< Warumi 8 >

1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
pe lino kusila vuhighi vwa ng'alasi ku vala vano vali mwa Kilisite Yesu.
2 Maana, sheria ya Roho iletayo uzima kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.
ulwakuva uvutavike vwa Mhepo ghwa vwumi vula vuno vuli mwa Kilisite Yesu kunivomba une kuva nu vwavuke kutali n vutavike vwa sambi nu vufue.
3 Mungu ametekeleza jambo lile ambalo Sheria haikuweza kutekeleza kwa sababu ya udhaifu w binadamu. Mungu alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi.
ulwakuva kila kino indaghilo jilyakunilue kuvomba ulwakuva jilyale mbotevote ku m'bili, uNguluve alyavombile. alyansung'ile umwana ghwake umughanike ku kihwni kya m'bili ghwa sambi kuuti ave litekelo, kange akajihigha isambi ku m'bili.
4 Mungu alifanya hivyo kusudi matakwa ya haki ya Sheria yatekelezwe kikamilifu ndani yetu sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.
alyavombile ndikio neke kuuti indaghisio sa ndaghilo sivombeke nkate jitu, usue twevano natuluta kulwa kuvingilila isa m'bili looli kuvingilila imbombo sa Mhepo uMwimike.
5 Maana, wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya mwili, hutawaliwa na fikira za mwili. Lakini wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya Roho Mtakatifu, hutawaliwa na fikira za Roho.
neke vala vano vikughuvingilila um'bili, visagha isa m'bili, looli vala vano vikum'bingilila uMhepo uMwimike visagha imbombo isa Mhepo uMwimike.
6 Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.
ulwakuva uvufumbue vwa m'bili vwe vufue, looli uvufumbue vwa Mhepo vwe vwumi nu lutengano.
7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii.
ulu lwe lwakuva uvufumbue vula vwa m'bili vwe vulugu kyanya ja Nguluve, ulwakuva najikwitika indaghili ja Nguluve, nambe ndeponu jikunua kukujitika.
8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
vala vano vikughuvingilila um'bili naviwesia kukumunoghela uNguluve.
9 Lakini ninyi hamuishi kufuatana na matakwa ya mwili, bali kufuatana na matakwa ya Roho, ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu. Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo.
nambe lino, namuli mulwa m'bili looli mwa Mhepo, nave lweli kuuti uMhepo ghwa Nguluve ikukala nkate jinu. neke nave umuunhu nsila Mhepo ghwa Kilisite umwene na ghwake.
10 Lakini kama Kristo yumo ndani yenu, ingawa miili yenu itakufa kwa sababu ya dhambi, kwenu Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa kuwa waadilifu.
nave uKilisite alinkate jinu, um'bili ghufwile mu mbombo sa sambi looli umwoojo ghwe mwumi ku mbombo sa kyang'haani.
11 Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo kutoka wafu anaishi ndani yenu, basi huyo aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali ya kufa; atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.
nave uMhepo uMwimike ghwa jula juno alyansiluile uYeesu kuhuma kuvafue kukukala nkate jitu, umwene jula juno alyansiluile Ukilisite kuhma ku vafue ilikughapela amavili ghinu uvufue kuuva muumi kusila ja Mhepo uMwimike ghwake. juno ikukala nkate jinu.
12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.
pe lino, vanyalukolo vango usue tuli tudajivua, neke nakwekuti ku m'bili kuuti tulikukala mu lwam'bili.
13 Kwa maana, kama mkiishi kufuatana na matakwa ya maumbile ya kibinadamu, hakika mtakufa. Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, basi, mtaishi.
ulwakuva nave tukukala mu lwa m'bili mulipipi pifua, neke nave mukughaleka amaghendele gha m'bili kwa Mhepo pe mulikukala.
14 Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu.
ulwakuva ndavule vinga vilongosivua nu Mhepo uMwimike ghwa Nguluve, ava ve vaanha va Nguluve.
