< Tito 2 >
1 Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
Be di da sia: dafa amo defele olelema.
2 Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
Dia asigilai dunu da adini mae nawane, hahawane, ilia hou amoma ouligisuwane esaloma: ne sia: ma. Ilia da dafawaneyale dawa: su hou, asigidafa hou amola mae yolesili hahawane esalumu hou, amo hou ilia gasawane gaguma: ne olelema.
3 Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
Dia amo defele asigilai uda ilima olelema. Ilia da hou ida: iwane hamoma: ne sia: ma. Ilia eno dunu wadela: ma: ne baligidu sia: mu amola adini bagade manu, da defea hame, amo sia: ma. Ilia hou ida: iwane eno udama olelemu da defea.
4 ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
Ilia da gaheabolo lai uda ilima ilia egoa amola mano, amo asigima: ne olelema: ne sia: ma.
5 wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
Ilia da ili hou amoma ouligisuwane esalumu, wadela: i hou hamedafa hamomu, ilia diasu noga: le ouligimu amola ilia egoa sia: nabawane hamoma: mu. Amasea, eno dunu da Gode Sia: amoma lasogole sia: mu logo hame ba: mu.
6 Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
Amo hou defele, di ayeligi dunuma ilia da ilisu hou amola da: i hodo amoma ouligisuwane esaloma: ne sia: ma.
7 Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
Di amola, dunu huluane ba: ma: ne, dia hou huluane ida: iwane fawane hamoma. Sia: olelesea, moloidafa, gebewane amola dawa: iwane olelema.
8 Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
Sia: moloidafa amoga olelema! Amasea, dia ha lai dunu, ilia da dia hou sia: ga wadela: mu hamedei agoane ba: lalu, gogosiamu.
9 Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
Udigili hawa: hamosu dunu ilima ilia ouligisu dunu hahawane ba: ma: ne, noga: le hamoma: ne sia: ma!
10 au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
Ilia ouligisu dunuma higale bu adole imunu ma ilia liligi wamolamu da defea hame. Agoane mae hamoma: ne sia: ma. Be Gode ninia Gaga: su, Ea olelesu amo dunu huluane da hahawane ba: ma: ne, ilia da eso huluane hou ida: iwane hame yolesima: ne sia: ma.
11 Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
Bai Gode Ea hahawane dogolegele iasu hou, fifi asi gala dunu huluanedafa Ea gaga: su dawa: ma: ne, ilima olelei dagoi.
12 Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
Amo hou da ninia wadela: i esalusu hou amola osobo bagade wadela: i hanai hou, amo yolesili, bu ninia hou amoma ouligisuwane esalusu hou, moloidafa hou amola Godema dawa: su hou, amo huluane hamoma: ne, Gode Ea hahawane dogolegele iasu amola gaga: su hou da ninima olelesa. (aiōn )
13 tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Amo hou hamonana, eso amoga ninia Gode amola Gaga: su Yesu Gelesu Ea hadigi ba: mu, amo da doaga: mu. Ninia wali amo hobea misunu dafawane esaloma: beyale dawa: lusu hou dafawaneyale dawa: beba: le, ouesala.
14 Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
E da wadela: i hou ninia mae lalegaguma: ne, bogoi dagoi. E da nini afadenene, bu ledo hame ea fidafa dunu hou ida: iwane hamoma: ne hanai fi dunu, amo hamomusa: , ninima bogoi.
15 Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.
Di da ouligisu ilegeiba: le, amo liligi huluane olelema. Di da nabasu dunuma fidisu sia: amola gagabosu sia: olelema. Amola ilia di mae higama: ne, di sia: ma!