< 1 Krönikeboken 27 >

1 Men Israels barn efter sitt tal voro höfdingar öfver fäderna, och öfver tusende, och öfver hundrade; och ämbetsmän, som på Konungen vaktade, efter deras ordning, till att draga till och frå, hvar i sin månad, i hvar månad om året. Hvart skiftet hade fyra och tjugu tusend.
Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
2 Öfver första skiftet i första månadenom var Jasabeam, Sabdiels son; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
3 Men af Perez barnom var den öfverste öfver alla höfvitsmännerna i härarna i första månadenom.
Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 Öfver det skiftet i den andra månaden var Dodai den Ahohiten; och Mikloth var Förste öfver hans skifte; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
5 Den tredje härhöfvitsmannen i tredje månadenom, den öfverste, var Benaja, Jojada Prestens son; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
6 Denne är Benaja, den hjelten ibland tretio, och öfver tretio; och hans skifte var under hans son Ammisabad.
Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
7 Den fjerde i fjerde månadenom var Asahel, Joabs broder, och efter honom Sebadia, hans son; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
8 Den femte i femte månadenom var Samhuth den Jisrahiten; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
9 Den sjette i sjette månadenom var Ira, Ikkes den Thekoitens son; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
10 Den sjunde i sjunde månadenom var Helez den Peloniten, af Ephraims barn; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
11 Den åttonde i åttonde månadenom var Sibbechai den Husathiten, af de Sarhiter; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
12 Den nionde i nionde månadenom var Abieser den Anthothiten, af Jemini barn; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
13 Den tionde i tionde månadenom var Maharai den Netophathiten, af de Serahiter; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
14 Den ellofte i ellofte månadenom var Benaja den Pirgathoniten, af Ephraims barn; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
15 Den tolfte i tolfte månadenom var Heldai den Netophathiten, af Athniel; och i hans skifte voro fyra och tjugu tusend.
Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
16 Öfver Israels slägter voro desse: För de Rubeniter var Förste Elieser, Sichri son; för de Simeoniter var Sephatia, Maacha son;
Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
17 För de Leviter var Hasabia, Kemuels son; för de Aaroniter var Zadok;
Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
18 För Juda var Elihu af Davids bröder; för Isaschar var Omri, Michaels son;
Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
19 För Sebulon var Jismaja, Obadja son; för Naphthali var Jerimoth, Asriels son;
Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
20 För Ephraims barn var Hosea, Asasia son; för den halfva slägtene Manasse var Joel, Phedaja son;
Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
21 För den halfva slägtene Manasse i Gilead var Jiddo, Zacharia son; för BenJamin var Jaasiel, Abners son;
Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
22 För Dan var Asarel, Jerohams son Detta äro de Förstar för Israels slägter.
Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
23 Men David tog intet tal af dem som voro tjugu åra, och der för nedan; ty Herren hade sagt, att han skulle föröka Israel såsom stjernorna på himmelen.
Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
24 Men Joab, ZeruJa son, hade begynt räkna, och lyktade det icke; ty en vredo kom fördenskull öfver Israel, derföre kom det talet icke uti Konung Davids Chrönico.
Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
25 Öfver Konungens håfvor var Asmaveth, Adiels son; och öfver de håfvor på landena, i städer, byar och slott, var Jonathan, Ussija son.
Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
26 Öfver åkermännerna till landsbruket var Esri, Chelubs son.
Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
27 Öfver vingårdarna var Simei den Ramathiten; öfver vinkällarena och vinet var Sabdi den Siphmiten.
Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
28 Öfver oljogårdarna, och mulbärträ i markene var BaalHanan den Gederiten; öfver oljona var Joas.
Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
29 Öfver den boskap, som i bet var i Saron, var Sithrai den Saroniten; men öfver den boskap i dalomen var Saphat, Adlai son.
Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
30 Öfver camelarna var Obil den Ismaeliten; öfver åsnarna var Jehdeja den Meronothiten.
Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
31 Öfver fåren var Jasis den Hagariten, Desse voro alle öfverstar öfver Konung Davids ägodelar.
Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
32 Men Jonathan, Davids faderbroder, var rådgifvare, hofmästare och canceller; Jehiel, Hachmoni son, var när Konungens barnom.
Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
33 Achitophel var ock Konungens rådgifvare; Husai den Arachiten var Konungens vän.
Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
34 Efter Achitophel var Jojada, Benaja son, och AbJathar; men Joab var Konungens härhöfvitsman.
Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.

< 1 Krönikeboken 27 >