< 1 Krönikeboken 25 >
1 Och David, samt med härhöfvitsmännerna, afskiljde till ämbete af Assaphs barn, Heman och Jeduthun, de Propheterna med harpor, psaltare och cymbaler; och de vordo talde till verket, efter sitt ämbete:
Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
2 Utaf Assaphs barn: Saccur, Joseph, Nethania, Asarela, Assaphs barn, under Assaph, som propheterade när Konungen.
Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
3 Af Jeduthun: Jeduthuns barn voro: Gedalia, Zeri, Jesaja, Hasabia, Mattithia, de sex, under deras fader Jeduthun, med harpor, hvilke propheterade till att tacka och lofva Herran.
Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
4 Af Heman: Hemans barn voro: Bukkija, Matthania, Ussiel, Sebuel, Jerimoth, Hanania, Hanani, Eliatha, Giddalthi, RomamthiEser, Josbekasa, Mallothi, Hothir och Mahasioth.
Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
5 Desse voro alle Hemans barn, Konungens Siares i Guds ordom, till att upphöja hornet; ty Gud hade gifvit Heman fjorton söner och tre döttrar.
Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
6 Desse voro alle under deras fäder Assaph, Jeduthun och Heman, till att sjunga i Herrans hus med cymbaler, psaltare och harpor, efter ämbetet i Guds hus när Konungen;
Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
7 Och talet på dem, med deras bröder, som i Herrans sång lärde voro, allesammans mästare, tuhundrad åtta och åttatio.
Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
8 Och de kastade lott öfver deras ämbete, dem minsta såsom dem största; mästarenom såsom lärjunganom.
Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
9 Och den förste lotten föll på Joseph under Assaph; den andre på Gedalia, med hans bröder och söner, de voro tolf;
Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
10 Den tredje på Saccur, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
11 Den fjerde på Jizri, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
12 Den femte på Nethania, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
13 Den sjette på Bukkija, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
14 Den sjunde på Jesarela, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
15 Den åttonde på Jesaja, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
16 Den nionde på Matthania, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
17 Den tionde på Simei, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
18 Den ellofte på Asareel, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
19 Den tolfte på Hasabia, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
20 Den trettonde på Subael, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
21 Den fjortonde på Mattithia, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
22 Den femtonde på Jeremoth, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
23 Den sextonde på Hanania, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
24 Den sjuttonde på Josbekasa, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
25 Den adertonde på Hanani, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
26 Den nittonde på Mallothi, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
27 Den tjugonde på Elijatha, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
28 Den förste och tjugonde på Hothir, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
29 Den andre och tjugonde på Giddalthi, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
30 Den tredje och tjugonde på Mahasioth, med hans söner och bröder, de voro tolf;
ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
31 Den fjerde och tjugonde på RomamthiEser, med hans söner och bröder, de voro tolf.
ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.