< Tito 2 >
1 Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
F’ihe, Taroño ze mañeva atao enta-mahity,
2 Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
hahapendreñe o androanavio ho vañoñe, hilie-batañe, higahiñe am-patokisañe, an-koko naho am-pahaliñisañe;
3 Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
manahake izay o rakemba beio, t’ie ho vañon-dia mpañeveñe aman-Kake, tsy mpikanifoke, tsy ondevozen-divay, fa mpañoke havañonañe;
4 ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
mpanoro o ampelao ho hendre, mpikoko valy naho mpitea anake;
5 wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
ie mahalie-troke, tsy aman-kila, mahay mañalahala anjomba, matarike, mpiandaly ami’ty vali’e; soa tsy honjirañe ty tsaran’ Añahare.
6 Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
Osiho ka o ajalahio te hilie-batañe.
7 Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
Le an-tsata’o iaby, mañaveloa ho fitsikombeam-pitoloñan-tsoa, ho mpañoke vantañe vaho migahiñe,
8 Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
añ’enta mifehe, tsy itiñeañe, hanalarañe ty mandietse, tsy hinjeañe.
9 Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
Osiho ondevoo hiambàne amo tompo’eo, hampifalea’e an-tsata’e iaby, vaho tsy hanointoiñe;
10 au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
tsy hampikametse, te mone hitoloñe am-patokisañe do’e, soa te ho bangoe’e amy ze he’e ty fañòhan’ Añahare Mpandrombake antikañe.
11 Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
Fa niboake ty hasoan’ Añahare minday fandrombahañe ho a ze kila ondaty,
12 Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
mañoke antika halaiñe ty hatsi-an-Kake naho o hadrao’ ty voatse toio; naho ty hilie-batañe an-kavañonañe, vaho hañori-Kake ami’ty sà toy, (aiōn )
13 tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
ie liñisantika i fitamàñe andriañañey—i fiboaham-bolonahen’ Añahare jabahinakey, Iesoà Mpandrombake Norizañey,
14 Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
i namoe’ay hijebañe antika amy ze fonga fandilaran-Kakey, hañefera’e ho aze ondaty mahimbañe am-pitoloñan-tsoao.
15 Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.
Itaroño naho añosiho naho añereto an-dily fonitse vaho ko apo’o honjiren-drehe.