< Tito 2 >

1 Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
Tú, empero, enseña lo que es conforme a la sana doctrina:
2 Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
que los ancianos sean sobrios, graves, prudentes, sanos en la fe, en la caridad, en la paciencia;
3 Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
que las ancianas asimismo sean de porte venerable, no calumniadoras, no esclavas de mucho vino, maestras en el bien,
4 ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
para que enseñen a las jóvenes a ser amantes de sus maridos y de sus hijos, prudentes,
5 wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
castas, hacendosas, bondadosas, sumisas a sus maridos, para que no sea blasfemada la Palabra de Dios.
6 Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
Exhorta igualmente a los jóvenes para que sean prudentes.
7 Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
En todo muéstrate como ejemplo de buenas obras. En la enseñanza ( muestra ) incorrupción de doctrina, dignidad,
8 Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
palabra sana, intachable, para que el adversario se avergüence, no teniendo nada malo que decir de nosotros.
9 Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
( Exhorta ) a los siervos a que obedezcan en todo a sus amos, agradándoles y no contradiciéndoles,
10 au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
que no los defrauden, antes bien muestren toda buena fe, a fin de que acrediten en todo la doctrina de Dios nuestro Salvador.
11 Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
Porque se ha manifestado la gracia salvadora de Dios a todos los hombres,
12 Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
la cual nos ha instruido para que renunciando a la impiedad y a los deseos mundanos vivamos sobria, justa y piadosamente en este siglo actual, (aiōn g165)
13 tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
aguardando la dichosa esperanza y la aparición de la gloria del gran Dios y Salvador nuestro Jesucristo;
14 Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
el cual se entregó por nosotros a fin de redimirnos de toda iniquidad y purificar para sí un pueblo peculiar suyo, fervoroso en buenas obras.
15 Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.
Esto es lo que has de enseñar. Exhorta y reprende con toda autoridad. Que nadie te menosprecie.

< Tito 2 >