< 1 Krönikeboken 2 >

1 Desse äro Israels barn: Ruben, Simeon, Levi, Juda, Isaschar, Sebulon,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dan, Joseph, BenJamin, Naphthali, Gad, Asser.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Juda barn äro: Er, Onan, Sela; de tre vordo honom födde af Sua dotter den Cananeiskon. Men Er, den förste Juda son, var arg för Herranom, derföre drap han honom.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 Men Thamar hans sonahustru födde honom Perez och Serah, så att all Juda barn voro fem.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Perez barn äro: Hezron och Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 Men Serah barn äro: Simri, Ethan, Heman, Chalcol, Dara. Desse tillhopa äro fem.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 Charmi barn äro: Achar, hvilken bedröfvade Israel, då han förtog sig på det tillspillogifvet var.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 Ethans barn äro: Asaria.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Hezrons barn, som honom födde äro: Jerahmeel, Ram, Chelubai.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 Ram födde Amminadab; Amminadab födde Nahesson, den Förstan för Juda barn.
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 Nahesson födde Salma; Salma födde Boas.
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 Boas födde Obed; Obed födde Isai;
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 Isai födde sin första son Eliab, AbiNadab den andre, Simea den tredje,
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 Nethaneel den fjerde, Raddai den femte,
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 Ozem den sjette, David den sjunde.
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 Och deras systrar voro: ZeruJa och Abigail. ZeruJa barn äro: Abisai, Joab, Asahel, de tre.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 Men Abigail födde Amasa; och Amasa fader var Jether, en Ismaelit.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 Caleb, Nezrons son, födde med den qvinnone Asuba och med Jerigoth; och desse äro hennes barn; Jeser, Sobab och Ardon.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 Då Asuba blef död, tog Caleb Ephrath; hon födde honom Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 Hur födde Uri; Uri födde Bezaleel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Derefter besof Hezron Machirs dotter, Gileads faders; och han tog henne, då han var sextio åra gammal; och hon födde honom Segub.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 Segub födde Jair; han hade tre och tjugu städer i Gileads land.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 Och han tog utaf de samma Gesur och Aram, Jairs byar; dertill Kenath med dess döttrar, sextio städer. Desse äro alle Machirs barn, Gileads faders.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 Efter Hezrons död i CalebEphrata lefde Hezron sina hustru Abia; hon födde honom Ashur, Thekoa fader.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 Jerahmeel, Hezrons förste son, hade barn; den förste Ram, Buna, Oren och Ozem, och Ahia.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Och Jerahmeel hade ännu ena andra hustru, som het Atarah; hon är Onams moder.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 Rams barn, Jerahmeels första sons, äro: Maaz, Jamin och Eker.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 Men Onam hade barn: Sammai och Jada. Sammai barn äro: Nadab och Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 Men Abisurs hustru het Abihail; hon födde honom Ahban och Molid.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 Nadabs barn äro: Seled och Appaim; och Seled blef död barnlös.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 Appaims barn äro: Jisei. Jisei barn äro: Sesan. Sesans barn äro: Ahlai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 Jada barn, Sammai broders, äro: Jether och Jonathan; men Jether blef död barnlös.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 Men Jonathans barn äro: Peleth och Sasa. Det äro Jerahmeels barn.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 Men Sesan hade inga söner, utan döttrar. Och Sesan hade en Egyptisk tjenare, han het Jarha.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Och Sesan gaf Jarha, sinom tjenare, sina dotter till hustru; hon födde honom Attai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 Attai födde Nathan; Nathan födde Sabad.
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 Sabad födde Ephlal; Ephlal födde Obed;
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 Obed födde Jehu; Jehu födde Asaria;
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 Asaria födde Helez; Helez födde Elasa;
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Elasa födde Sismai; Sismai födde Sallum;
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 Sallum födde Jekamia; Jekamia födde Elisama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Calebs barn, Jerahmeels broders, äro: Mesa, hans förste son; han är Siphs fader, och Maresa barn, Hebrons faders.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 Hebrons barn äro: Korah, Thappuah, Rekem och Serna.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 Men Serna födde Raham, Jorkeams fader; Rekem födde Sammai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 Sammai son het Maon; och Maon var Bethzurs fader.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 Men Epha, Calebs frilla, födde Haran, Moza och Gases. Haran födde Gases.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 Men Jahdai barn äro: Regem, Jotham, Gesan, Pelet, Epha och Saaph.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Men Maacha, Calebs frilla, födde Seber och Thirhana;
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Och födde desslikes Saaph, Madmanna foder, och Seva, Machbena fader, och Gibea fader. Achsa var Calebs dotter.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Desse voro Calebs barn, Hurs den förste sonens af Ephrata: Sobal, KiriathJearims fader,
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma, BethLehems fader, Hareph, BethGaders fader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 Och Sobal, KiriathJearims fader, hade söner; han såg halfva Manuhoth.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 Men de slägter i KiriathJearim voro: de Jithriter, Puthiter, Sumathiter och Misraiter. Utaf dessom äro utkomne de Zorgathiter och Esthaoliter.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Salma barn äro: BethLehem och de Netophathiter, kronorna till Joabs hus, och hälften af de Manathiter af den Zorgiten.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 Och de skrifvares slägter, som i Jabez bodde, äro: de Thirathiter, Simathiter, Suchathiter. Det äro de Kiniter, som komne äro af Hamath, BethRechabs fader.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Krönikeboken 2 >