya mfalme wa Edomu.
15 Ty då David var i Edom, och Joab den härhöfvitsmannen drog upp till att begrafva de slagna, slog han allt det mankön var i Edom.
Daudi alipokuwa Edomu, Yoabu mkuu wa jeshi alikuwa ameenda kuzika mfu, kila mtu aliyekuwa ameuawa kule Edomu.
16 Förty Joab blef der sex månader, och hele Israel, intilldess han utrotade allt det mankön var i Edom.
Yoabu na Israeli yote walibaki huko kwa miezi sita mpaka alipokuwa amewaua wanaume wote wa Edomu.
17 Då flydde Hadad, och med honom någre män Edomeer af hans faders tjenare, så att de kommo uti Egypten; men Hadad var en ung dräng.
Lakini Hadadi alichulukuliwa na Waedomu wengine na watumishi wa baba yake hadi Misri, kuanzia Hadadi alipokuwa mtoto mdogo.
18 Och de stodo upp ifrån Midian, och kommo till Paran, och togo män med sig utaf Paran, och kommo uti Egypten titt Pharao, Konungen i Egypten. Han gaf honom ett hus, och förenämnd spis, och fick honom ett land in.
Waliondoka Midiani wakaja Parani, ambapo walichukuliwa na wanaume mpaka Misri, kwa Farao wa Misri, ambaye alimpa nyumba na ardhi yenye chakula.
19 Och Hadad fann stora nåd för Pharao, så att han ock gaf honom sina hustrus, Drottningenes Tahpenes syster, till hustru.
Hadadi alipata neema kubwa machoni pa Farao, kwa hiyoFarao akampatia mke, umbu wa mke wake mwenyewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa Malkia.
20 Och Tahpenes syster födde honom Genubath sin son; Och Tahpenes födde honom upp i Pharaos hus; så att Genubath var i Pharaos huse ibland Pharaos barn.
Naye huyo umbu la Tapenesi alimzalia Hadadi mwana. Wakamwita jina lake Genubathi. Tapenesi akamlea katika ikulu ya Farao. Kwa hiyo Genubathi alikulia kwenye ikulu ya Farao pamoja na watoto wa Farao.
21 Då nu Hadad hörde uti Egypten, att David afsomnad var med sina fäder, och att Joab härhöfvitsmannen var död, sade han till Pharao: Låt mig draga i mitt land.
Naye alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kuwa Daudi alishalala na mababu zake na kwamba Yoabu mkuu wa majeshi alishakufa, Hadadi akamwambia Farao, “Acha niondoke nirudi nchini kwangu.”
22 Pharao sade till honom: Hvad fattas dig när mig, att du vill draga till ditt land? Han sade: Intet; utan låt mig fara.
Lakini Farao alimwambia, “Umepungukiwa nini kwangu, kwamba sasa unatafuta kurudi nchini kwako?” Naye Hadadi akamjibu, “Hapana kitu lakini tafadhali niache niende.”
23 Än uppväckte honom Gud en fienda, Reson, ElJada son, hvilken ifrå sin herra HadadEser, Konungen i Zoba, flydd var;
Pia Mungu akamwinulia Sulemani adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba.
24 Och församlade emot honom män, och vardt en höfvitsman för krigsknektar, den tid David slog dem ihjäl; och drogo till Damascon, och bodde der, och voro rådande i Damascon.
Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski.
25 Och han var Israels fiende, så länge Salomo lefde. Det är den skadan, som Hadad led; derföre hade han en vämjelse emot Israel, och blef rådandes i Syrien.
Yeye akawa adui wa Israeli katika siku zote za mfalme Sulemani, zaidi ya madhara ambayo Hadadi alisababisha. Rezoni akawachukia Israeli na akawa juu ya Shamu
26 Dertill Jerobeam, Nebats son, en Ephrateer af Zareda, Salomos tjenare; och hans moder het Zeruga, en enka; hof också handena upp emot Konungen.
Kisha Yeroboamu mwana wa Nebati, mwefraimu wa Sereda, akida wa Sulemani, ambaye jina la mama yake lilikuwa Serua, mjane, pia akainua mkono wake dhidi ya mfalme.
27 Och detta är saken, hvarföre han upphof handena emot Konungen: då Salomo byggde Millo, slöt han igen ett gap på sins faders Davids stad.
Kisa cha kuinua mkono wake kinyume cha mfalme ilikuwa ni mfalme Sulemani kujenga Milo na kufunga mahali palipobomoka katika mji wa Daudi baba yake.
28 Och Jerobeam var en stridsam man; och då Salomo såg att mannen var snäll, satte han honom öfver alla Josephs hus utskylder.
Yeroboamu alikuwa mtu hodari na shujaa. Sulemani akaona kuwa huyo kijana alikuwa na bidii, kwa hiyo akampa kuwa na mamlaka juu ya wafanyakazi katika nyumba ya Yusufu.
29 Men det begaf sig på den tiden, att Jerobeam gick utaf Jerusalem, och Propheten Ahia af Silo fann honom på vägenom; och han hade en ny mantel uppå; och de voro både allena på markene.
