< Tito 3 >
1 Wakumbushe watu kuwastahi watawala na wenye mamlaka, kuwatii na kuwa tayari kwa kila namna kutenda mambo yote mema.
uvakumbusie kukujisia ku valolelesi nuvutavulua, kukuvitikila nakuva tayale kum'bombo inofu.
2 Waambie wasimtukane mtu yeyote; bali waishi kwa amani na masikizano, wawe daima wapole kwa kila mtu.
vakumbusie avanhu navangam'bombelaghe umunhu ghwoghwoni uvuvivi, navangavisaghe na mabatu, vavapele inafasi avanhu avange kuvomba inyamulo, nakusona ulujisio kuvanhu vooni.
3 Maana, wakati mmoja sisi tulikuwa wapumbavu, wakaidi na wapotovu. Tulikuwa watumwa wa tamaa na anasa za kila aina. Tuliishi maisha ya uovu na wivu; watu walituchukia nasi tukawachukia.
ulwakuva najusue tulyale namassaghe gha vusofi naghavugalusi. tulyale muvusofi nakuvombua vasung'ua va noghelua nyinga ni tulikalile muvwifu nuvuhosi. tulyakalisie nakukalalilana.
4 Lakini wakati wema na upendo wa Mungu, Mwokozi wetu, ulipofunuliwa,
neke un'siki ghuno ulusungu lwa nguluve umpoki ghwitu nulughano lwake kuvanhu panolulyavonike.
5 alituokoa. alituokoa si kwa sababu ya jambo lolote jema tulilotenda sisi, bali alituokoa kwa sababu ya huruma yake, kwa njia ya Roho Mtakatifu anayetujalia tuzaliwe upya na kuwa na maisha mapya kwa kutuosha kwa maji.
nalulyale mumaghendele ghwitu gha kyang'ani ghanotuvombile, looli alyatupokile kulusungu lwake. alyatupokile kwakutuvalasia nakuholua vupya nakutendua vupya mwa uMhepo uMwimike.
6 Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,
Unguluve akamulaghe uMhepo Umwimike kuvwinga kukilila uYesu Kilisite umpoki ghwitu.
7 ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uzima wa milele tunaoutumainia. (aiōnios )
akavombile ndikio neke kuti, tungave tuvalilue ikyang'ani kulusungu lwake. tuvisaghe vahangilanisi mukyang'ani vwa vwumi vwa kusila nakusila. (aiōnios )
8 Jambo hili ni kweli. Ninakutaka uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini Mungu, wawe na hamu ya kuutumia wakati wao katika kutenda mema, ambayo ni mambo mazuri na ya manufaa kwa watu.
iji je mhola jakwitikika. nikuvalonda mughajove muvukangasio agha, neke kuti vala vanovikumwitikila UNguluve vavisaghe nuluvumbulilo muvufumbue mu mbombo inofu sinoakasivikile pamaso ghavo. imbombo isi nofu siliniluvumbulilo kulyusue twevoni.
9 Lakini jiepushe na ubishi wa kipumbavu, ugomvi na mabishano juu ya Sheria. Mambo hayo hayana faida yoyote na ni ya bure tu.
pe mulekaghe pikwingila mulukani ulyakipumbafu, ifya fipango, amasindano, amabatu mundaghilo. isio sisila nambe luvumbulilo.
10 Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
mun'kanaghe ghwoghwoni junoisababisia mupalasane kati jinu. pepano kyande muva mumpavile ulwakwanda na kavili.
11 Wajua kwamba mtu wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea.
kagulagha kuti umunhu ghwandikio ajilekile isila ija kyang'ani napivomba isambi nakukujihigha jujuo.
12 Baada ya kumtuma kwako Artema au Tukiko, fanya bidii kuja Nikopoli unione, maana nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi.
kyalenikun'sung'a kulyuve urtemi nu tikiko vomba ng'aning'ani ghwise kulyune kuno ku Nikopoli namwile kukukala uns'ikighwa mepo.
13 Jitahidi kumsaidia mwana sheria Zena na Apolo ili waweze kuanza ziara zao na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji.
vomba ng'aning'ani un'sung'e u Sena umanyi ghwa ndaghilo nu Apolo kisila kupungukivua nikinu.
14 Ni lazima watu wetu wajifunze kuutumia wakati wao katika kutenda mema ili wasaidie katika mahitaji ya kweli, na maisha yao yawe ya kufaa.
avanhu vitu lughanile pimanyila kutighana mu imbombo inofu sinosikola amanogheluo neke kuti navangisaghe kuva navihola imeke.
15 Watu wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu katika imani. Nawatakieni nyote neema ya Mungu.
vooni vano valipalikimo nune nikuvahungila. vahungilaghe vala vanovatughanile mu lwitiluvisaghe numue mweni.