15 Kwa maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi watumwa na kuwatia tena hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi watoto wa Mungu, na kwa nguvu ya huyo Roho, sisi tunaweza kumwita Mungu, “Aba,” yaani “Baba!”
ulwakuva namukupile umwoojo ghwa vusung'ua nambe mumwoghope. pepano, mukupile umwoojo ghwa kuvombua kuva vaanha vano kwa mwene tulia, “Abba, Nhaata!”
16 Naye Roho mwenyewe anajiunga na roho zetu na kuthibitisha kwamba sisi ni watoto wa Mungu.
uMhepo jujuo ilola palikimo na moojo ghitu kuuti tuli vaanha va Nguluve.
17 Basi, kwa vile sisi ni watoto wa Mungu, tutapokea baraka zote Mungu alizowawekea watu wake, na tutashiriki urithi huo pamoja na Kristo; maana, tukiyashiriki mateso yake Kristo, tutaushiriki pia utukufu wake.
nave tuli vaana, pe tulivahaasi kange. vahaasi va Nguluve. najusue tulivahaasi palikimo nu Kilisite nave lweli tupumuka nu mwene neke tupate kughinisivua palikimo numwene.
18 Naona kuwa mateso ya wakati huu wa sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha na ule utukufu utakaodhihirishwa kwetu.
ulwakuva nivalila imhumhuko sa nsiki ughu kuuva nakinu ningaling'anisie nu vwimike vuno vulufunulivua kulyusue.
19 Viumbe vyote vinatazamia kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
ulwakuva ifinya vwumo fyoni filolelela ku vunoghelua vwinga kufunulivua kwa mwana ghwa Nguluve.
20 Kwa maana, viumbe viliwekwa katika hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, ila vilifanywa hivyo kwa mapenzi ya Mungu. Hata hivyo yapo matumaini,
ulwakuva uvuvumbi vulyakemelilue paasi pa vukanua, pe nakwekuti ku gila jake, neke vwimila jake umwene juno alyavikemelile. mwe mu luhuvilo.
21 maana hivyo viumbe navyo vitaokolewa kutoka katika utumwa wa uharibifu, vishiriki uhuru mtukufu wa watoto wa Mungu.
kuuti uvuvumbi vuvuo vwope vulivikua mu vwavuke na kuhumisivua mu vusung'ua vwa vunangivu na kukwingisivua ku vwavuke vwa vwimike vwa vaanha va Nguluve.
22 Kwa maana tunajua kwamba mpaka hivi sasa, viumbe vyote vinalia kwa maumivu kama ya kujifungua mtoto.
ulwaluva tukagula kuuti uvuvumbi vwope vutama na kupumhuka vuvafi palikimo nambe lino.
23 Wala si hivyo viumbe peke yake, bali hata sisi tulio na huyo Roho, aliye wa kwanza wa zawadi za Mungu; sisi pia tunalalamika ndani yetu, tukitazamia kufanywa watoto wa Mungu, nazo nafsi zenu zikombolewe.
na uluo lwene, neke najusue twevanya matekelo gha Mhepo uMwimike - najusue kange tutamua ku numbula situ, kughula kuvombua kuuva vaanha, kuuti uvupoki vwa mavighili ghitu.
24 Maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. Maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona?
ulwakuva kwekwa luhuvilo ulu tukavangilue. neke ikinu kino kihuvilua kingavoneke, hwene kisila luhuvilo kange, ulwakuva ghweveni jula juno ikukihuvila kila kino ikukyagha?
25 Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu.
looli tungakihuvilaghe ikinu kino natukukyagha tukukighula ku sabuli.
26 Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni usioelezeka.
mu lululo, uMhepo uMwimike ikututanga mu vuvotevote vwitu. ulwakuva natukakagwile kukufunya ndavule tunoghile, neke uMhepo jujuo ikutufunyila kwa kutamua kusila nambe kujovua.