Wakati huo, Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya Mshilo akamkuta barabarani. Sasa Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya na kwamba hawa wawili walikuwa pekee yao kondeni.
30 Och Ahia fattade den nya mantelen, som han på hade, och ref honom sönder i tolf stycker;
Kisha Ahiya akalishika lile vazi jipya ambalo alikuwa nalo na akalichana katika vipande kumi na viwili.
31 Och sade till Jerobeam: Tag tio stycker till dig; förty så säger Herren Israels Gud: Si, jag skall rifva riket utu Salomos hand, och gifva dig tio slägter.
Akamwambia Yeroboamu. “Chukua vipande kumi, kwani BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Tazama, Nitaugawa ufalme toka katika mkono wa Sulemani nami nitakupa makabila kumi.
32 En slägt skall han hafva för min tjenares Davids skull, och för staden Jerusalems skull, den jag utvalt hafver utur alla Israels slägter;
(lakini Sulemani atabaki na kabila moja, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na kwa ajili ya mji wangu Yerusalemu - mji ambao nimeuchagua toka kwenye kabila zote za Israeli),
33 Derföre att de hafva öfvergifvit mig, och tillbedit Astoreth, de Zidoniers gud, Chemos, de Moabiters gud, och Milcom, Ammons barnas gud, och icke vandrat i mina vägar, så att de måtte gjort hvad mig behagade, min bud och rätter, såsom David hans fader.
kwa kuwa ameniacha na kumwabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi Mungu wa Wamoabu, na Milikomu mungu wa watu wa Amoni. Wameziacha njia zangu, hawakufanya kilicho chema katika macho yangu, wala hawa kuzishika amri na maagizo yangu, kama alivyofanya Daudi baba yake.
34 Jag vill ock icke taga hela riket utu hans hand; utan jag vill göra honom till en Första i hans lifstid, för Davids min tjenares skull, den jag utvalt hafver, den min bud och rätter hållit hafver.
Hata hivyo. Stauchukua ufalme wote toka kwenye mkono wa Sulemani. Badala yake, nimemfanya kuwa mtawala katika siku zake zote za uhai wake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu ambaye nilimchagua, mtu ambaye alizishika amri na maagizo yangu.
35 Utu hans sons hand vill jag taga riket, och vill gifva dig tio slägter;
Bali nitauchukua ufalme ukiwa chini ya mkono wa mwanae na nitakupa wewe, makabila kumi.
36 Och hans son ena slägt, på det min tjenare David ju allstädes hafver ena lykto för mig uti den staden Jerusalem, den jag mig utvalt hafver, att jag mitt Namn der sätta skulle.
Nitampa kabila moja mwana wa Sulemani ili kwamba Daudi mtumishi wagu atabaki kuwa nuru mbele yangu huko Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua ili niweke jina langu.
37 Så vill jag nu taga dig, att du skall råda öfver allt det ditt hjerta begärar; och skall vara Konung öfver Israel.
Nami nitakuchukua, nawe utatawala ili kutimiza haja yako, nawe utakuwa mfalme juu ya Israeli.
38 Om du nu vill höra allt det jag dig bjudandes varder, och vandra i mina vägar, och göra hvad mig behagar, så att du håller mina rätter och bud, såsom min tjenare David gjort hafver, så vill jag vara med dig, och bygga dig ett beständigt hus, såsom jag David byggt hafver, och vill gifva dig Israel;
Kama utasikiliza yote ninayokuagaza, na kama utatembea katika njia zangu na kufanya kinachopendeza mbele ya macho yangu, ukayashika maagizo na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya, ndipo nitakapokuwa na wewe na nitakujengea nyumba ya uhakika, kama niliyomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
39 Och vill dermed förnedra Davids säd; dock icke till evig tid.
Nitawaadhibu uzao wa Daudi, lakini si milele.”
40 Men Salomo for efter att dräpa Jerobeam. Då stod Jerobeam upp, och flydde uti Egypten till Sisak, Konungen i Egypten, och blef i Egypten, tilldess Salomo blef död.
Kwa hiyo Sulemani akajaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akaamka na kukimbilia Misri, Kwa Shishaki mfalme wa Misri, naye akabaki Misri mpaka Sulemani alipokufa.
41 Hvad mer af Salomo sägandes är, och allt det han gjort hafver, och hans visdom, det är skrifvet i Chrönicon om Salomo.
Na kwa mambo mengine yanayomhusu Sulemani, Yote ambayo alifanya na hekima zake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya
42 Men tiden, som Salomo var Konung i Jerusalem, öfver hela Israel, var fyratio år.
Sulemani? Sulemani alitawala Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
43 Och Salomo afsomnade med sina fäder, och vardt begrafven uti sins faders Davids stad; och hans son Rehabeam vardt Konung i hans stad.
Naye akalala na mababu zake na alizikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu mwanae akawa mfalme mahali pake.

< 1 Kungaboken 11 >