< 1 Krönikeboken 24 >
1 Men Aarons barnas ordning var denna: Aarons barn voro Nadab, Abihu, Eleazar och Ithamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Men Nadab och Abihu blefvo döde inför deras fader, och hade inga barn; och Eleazar och Ithamar vordo Prester.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Och David skickade dem alltså, Zadok af Eleazars barn, och Ahimelech af Ithamars barn, efter deras tal och ämbete.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Och vordo Eleazars barn flere funne till yppersta starka män än Ithamars barn. Och han skickade dem alltså; nämliga sexton utaf Eleazars barn, till öfverstar ibland deras fäders hus; och åtta af Ithamars barn ibland deras fäders hus.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Och han skifte dem efter lott, derföre, att både af Eleazars och Ithamars barn voro öfverstar i helgedomenom, och öfverstar för Gud.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Och skrifvaren Semaja, Nethaneels son, utaf Leviterna, beskref dem för Konungenom, och för öfverstarna, och för Zadok Prestenom, och för Ahimelech, AbJathars son, och för öfversta fäderna ibland Presterna och Leviterna; nämliga ett fadershus för Eleazar, och det andra för Ithamar.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Och förste lotten föll uppå Jojarib, den andre uppå Jedaja;
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 Den tredje på Harim, den fjerde på Seorim;
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 Den femte på Malchija, den sjette på Mijamin;
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 Den sjunde på Hakkoz, den åttonde på Abia;
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 Den nionde på Jesua, den tionde på Sechania;
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 Den ellofte på EljaSib, den tolfte på Jakim;
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 Den trettonde på Huppa, den fjortonde på Jesebeab;
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 Den femtonde på Bilga, den sextonde på Immer;
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 Den sjuttonde på Hesir, den adertonde på Happizez;
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 Den nittonde på Petahja, den tjugonde på Jeheskel;
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 Den förste och tjugonde på Jachin, den andre och tjugonde på Gamul;
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 Den tredje och tjugonde på Delaja, den fjerde och tjugonde på Mahasia.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Detta är ordningen efter deras ämbeten, till att gå i Herrans hus efter deras sätt, under deras fader Aaron, såsom Herren Israels Gud dem budit hade.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Men utaf de andra Levi barn, af Amrams barn var Subael. Af Subaels barn var Jehdeja.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Af Rehabia barn var den förste Jissija.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Men af de Jizeariter var Selomoth. Af Selomoths barn var Jahath.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 ( Hebrons ) barn voro: Jeria den förste, Amaria den andre, Jahasiel den tredje, Jekameam den fjerde.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Ussiels barn voro: Micha. Utaf Micha barn var Samir.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Micha broder var Jissija. Utaf Jissija barn var Zacharia.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Merari barn voro: Maheli och Musi; hans son var Jaasia.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Merari barn, af Jaasia, hans son, voro: Soham, Saccur och Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Men Maheli hade Eleazar, och Eleazar hade inga söner.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Af Kis: Kis barn voro: Jerahmeel.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Musi barn voro: Maheli, Eder och Jerimoth. Detta äro de Leviters barn, i deras faders hus.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Och man kastade också för dem lott, bredovid deras bröder Aarons barn, inför Konung David och Zadok, och Ahimelech, och inför de öfversta fäderna af Prestomen och Levitomen, dem minsta brodrenom så väl som dem öfversta af fäderna.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.