27 Naye Mungu aonaye mpaka ndani ya mioyo ya watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu kufuatana na mapenzi ya Mungu.
ghwope juno ikughalola amoojo ghitu ikulukagula uluhala lwa Mhepo, ulwakuva ikufunya vwimila jave vano vitike kuling'hana na lughano lwa nguluve.
28 Tunajua kwamba, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi na kuifanikisha pamoja na wote wampendao, yaani wale aliowaita kufuatana na kusudi lake.
najusue tukagula kuva ku voni vanovamughanile uNguluve, umwene ivomba imbombo soni palikimo nu vugholofu ku vooni vanovakemelilue ku gila jake.
29 Maana hao aliowachagua tangu mwanzo, ndio aliowateua wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.
ulwakuva voni vala vano alyavakagwile kuhuma mumaleme gha vang'iina, kange alyavatavwile kuhuma mumuvwandilo valing'ane ni kighwani kya mwana ghwake, neke umwene ave muholua ghwa kwanda mu vanyalukolo vamonga vinga.
30 Basi, Mungu aliwaita wale aliokuwa amewateua; na hao aliowaita aliwakubali kuwa waadilifu; na hao aliowakubali kuwa waadilifu aliwashirikisha pia utukufu wake.
na vala vano alyavatavwile kuhuma muvwandilo avuo alyavakemelile kange. na vala vano alyavakemelile, avuo alyavavalile ikyang'aani. na vala vano alyavavalile ikyang'haani avuo kange a
31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?
pe tujove kiki lino ku agha? nave uNguluve ali ulubale lwitu ghweveni juno alinkyanya jitu?
32 Mungu hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote. Ikiwa amefanya hivyo, je, hatatujalia pia mema yote?
umwene juno naikumuleka umwana ghwake mwene, looli alyamwumisie vwimila jitu twevoni ikutuleka ndani kukutusighilila ni mbombo sooni palikimo nu mwene,
33 Ni nani atakayewashtaki wateule wa Mungu? Mungu mwenyewe huwaondolea hatia!
ghweveni juno ikuvahigha avakemelua vwa Nguluve?
34 Ni nani atakayewahukumu? Hakuna! Maana Kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka kutoka wafu na anakaa upande wa kulia wa Mungu. Yeye anatuombea!
uNguluve ghwenya kuvavalila ikyang'haani. ghweveni juno ikuvahighila ingalasi? uKilisite Yesu ghwejuno alyafwile vwimila jitu, na kukila aghuo umwene kange alyasilulivue. ghwope itema palikimo nu Nguluve, kangejuno ikutufunyila usue.
35 Ni nani awezaye kututenga na mapendo ya Kristo? Je, ni taabu, au dhiki, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kuuawa?
ghweveni juno ikutivika patali nu lughano lwa Kilisite? njaala, mhumhuko, njaala, vuvule kisila kufwala, vwoghofi nambe vubamba?
36 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha: tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.”
ndavule jalembilue,” ku luvumbulilo lwako tubudua imwisi jooni. tulyavalilue ndavule ing'hoolo sa kuhinjua”.
37 Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa kwa msaada wake yeye aliyetupenda.
mu isi sooni usue tu li kukila vanovisinda kwa mwene juno alyatughanile.
38 Maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo, wala uhai; wala malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka;
ulwakuva nivavulile kuuti nambe vufue, nambe uvwumi, nambe nyamHola, nambe vutavulua, nambe ifinu fino pwefile, nambe ifinu finofikwisa, nambe ingufu,
39 Wala ulimwengu wa juu, wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu kwetu kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.
na mbe ghano ghali kukyanya, nambe ghano ghali paasi, nambe ikidimua kyokyoni, nakingawesie kukutuvika patali nu lughano lwa Nguluve juno ghwe Kilisite Yeesu Mutwa ghwitu.

< Warumi 8 >